Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Nitawekaje tupu yangu huku jukwaani?
Wahenga walisema "Mficha uchi hazai"


Ila nahisi una jipu pembeni ya tgo yako.Nunua dettol na beseni kisha weka maji katika beseni na dettol kidogo kisha uwe unakalia hayo maji kwa dakija kumi kila siku.Kitaalamu wanaita dettol sitz bath.
 
Hakika ni bawasiri inauma na zaidi inafadhaisha nimewahi kutokewa mara mbili na ikapotea yenyewe ila ilipokuja kutoka Mara ya tatu hali haikuwa nzuri nilitumia alovera kwa kupaka ute wake kuzunguka uvimbe pia kunywa juisi yake kiasi cha nusu Lita asubuhi kabla ya chochote na jioni wakati wa kulala kuhusu maumivu nilikuwa nikitumia flamar mix
Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke.
Mkuu mimi niko mwanza, nimetoka hospital sasa hivi nimeambiwa ni bawasiri, kuna dawa Dr kanishauri nikazitafute zitanisaidia zaidi kuliko hizo za bima, kuna gel moja inauzwa 18k nimeshaipata na vidonge vinauzwa 38k ndio nahangaika kuvitafuta hapa bado sijavipata....ila mwanzoni nilidhani ni jipu na wife aliniwekea kitunguu saumu eti liive, hapa nilipo nikishika nalisikia kama ni laini laini mno, natamani ata litobolewe niweze kukaa au kutembea vizuri.
Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke.y
huu ugonjwa unaitwa fistulectomy au wakati mwingine wanasema sinus. kinajitokeza kijipu kidogo na kinauma sana. dawa ya hii kitu ni kufanyiwa operation. kwa yule ambaye anasema kanauma sana, akienda watapasua na humo ndani wanaweka pamba ambazo zinatolewa baada ya 24 hrs. ni operation inauma hasa ukitaka kwenda choo.usipowa wakaipasua ikiwa ndogo, kule ndani inajijenga na unaweza shikwa upande wa pindi wa toako. kwa kuwa una access ya internet wewe andika fistulectomy, i dont know if am correct in spelling, ila utapata ABC za ugonjwa huu. nashauri kwa yule aliyeko mwanza angalia dr mmoja anaitwa dr Philipo ni surgeon specialist huyu ni mtaalamu sana. kuwai ni bora kuliko kuchelewa kwani ukichelewa inakuwa kansa au wanaweza kuwekea mpira tumboni ili kule matakoni wapatibu papone. Ni ushauri tu, kama hutaki unaacha. Asante
Mm nikienda haja ndo kinajitokeza nikjikamua nnya kinauma na kinamwaga damu
Mkuu na mimi ilinitokea mwaka jana hiki kinundu kama jipu kikaja kupotea chenyewe baada ya muda mfupi ila kwa sasa ndio kimechachamaa hatari, siwezi kukaa kama kawaida au kutembea, hapa nina Ed nipo kitandani nimelala tu.
Kwahyo ni bawasili au kijipu?
Wataalamu wanasema unaweza kutumia dawa inayoitwa.
Amoxicillin & Clavulanate Potassium Tablets USP
Pamoja na panadol ya kupunguza maumivu
Dozi ni ya wiki moja kidonge kimoja asubuhi kingine jioni, dawa hiyo inauzwa kati ya 21,000 na 25,000.
Inaponesha bawasili hii?
 
Pembeni ya tundu la haja kubwa nimetokewa na uvimbe kama vile ni jipu, lina maumivu makali mno, ukipashika ni kama kinundu kikubwa hivi, nakumbuka mwaka jana niliwahi kutokewa nacho kikapotea chenyewe kimya kimya, sasa jumapili hii iliyopita nimetokewa nacho tena, mara hii nashindwa kutembea sawa au kukaa inakuwa shida, naomba msaada kujua hii ni nini?
Picha basi...ili tukupe ushauri wenye uhalisia
 
Pasua tu adi ulete uzi humu aisee unachekesha mmeshirikiana na wife kuangalia mambo ilivyo[emoji23]
 
Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke.Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke.yMm nikienda haja ndo kinajitokeza nikjikamua nnya kinauma na kinamwaga damuKwahyo ni bawasili au kijipu?Inaponesha bawasili hii?
Zipo dawa za muda mrefu zinaponyesha mkuu, fanya uende hospital upate msaada, pia inatakiwa ule matunda na mboga za majani kwa wingi ili kusaidia kupata choo kilaini.
 
Dispensary inaweza au muhimbili?
Zipo dawa za muda mrefu zinaponyesha mkuu, fanya uende hospital upate msaada, pia inatakiwa ule matunda na mboga za majani kwa wingi ili kusaidia kupata choo kilaini.
 
Pembeni ya tundu la haja kubwa nimetokewa na uvimbe kama vile ni jipu, lina maumivu makali mno, ukipashika ni kama kinundu kikubwa hivi, nakumbuka mwaka jana niliwahi kutokewa nacho kikapotea chenyewe kimya kimya, sasa jumapili hii iliyopita nimetokewa nacho tena, mara hii nashindwa kutembea sawa au kukaa inakuwa shida, naomba msaada kujua hii ni nini?

