Unaambiwa ni Pana na za kibabe...ππ€£π€£sura zao zikoje mkuu?
Hao jamani ni wakimbizi, Marekani, Canada, na nchi zingine za Ulaya lazima watimbe baada ya muda mfupi! Hapo wako chini ya UNHCR na IOM itashughulikia uhamaji wao!Kuna Mtu aliwadanganya kuwa Marekani inawachukua na kuwapeleka huko kwaoππ
Baloch wanajua sana biasharaAfghan are very good people. Ni jamii ya Pashtun ndio watata na ndio Taliban na wako wengi ni asilimia 42 na hao Pashtun hawasafiri kabisa. Ni hizi jamii zingine za afghanistan minority kama Uzbek, Hazara, Tajik, Aimak, Baloch (akina Rostam), Turkmen hao ndio unawaona wanatoroka Afghanistan. Wanaonewa sana na Taliban kwasababu ni waislam wa madhehebu mengine hawana siasa kali.
Naomba nisaidie kuna kitu kinanitatiza. Taliban wamechukua nchi ila tofauti na vikundi vingine vya ukombozi vinapopigania ukombozi huwa wanaungwa mkono na wananchi ila Taliban ni tofauti nini tatizo?Afghan are very good people. Ni jamii ya Pashtun ndio watata na ndio Taliban na wako wengi ni asilimia 42 na hao Pashtun hawasafiri kabisa. Ni hizi jamii zingine za afghanistan minority kama Uzbek, Hazara, Tajik, Aimak, Baloch (akina Rostam), Turkmen hao ndio unawaona wanatoroka Afghanistan. Wanaonewa sana na Taliban kwasababu wametofautiana kimafundisho na mila.
Malala ni pashto wa Pakistan sijui imetokea vipi akawa na Mrengo tofauti. Ndo maana Taliban wanammaindi
[emoji23][emoji23][emoji23] wanaweza kumng'oa MuseveniHapo hapo Uganda hao jamaa walivyokuwa wapiganaji wanaweza kutusua,trust me
Ova
Haha wasaka mak..Jamaa zetu flani baada ya kusikia hiyo issue ya Uganga wameondoka fasta niw wapo namanga wanachanja mbuga to Entebe
Watabobea kwenye biashara na kilimo[emoji23][emoji23][emoji23] wanaweza kumng'oa Museveni
Mrangi mkuu unajua kuna siku ntakutafuta huko na exposure sana. Uligusiaga kidogo biashara yako ya real estate Canada kwenye comment flani hivi. Nikasema huyu si mwenzetu. Ila unakausha hujioneshioneshi.Enzi za ubaharia nlibahatika kwenda Iran
Huko nlikaa kama miezi 4 kuna mahali nlikuwa naendaga na jamaa zangu,kulikuwa na wa jamii ya wa baloch toka Afghanistan wao walikiwa
Wanafanya biashara walikuwa na mtandao mkubwa sana aise,alafu jamaa muda wote wako high high
Ova
Sipati picha Mange anajisikiaje huko Instagram ππππππ ,hata hivyo sio mbaya kikubwa bado wanaendelea kuishiKuna Mtu aliwadanganya kuwa Marekani inawachukua na kuwapeleka huko kwaoππ
Wataleban hawana utani kwenye Sharia Ukizini unapigwa mawe hadi unakufa na ukiiba wanakata mkono. Wanawake wote hakuna kufanya kazi za kuajiriwa wote ni mama wa nyumbani kazi yao moja tu na inajulikana.mimi nashindwa kuelewa kwann hawa waikimbie nchi yao wakati asilimia kubwa ya raia hawajaikimbia nchi yao
Yaani kawazingua sana WapashtunNgoja niibukie Uganda nikachague pisi Kali ya kiarabu
Mmarekani fala sana......ila ana akili
Wababe na wakatiliNaomba nisaidie kuna kitu kinanitatiza. Taliban wamechukua nchi ila tofauti na vikundi vingine vya ukombozi vinapopigania ukombozi huwa wanaungwa mkono na wananchi ila Taliban ni tofauti nini tatizo?
Hao wamedanganywa tu,uzuri mda haujawahi kudanganya , tutarud humu kufungua thread za masikitikoMkuu watakuwa Uganda kwa muda chini ya UNHCR wakisubiri process za kupelekwa kama asylum mataifa yaliondelea.
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa. Any way ngoja nikatafute toto la kiarabu Uganda...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha,msema kweli mpenzi wa mungu
Kwa waliyokulia kulia kino %35 wamekanyaga iran[emoji23][emoji23][emoji23]
Ah poa tutafutane
Nakuambia hawo wa Afghan wamekuja afrika
Ni kama chura kapigwa take
Maana kna mafgan mmja yuko mbeya igurusi analima sana mpunga anakuambia afrika ndiyo
Kwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Daaa mkuu nmecheka kwa sauti sana yaan hadi nmeonekana kama chizi vile[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani we ulitegemea zile sura wazipeke Washington?