Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa kutengeneza matukio.Si wapitishe tu mikataba yao kwani lazima kwanza kuleta ugonjwa wa kuweka watu busy?
Kama ule upuuzi wa royal tourWazee wa kutengeneza matukio.
Televisheni zote zimegeukia huko sasa.
Na magazeti, na mijadala yote imeelekea huko kwenye tukio bandia.
Ukiwatafuta hao wavuja damu huwezi kuwapata. Utawasikia tu kwenye TV.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama ule upuuzi wa royal tour
Nadhani ungesema Mwisho wa Wanadamu unakaribia.Mwisho wa dunia u karibu
Machanjo ya corona hayo.
Hapo kuna kitu kinakuja ambacho ni kikubwa kuliko hii taarifa.
Maigizo yaendelee.
Wacha weee! Mwanasayansi huyo!
ACTUALLY: Hakuna ugonjwa wa monkeypox wala donkeypox.
Hapo ninachoona kuna MONEY-POX, BILLGATE-POX pamoja na IBILISI-POX.
Hiyo inayoitwa "monkeypox" ni madhara ya machanjo ya corona ambayo wameyaficha kwa kutumia jina la MONKEYPOX.
Picha ? Sijaona mgonjwa anahojiwa na hata ndgu wa mgonjwa anazungumza juu ya mgonjwa sana sana ni takwimu zinatolewa tu na viongozi. Ngoja tusubiri tuone ilaa...Wizara ya Afya imesema kufikia Julai 12, 2022 kulikuwa na Wagonjwa 13, na 3 kati yao wamefariki dunia
Wenye dalili za Homa, Kuvuja Damu puani kuumwa kichwa na mwili kuchoka wanaendelea kutafutwa
Sampuli za awali zilizopimwa katika maabara ya Taifa zimeonesha majibu hasi (negative) kwa ugonjwa wa Ebola, Marburg na UVIKO-19
View attachment 2288801
View attachment 2288802
Nakuona ELITE unapita huku umebinua mdomo kwa hasira!Dokta Uchwara
Mathanzua 2.0
Naam, niite Dokta Uchwara.Dokta Uchwara
Ingekuwa hvyo bas ugonjwa ungeanzia maeneo ambayo hawana kabsa miti (jangwani) ama wao wame evolve hio hali haiwezikani wadhuru?Magonjwa mengine yanasababishwa na sisi wenyewe, Mungu ameumba ardhi na mbingu, miti na wanyama, lakini kiburi alichonachona binadamu especially huu ukanda wa afrika hususani Tanzania tunakata sana miti. Mkoa nilipo mimi wanakata sana miti jamani, imewakosea nini hii miti!!! Baadhi ya maeneo kulikua na mapori makubwa wanyama waliishi mule, leo hii hakuna wanyama tena kwakua washafyeka mapori.
Niseme tu, Waafrika ni adui wakubwa wa miti, japo sio wote!
Monkeypox ilikuwepo kabla ya chanjo ya corona sasa. Case ya kwanza ilirekodiwa 1970.Wacha weee! Mwanasayansi huyo!
ACTUALLY: Hakuna ugonjwa wa monkeypox wala donkeypox.
Hapo ninachoona kuna MONEY-POX, BILLGATE-POX pamoja na IBILISI-POX.
Hiyo inayoitwa "monkeypox" ni madhara ya machanjo ya corona ambayo wameyaficha kwa kutumia jina la MONKEYPOX.
Kujenga Stiglers Gorge wamekata mikoko kama milioni mbili.Magonjwa mengine yanasababishwa na sisi wenyewe, Mungu ameumba ardhi na mbingu, miti na wanyama, lakini kiburi alichonachona binadamu especially huu ukanda wa afrika hususani Tanzania tunakata sana miti. Mkoa nilipo mimi wanakata sana miti jamani, imewakosea nini hii miti!!! Baadhi ya maeneo kulikua na mapori makubwa wanyama waliishi mule, leo hii hakuna wanyama tena kwakua washafyeka mapori.
Niseme tu, Waafrika ni adui wakubwa wa miti, japo sio wote!
Umemaliza mkuu sio U T I wala malaria hiyo🤣🤣🤣🤣🤣Hapo mpaka wazungu waje wasaidie sisi ngozi nyeusi hatuwezi
Umeshawahi kuiona hiyo monkeypox?Monkeypox ilikuwepo kabla ya chanjo ya corona sasa. Case ya kwanza ilirekodiwa 1970.
Alafu elewa kuwa hapo mm nilikuwa sitetei chanjo bali nilikuwa najaribu kutofautisha huu ugonjwa na monkeypox
Kuiona wap?Umeshawahi kuiona hiyo monkeypox?