Ugonjwa wa Gauti(Gout): Chanzo, Dalili na Tiba yake

Ugonjwa wa Gauti(Gout): Chanzo, Dalili na Tiba yake

Gout haina uhusiano na goat.
Ila ina uhusiano na metabolism ya purines ambayo vyanzo vyake ni vyakula vyenye protini nyingi.

vina uhusiano kabisa,ila si nyama ya mbuzi pekee, vyakula kama samaki hasa tunaowala wakiwa na magamba mfano ni dagaa na hata ulevi wa pombe ni vitu vinavyoweza kuchochea "gout" (purine and pyrimidines are just a building blocks of protein),kwa kiasi kikubwa purine & pyrimidine zinapatikana kwa kiasi kikubwa kwenye nyama nyekundu & bidhaa zote za nyama nekundu "especially internal organs" kama vile maini na figo .Miss Chagga anachosema kina ukweli.
 
Habari zenu wana jamvi,

Nina mgonjwa anayesumbuliwa na miguu, sehemu za magoti zinavimba na kupelekea miguu kuuma sana. Nadhani ni Gout. Kaenda hospital lakini wapi, katumia dawa lakini hazijasaidia.

Tangu aanze kuumwa ni muda mrefu kidogo, sasa imeanza kuwaka moto tofauti na hapo awali ambapo ilikuwa inauma tuu. Sasa inauma na kuwaka moto. Kukuja goti ni shida, kutembea nako kwa tabu hadi inabidi aburuze mguu mmojawapo.

Please ndugu zangu, mwenye kujua dawa please.

CC. MZIZI MKAVU msaada please.
"not right straight" kusema labda ni "gout,dalili kuu ya kwanza kwa "acute gout" ni kuvimba kwa kidole/Vidole gumba vya miguuni,tatizo hilo analo? Je vipimo vya kutizama utendaji kazi wa figo vilifanyika?Ushauri mzuri nenda hospital waweze kutambua shida ya msingi na kupata vipimo .Kwa shida ya miguu kuwaka moto,dawa zipo ambazo nyingi ni za familia ya Vitamin B complex mfano ni NAT B,Neurovete Forte,Neurobion ,Neuroton .etc.lakini ni lazima kwanza kutizama nini kinafanya hiyo hali itokee,yaweza kuwa ni shida ya Sukari,Blood Pressure,adverse effect za baadhi ya dawa,shida ya figo .nk.
 
Ahsnte mkuu, figo hazina tatizo kabisa alishapima zipo vizuri tuu.
Just go back to hospital,yawezekana ni maradhi ya connective tissue,au bones infection kuna vipimo vya msingi vifanyike mfano kama vile X-ray ,Full blood picture n.k.Dawa ni nyingi hata humu tunaweza kukusaidia ila si sawa.Narudia tena Nenda hospital.
 
Nina anko wng alikua na hyo shida tulimpa dawa za kila aina lkn baadae tukaona all provided only symptomatic relief nkamtafutia za kienyeji nkamnywesha sana majuis ya bamia na mlenda lkn wap...
...
Alikuja kupata nafuu baada ya kutumia dawa fulan hv ya kihindu inaitwa gout churna ilimsaidia sana na mpka hv leo anadunda...
...
Jaribu kumtafutia hyo phytochemicals zake ni nzuri sana kwa gout na rheumatism nlishathibitisha mwenyew wala sijasimuliwa na mtu
 
Habari zenu wana jamvi,

Nina mgonjwa anayesumbuliwa na miguu, sehemu za magoti zinavimba na kupelekea miguu kuuma sana. Nadhani ni Gout. Kaenda hospital lakini wapi, katumia dawa lakini hazijasaidia.

Tangu aanze kuumwa ni muda mrefu kidogo, sasa imeanza kuwaka moto tofauti na hapo awali ambapo ilikuwa inauma tuu. Sasa inauma na kuwaka moto. Kukuja goti ni shida, kutembea nako kwa tabu hadi inabidi aburuze mguu mmojawapo.

Please ndugu zangu, mwenye kujua dawa please.

CC. MZIZI MKAVU msaada please.
Ww umejuaje kama ni gout? Alienda hospital NA kupima? Je alipewa matibabu gan?
 
Je huyo mgonjwa ameenda kupimwa kiwango cha uric acid kwenye damu? Kama ni kapimwa na kugundulika kuwa kiwango hicho cha uric acid kiko juu basi ale maparachichi kwa sana kwa sababu hata mimi yamenisaidia sana mpaka sasa napiga nyama kama kawa
Maparachichi haya tunayoyafahamu au kuna mengine?,coz hata mm hili tatizo la kuzidi uric acid kwenye damu huwa linanisumbua sana
 
Ni haya haya ila hakikisha unapunguza kiwango cha uric acid kwanza kwa kumeza dawa then kila ukila nyama kula parachichi on the spot.
Nishatumia sana hizo Allopurinol kwa ss nipo fresh japo naamini haijaisha,ila mwili hauchokichoki kama mwanzo
 
Nina anko wng alikua na hyo shida tulimpa dawa za kila aina lkn baadae tukaona all provided only symptomatic relief nkamtafutia za kienyeji nkamnywesha sana majuis ya bamia na mlenda lkn wap...
...
Alikuja kupata nafuu baada ya kutumia dawa fulan hv ya kihindu inaitwa gout churna ilimsaidia sana na mpka hv leo anadunda...
...
Jaribu kumtafutia hyo phytochemicals zake ni nzuri sana kwa gout na rheumatism nlishathibitisha mwenyew wala sijasimuliwa na mtu

hiyo gout churna inapatikana wapi mkuu?
 
Ndugu wapendwa poleni na majukumu, nahitaji kufahamu kama ni kweli NYAMA YA MBUZI UKIITUMIA MARA KWA MARA HUNYONG'ONYEZA MAUNGIO YA MWILI (JOINTS) hasa MAGOTI.
IMG_20170921_202748.jpg
 
Back
Top Bottom