SWEET GIRL
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 520
- 377
nini mwezi watu wananuniana miaka kadhaa na wanaishi wote mwishowe wanaamua watengane vyumba.asubhi kila mtu anatoka na gari lake anasepa kazini.ni utajibeba staili.ndo dawa ya mwanaume mkorofi.coz wanaume wanafikiri bila wao huwezi ishi kumbe wapi.manake unakuta mtu anarudia makosa yale yale kila siku,sasa kama sio makusudi ni nini??kununa mbona dogo,nahama chumba kabisa sitaki bugudha.mia