Kuna bwana mmoja ana imani museveni atarudisha hiyo sheria. Sina uhakika sana. Ila naona kama ame surrender na ili asionekane kawa coward na pilton wamemshauri aseme kulikuwa na matatizo ya kiufundi wakati wa kuunda sheria husika. Msilitazame swala la ushoga kwa juu juu tu,mkadhani wakiruhusiwa basi litaishia kwa hao wanaofanya mambo hayo tu. Kama alivyosema mchangiaji wa awali,hawa jamaa hawataishia hapo,watataka uwakilishi na recognition kwenye taasisi mbalimbali na equal representation hata bungeni. Itaenda itaingia mpaka kwenye familia ya kila mmoja wetu hapa, sasa usishangae baba ako analiwa kiboga,au mdogo wako wa kiume anamla kiboga kaka yake,au mjomba wako anamla kiboga mwanao wa kiume. Itakua toka ngazi ya kila familia mpaka taifa mpaka dunia yote. Wanawake wasaganaji nao watakuja na movements zao,pia itafikia mahala hata mkeo wa ndoa akijisikia kusagwa na wifi yake ambae ni dada ako hutakiwi kumbugudhi kwani atakushtaki,mwanao wa kike anaweza swaga hata na shangazi yake ambae ni dada ako. Ndugu zangu,mtakasirika? Mtawashtaki? Haitawezekana tena. Maana haki zao zitakuwa zimetapakaa kila mahari na hamtaruhusiwa kabisa kuwabugudhi. Think about that, tuzuie hili swala mapema kabla halijawa janga (samaki mkunje?............................). Hata kosa la incest kwenye Sexual Offences Act litafutwa. Tutakulana mpaka mwisho. Sex haitakuwa na nidhamu tena. Kumbuka too much of anything is harmful. Ikiwa ujinga huo utaruhusiwa basi mi nawasihi watu wa makundi mbali mbali ktk jamii nao kupaza sauti na kupigania haki zao, wakiwemo mateja,wavuta bangi,prostitutes (makahaba), etc....maana itakuwa inamaanisha kuwa kila mtu sasa anaweza kudai uhuru wa kufanya jambo analosikia linampa raha na kumnufaisha yeye binafsi. Sasa tuone mwisho wa hii Dunia.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums