Ugonjwa mikoa ya Kusini: Watatu wafariki, Wawili wapona na Watano wamejitenga katika makazi yao

Dokta Uchwara
Mathanzua 2.0
 
Sukuma Gag mpaka mpate ugonjwa wa sosona/msongo wa mawazo(Depression).
 
Picha ? Sijaona mgonjwa anahojiwa na hata ndgu wa mgonjwa anazungumza juu ya mgonjwa sana sana ni takwimu zinatolewa tu na viongozi. Ngoja tusubiri tuone ilaa...
 
Ingekuwa hvyo bas ugonjwa ungeanzia maeneo ambayo hawana kabsa miti (jangwani) ama wao wame evolve hio hali haiwezikani wadhuru?
 
Monkeypox ilikuwepo kabla ya chanjo ya corona sasa. Case ya kwanza ilirekodiwa 1970.

Alafu elewa kuwa hapo mm nilikuwa sitetei chanjo bali nilikuwa najaribu kutofautisha huu ugonjwa na monkeypox
 
Kujenga Stiglers Gorge wamekata mikoko kama milioni mbili.
 
kwanza tulianza na kutonyesha mvua tukaomba zikanyesha.

Sasa yanakuja magonjwa ya ajabu.

Tuombe yaishe.

Ila yatakuja mengine pia.

Hapa hatukwepi kukiri kwamba ni mapigo ya Mungu.

Kuna mtu asiye na hatia kaonewa, Mungu kachukizwa.

Wahusika watubu ama la tutaendelea kupokea mapigo.
 
Monkeypox ilikuwepo kabla ya chanjo ya corona sasa. Case ya kwanza ilirekodiwa 1970.

Alafu elewa kuwa hapo mm nilikuwa sitetei chanjo bali nilikuwa najaribu kutofautisha huu ugonjwa na monkeypox
Umeshawahi kuiona hiyo monkeypox?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…