Mrejesho.
Nimetumia utomvu wa migomba. Nilikuwa napaka asubuhi na jion kila mara baada ya kuoga, nakausha na kitambaa laini na safi kisha napaka huo utomvu. Nimefanya hivyo kwa siku 5 hivi uvimbe ukaanza kutokomea, mara baada ukaanza kirudi tena. Niliendelea kupaka uvimbe ukaanza kutokomea hadi pamekuwa flat kabisa kama ilivyo kawaida.
Sihisi maumivu ya aina yoyote ile hadi naandika ujumbe huu nina zaidi ya wiki mbili sasa. Sema matatizo ya wabongo tu, sijapaka tena toka tatizo liishe.
Asante sana.