Kama pana wanawake wazuri, najitolea kuwasaidia idadi wasizidi watatu.Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Kila kitu unashindanisha?Uganda ina uwezo huo. Mpaka sasa inahifadhi wakimbizi wengi sana wa Congo DRC, Burundi, South Sudan na Somalia. Mpaka mwaka 2019, Uganda ilikuwa inahifadhi wakimbizi 1,223,003. Tanzania hadi mwaka 2020 tulikuwa na wakimbizi 258,280 tu. Kwa hio wametupita kwa mbali sana kwenye kuhifadhi wenye shida za ukaazi.
Dah wanakwepa Shariahao nao makafiri tu maana wanapingana na maandiko ya quran[emoji2]
Huyo kesha kufa huo upepo na 39000ft Oksijen hakuna.Nimeona anatapatapa duuh
Yule Jambazi Mkuu usimuonee huruma
Ndio maana watu wansemaga Museven ni dikteta ila huwezi kukuta USA ikimkoromea! Itamkoromeaje kwa namna hii?Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.
Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.
Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.
Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.
Marekani itagharamia kila kitu.
Hivi gaidi umlete ndani una akili kwel?[emoji16][emoji16][emoji16]Yaani we ulitegemea zile sura wazipeke Washington?
Mkuu mimi mwenyewe nmekasirkka sana!mbona tz haijaomba hao watu? Wangepelekwa katikati ya nchi wapeleke maendeleo ya viwanda huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna Mtu aliwadanganya kuwa Marekani inawachukua na kuwapeleka huko kwao[emoji16][emoji23]
Waafrika sijui nani katuroga....hii ni mikakati tu ya kuja kuanzisha vita Afrika mashariki kutumia kibaraka wao..hapo target kubwa ni congo na madini..we unashangaa hii miaka mi5 kumekua na stori nyingi sana za ugaidi usioeleweka umeanzia wapi unaishia wapi...hawa wanatafuta njia kuja weka kambi huku tu..... DR Congo accepts US military help against ADF militia nachukia sana mabeberuMarekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.
Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.
Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.
Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.
Marekani itagharamia kila kitu.
Wamepelekwa Uganda wakaoge kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna Mtu aliwadanganya kuwa Marekani inawachukua na kuwapeleka huko kwao[emoji16][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sura pana za kibabeView attachment 1895837
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili waache kuvaa suruali za kulalia bila boxa na shot kanzu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
So wa Marekani wanataka jamaa wakajifunze kuogabna kuvaa Uganda kabla hawajapelekwa kwao?
Kwa mujibu wa memba mmoja, jamii zilizokuwepo nchini huwa zinaonewa sana na hawa watalebanNaomba nisaidie kuna kitu kinanitatiza. Taliban wamechukua nchi ila tofauti na vikundi vingine vya ukombozi vinapopigania ukombozi huwa wanaungwa mkono na wananchi ila Taliban ni tofauti nini tatizo?
Huu jamaa inaonyesha mpambanaji sanaMrangi mkuu unajua kuna siku ntakutafuta huko na exposure sana. Uligusiaga kidogo biashara yako ya real estate Canada kwenye comment flani hivi. Nikasema huyu si mwenzetu. Ila unakausha hujioneshioneshi.
Nami nimecheka kidogo niangukeDaaa mkuu nmecheka kwa sauti sana yaan hadi nmeonekana kama chizi vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Si wamejilipua wacha wapewe vipande walime matoke😂😂Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Makambi ya Kogoma mengine yamekuwa shule, mfano Lugufu girls high school na Lugufu boys high school mkuu, majengo mengine yanakaliwa na viongozi wa ccm, mfano Lugufu karibu na makao makuu ya Wilaya Uvinza.Kambi zote za wakimbizi zilizoko mkoa wa Kigoma zisifungwe sasa. Hao waafghan kwa wingi wao wapelekwe huko kwenye makambi..... Fursa hiyo kwa Tanzania na EAC kwa ujumla... Mulamula.