Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Nitawekaje tupu yangu huku jukwaani?
Wahenga walisema "Mficha uchi hazai"


Ila nahisi una jipu pembeni ya tgo yako.Nunua dettol na beseni kisha weka maji katika beseni na dettol kidogo kisha uwe unakalia hayo maji kwa dakija kumi kila siku.Kitaalamu wanaita dettol sitz bath.
 
Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke. Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke.y Mm nikienda haja ndo kinajitokeza nikjikamua nnya kinauma na kinamwaga damu
Mkuu na mimi ilinitokea mwaka jana hiki kinundu kama jipu kikaja kupotea chenyewe baada ya muda mfupi ila kwa sasa ndio kimechachamaa hatari, siwezi kukaa kama kawaida au kutembea, hapa nina Ed nipo kitandani nimelala tu.
Kwahyo ni bawasili au kijipu?
Wataalamu wanasema unaweza kutumia dawa inayoitwa.
Amoxicillin & Clavulanate Potassium Tablets USP
Pamoja na panadol ya kupunguza maumivu
Dozi ni ya wiki moja kidonge kimoja asubuhi kingine jioni, dawa hiyo inauzwa kati ya 21,000 na 25,000.
Inaponesha bawasili hii?
 
Picha basi...ili tukupe ushauri wenye uhalisia
 
Pasua tu adi ulete uzi humu aisee unachekesha mmeshirikiana na wife kuangalia mambo ilivyo[emoji23]
 
Zipo dawa za muda mrefu zinaponyesha mkuu, fanya uende hospital upate msaada, pia inatakiwa ule matunda na mboga za majani kwa wingi ili kusaidia kupata choo kilaini.
 
Dispensary inaweza au muhimbili?
Zipo dawa za muda mrefu zinaponyesha mkuu, fanya uende hospital upate msaada, pia inatakiwa ule matunda na mboga za majani kwa wingi ili kusaidia kupata choo kilaini.
 

Tafuta mafuta ya habasoda uwe unajipaka mkuu. inasaidia sana.
 
Mkuu na mimi ilinitokea mwaka jana hiki kinundu kama jipu kikaja kupotea chenyewe baada ya muda mfupi ila kwa sasa ndio kimechachamaa hatari, siwezi kukaa kama kawaida au kutembea, hapa nina Ed nipo kitandani nimelala tu.
kama umeandikiwa dawa sio swala ila mimi sikwenda hospitality nilijaribu kuulizia kwa mtu anaitwa dr.Fadhiri yupo fb ndio nikapata ushauri huo na nilipona ndani ya wiki moja kuhusu maumivu jaribu flamar mix inatuliza kwa muda mrefu
 
Ushapima na kuambiwa kuw ni Bawasil
 
Naona raia wamekupa like nyingi mkuu sijafahamu wanamaanisha nn
 
Dispensary inaweza au muhimbili?
Dispensary sina hakika sana ila walau nenda kwenye health center, huko unaweza kupata huduma nzuri zaidi, pia utapata ushauri wa mzuri zaidi kuhusu ipi ni dawa nzuri kulingana na ukubwa wa tatizo lako.
 
Tafuta mafuta ya habasoda uwe unajipaka mkuu. inasaidia sana.
Nashukuru sana kwa ushauri mkuu, usiponisaidia mimi utawasaidia wengine wengine wanaopitia uzi huu wenye tatizo kama langu au pengine ndugu, jamaa na marafiki zao ni wahanga wa kadhia hii. Barikiwa sana.
 
Hapana kuna jirani yangu kaandikiwa hiyo dozi baada ya kuwaona wataalamu wa afya, ngoja tusubiri matokeo yake.
Ila huu uginjwa unainekana kuwa ni ugonjwa siokuwa na tiba ya uhakika.
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo nimebaini sababu nyingine inayopelekea mtu kupata huo ugonjwa wa Bawasili.
Kula vyakula vyenye
"Sumu Kuvu"
"Sumu Kuvu" ipo kwenye nafaka ambazo hazijakaushwa vizuri juani.
Kama Karanga, Mahindi, Korosho, na vinavyo fanana na hivyo.
Hivyo mnapo tafuna Karanga mbichi lazima mzichunguze kwa umakini hizo karanga hasa tunazotafuna huku mijini.
Ule ukungu unaoota kwenye karanga kwa kuto kauka vizuri ambao hauonekani sana kwa macho ni chanzo kingine cha bawasili.

(Ni kwamba hiyo Sumu Kuvu inaenda kuua baadhi ya Seli za mwilini, zile Seli zilizokufa na zinatafuta pa kutokea, na mahali pekee zinapoweza kutoka ni ile sehemu yenye ngozi laini, ngozi iliyo karibu na tundu la tako ndiyo ngozi laini zaidi kwa binadamu. Ni kama magma ya volcano unavyolipuka kwenye eneo lenye mwamba dhaifu.
Bawasili inapopasuka hiyo damu inayotoka ndiyo Seli zilizokufa hizo.
Mtu ukila chakula kilichokamilika kwa muda mrefu kidogo kinaenda kuimarisha kinga mwilini na kuiondoa Bawasili)

Wauzaji wanaufuta tu huo ukungu lakini kiuhalisia bado unabakia kwenye vitafunwa hivyo.
Nilipo muuliza jirani yangu aliyepatwa na kadhia hii ya Bawasili amesema alikua mtafunaji sana wa karanga na kuna siku kabla ya kuupata huo ugonjwa anakumbuka alitafuna karanga yenye uchungu na hakutema.
Tahadhari nyingine hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…