Tafuta mafuta ya habasoda uwe unajipaka mkuu. inasaidia sana.
 
Mkuu na mimi ilinitokea mwaka jana hiki kinundu kama jipu kikaja kupotea chenyewe baada ya muda mfupi ila kwa sasa ndio kimechachamaa hatari, siwezi kukaa kama kawaida au kutembea, hapa nina Ed nipo kitandani nimelala tu.
kama umeandikiwa dawa sio swala ila mimi sikwenda hospitality nilijaribu kuulizia kwa mtu anaitwa dr.Fadhiri yupo fb ndio nikapata ushauri huo na nilipona ndani ya wiki moja kuhusu maumivu jaribu flamar mix inatuliza kwa muda mrefu
 
Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke.Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke.yMm nikienda haja ndo kinajitokeza nikjikamua nnya kinauma na kinamwaga damuKwahyo ni bawasili au kijipu?Inaponesha bawasili hii?
Ushapima na kuambiwa kuw ni Bawasil
 
Mkuu mimi niko mwanza, nimetoka hospital sasa hivi nimeambiwa ni bawasiri, kuna dawa Dr kanishauri nikazitafute zitanisaidia zaidi kuliko hizo za bima, kuna gel moja inauzwa 18k nimeshaipata na vidonge vinauzwa 38k ndio nahangaika kuvitafuta hapa bado sijavipata....ila mwanzoni nilidhani ni jipu na wife aliniwekea kitunguu saumu eti liive, hapa nilipo nikishika nalisikia kama ni laini laini mno, natamani ata litobolewe niweze kukaa au kutembea vizuri.
Naona raia wamekupa like nyingi mkuu sijafahamu wanamaanisha nn
 
Dispensary inaweza au muhimbili?
Dispensary sina hakika sana ila walau nenda kwenye health center, huko unaweza kupata huduma nzuri zaidi, pia utapata ushauri wa mzuri zaidi kuhusu ipi ni dawa nzuri kulingana na ukubwa wa tatizo lako.
 
Tafuta mafuta ya habasoda uwe unajipaka mkuu. inasaidia sana.
Nashukuru sana kwa ushauri mkuu, usiponisaidia mimi utawasaidia wengine wengine wanaopitia uzi huu wenye tatizo kama langu au pengine ndugu, jamaa na marafiki zao ni wahanga wa kadhia hii. Barikiwa sana.
 
Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke.Mkuu mm tayar natokwa na damu wakat wa haja kubwa. Nikipanda bodaboda ikidunda kwenye shimo nahisi maumivu kama nimekalia kisu cha moto. Natamani wakanifanyie upasuaji tu waikate itoke.yMm nikienda haja ndo kinajitokeza nikjikamua nnya kinauma na kinamwaga damuKwahyo ni bawasili au kijipu?Inaponesha bawasili hii?
Hapana kuna jirani yangu kaandikiwa hiyo dozi baada ya kuwaona wataalamu wa afya, ngoja tusubiri matokeo yake.
Ila huu uginjwa unainekana kuwa ni ugonjwa siokuwa na tiba ya uhakika.
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo nimebaini sababu nyingine inayopelekea mtu kupata huo ugonjwa wa Bawasili.
Kula vyakula vyenye
"Sumu Kuvu"
"Sumu Kuvu" ipo kwenye nafaka ambazo hazijakaushwa vizuri juani.
Kama Karanga, Mahindi, Korosho, na vinavyo fanana na hivyo.
Hivyo mnapo tafuna Karanga mbichi lazima mzichunguze kwa umakini hizo karanga hasa tunazotafuna huku mijini.
Ule ukungu unaoota kwenye karanga kwa kuto kauka vizuri ambao hauonekani sana kwa macho ni chanzo kingine cha bawasili.

(Ni kwamba hiyo Sumu Kuvu inaenda kuua baadhi ya Seli za mwilini, zile Seli zilizokufa na zinatafuta pa kutokea, na mahali pekee zinapoweza kutoka ni ile sehemu yenye ngozi laini, ngozi iliyo karibu na tundu la tako ndiyo ngozi laini zaidi kwa binadamu. Ni kama magma ya volcano unavyolipuka kwenye eneo lenye mwamba dhaifu.
Bawasili inapopasuka hiyo damu inayotoka ndiyo Seli zilizokufa hizo.
Mtu ukila chakula kilichokamilika kwa muda mrefu kidogo kinaenda kuimarisha kinga mwilini na kuiondoa Bawasili)

Wauzaji wanaufuta tu huo ukungu lakini kiuhalisia bado unabakia kwenye vitafunwa hivyo.
Nilipo muuliza jirani yangu aliyepatwa na kadhia hii ya Bawasili amesema alikua mtafunaji sana wa karanga na kuna siku kabla ya kuupata huo ugonjwa anakumbuka alitafuna karanga yenye uchungu na hakutema.
Tahadhari nyingine hiyo.
 
Back
Top Bottom