Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hatuna wataalamu zaidi tuna makada wa CCMUmemaliza mkuu sio U T I wala malaria hiyo🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna wataalamu zaidi tuna makada wa CCMUmemaliza mkuu sio U T I wala malaria hiyo🤣🤣🤣🤣🤣
Kujenga Stiglers Gorge wamekata mikoko kama milioni mbili.
Popote.Kuiona wap?
Nchi za kiarabu wanathamini sana miti na wanyama, though sio wanyama/miti mingi. Na hali ya hewa iliyopo arabuni washaizoea.Ingekuwa hvyo bas ugonjwa ungeanzia maeneo ambayo hawana kabsa miti (jangwani) ama wao wame evolve hio hali haiwezikani wadhuru?
I don't want to argue with you. Your avatar says it all.Na kakizungu kako mwenyewe unaona umeandika bonge la pwentii!
Kumbe jiiinga, zee la machanjo yenye sumu.
Mwaka huu mnalo.Na TUNATAKA hilo Bwawa la Nyerere likamilike.
sijai ona mgonjwa live zaid ya mitandaonPopote.
ulichosema ni kweli ila mm naitaji uhusiano wa kukata miti na huo ugonjwaNchi za kiarabu wanathamini sana miti na wanyama, though sio wanyama/miti mingi. Na hali ya hewa iliyopo arabuni washaizoea.
Huu mkoa nilipo wanakata miti balaa, mapori yalikua na swala, digdig, kanga, kware n.k. leo hii wanyama hawapo, labda mmoja mmoja.
Wanyama ni kama binadamu, wanahitaji kupumzika na kulala, sasa wakiwakatia hiyo miti wata-ishije/lala wapi!! Ni kama binadamu nyumba zetu zivamiwe na kuharibiwa na wanyama je, tuta-ishije/lala wapi!! Tuwaonee huruma viumbe hawa.
Machanjo ya corona hayo.
Hapo kuna kitu kinakuja ambacho ni kikubwa kuliko hii taarifa.
Maigizo yaendelee.
ulichosema ni kweli ila mm naitaji uhusiano wa kukata miti na huo ugonjwa
Aisé hv kweli bibi yetu kichwa chake kipo sawa auKumbe ugonjwa unajulikana ila wajinga wanasingizia chanzo ni kukata miti ili waliponde bwawa la Nyerere, ok naona mmeshapata sababu ya kukwamisha ule ujenzi msioupenda.
Ukweli mchungu huu.Hapo mpaka wazungu waje wasaidie sisi ngozi nyeusi hatuwezi
Nchi ya kubebana hiiUkweli mchungu huu.
Sema nini? Watendaji wetu ndiyo wanatuangusha.. Na sisi wenye uwezo wanatudidimiza tusiweze kutumia uwezo wetu kuisaidia Jamii kwa hofu kwamba tutawafunika.. Hopeless kabisa
🤣🤣🤣🤣Hatuna wataalamu zaidi tuna makada wa CCM
Ndiyo hivyo🤣🤣🤣🤣
Naam, Dokta Uchwara hapa.Uchwara...
What does my avatar say?I don't want to argue with you. Your avatar says it all.
Wanasayansi nawatakia kila la heri ktkt tafiti.Kufikia December tutakuwa Tumeshuhudia mengi.
Thank you for this vital information regarding similar diseases to that occuring in the Southern part of our Country. We should take care of ourselves least we succumb to this disease.
Kafanyaje tena huyuUchwara...
ata mimi nahisi jamaa!!Isije ikawa ni uviko hybrid ya chanjo