Ugonjwa mikoa ya Kusini: Watatu wafariki, Wawili wapona na Watano wamejitenga katika makazi yao

Kumbe ugonjwa unajulikana ila wajinga wanasingizia chanzo ni kukata miti ili waliponde bwawa la Nyerere, ok naona mmeshapata sababu ya kukwamisha ule ujenzi msioupenda.
 
Kumbe ugonjwa unajulikana ila wajinga wanasingizia chanzo ni kukata miti ili waliponde bwawa la Nyerere, ok naona mmeshapata sababu ya kukwamisha ule ujenzi msioupenda.
na wanasayansi wa bongo walivyo nao wanaweza unga mkono kuwa ni kweli ukataji miti ndio chanzo
 
Ajabu ukiwauliza watu wenyewe huko kusini hawana hata taarifa. Hivi kitu kinachozua taharuki kitokee wahusika wasijue chochote kweli na utandawazi huu. Eti nao wanasikia tu kutokea darsalaam.
 
daah Waziri wa afyana timu yake ya wataalamu wakapige kambi kulewakishindwa wafukuzwe kazi
 
Chanzo ni muingiliano na watu wa kongo huko lindi
Mbona huu muingiliano umekuwepo hata huku kariakoo miaka mingi tu kwann sasa hv
 
Thank you for this vital information regarding similar diseases to that occuring in the Southern part of our Country. We should take care of ourselves least we succumb to this disease.
Na kakizungu kako mwenyewe unaona umeandika bonge la pwentii!

Kumbe jiiinga, zee la machanjo yenye sumu.

Mwaka huu mnalo.Na TUNATAKA hilo Bwawa la Nyerere likamilike.
 
Magonjwa mengine yanasababishwa na sisi wenyewe, Mungu ameumba ardhi na mbingu, miti na wanyama, lakini kiburi alichonachona binadamu especially huu ukanda wa afrika hususani Tanzania tunakata sana miti. Mkoa nilipo mimi wanakata sana miti jamani, imewakosea nini hii miti!!! Baadhi ya maeneo kulikua na mapori makubwa wanyama waliishi mule, leo hii hakuna wanyama tena kwakua washafyeka mapori.


Niseme tu, Waafrika ni adui wakubwa wa miti, japo sio wote!
 
Wacha propaganda za CDC wewe.

Hilo litaasisi la mashetani wa chanjo na madawa ya ajabu ajabu.

Take your rubbish and feed it to the dogs.

HATUTAKI HAYO MACHANJO YENYE SUMU, SIJUI HAMUELEWI?
 
monkeypox haina tofauti sana na chickenpox (mateteKuwanga) sema yenyewe inakuja na homa Kali na viuvimbe
Wacha weee! Mwanasayansi huyo!

ACTUALLY: Hakuna ugonjwa wa monkeypox wala donkeypox.

Hapo ninachoona kuna MONEY-POX, BILLGATE-POX pamoja na IBILISI-POX.

It is a SUPER DEMONIC COMBINATION the world has never seen before. (MTUNGO WA KIPEPO).

Hiyo inayoitwa "monkeypox" ni madhara ya machanjo ya corona ambayo wameyaficha kwa kutumia jina la MONKEYPOX.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…