DALILI ZA BAWASIRI NA TIBA YAKE
🔴Bawasiri hutokea pale mishipa ya damu inapovimba au kuathiriwa kutokana na mgandamizo unaotokea katika sehemu ya chini ya puru.
Kuna aina mbili ambazo ni :
•Bawasiri ya nje ; Hii hutokea ndani ya ngozi lakini katika sehemu ya nje ya tundu la haja kubwa (Anus)
Bawasiri ya ndani : Hii hutokea katika kuta za njia ya haja kubwa kwa ndani.
••Nini husababisha Bawasiri ?
Tatizo hili hutokea pale kunapokua na mgandamizo mkubwa katika mishipa ya damu (Veins) kuzunguka eneo la tundu la haja kubwa
Hili huweza sababishwa na mambo yafuatayo :
Kukaa chooni kwa muda mrefu
Tatizo la kuwa na haja kubwa ngumu kwa muda mrefu
Kuharisha sana kwa muda mrefu
Kula vyakula visivyokua na nyuzinyuzi
Kulegea kwa tishu maeneo ya tundu la haja kubwa (Hili husababishwa na swala zima la uzee au ujauzito )
Kunyanyua vitu vizito mara kwa mara
Dalili za BAWASIRI YA NJE :
*Muwasho katika tundu la haja kubwa
*Uvimbe mmoja au zaidi pembezoni mwa tundu la haja kubwa
*Maumivu ya njia ya haja kubwa , hasa wakati wa kukaa
*Swala la kujisafisha au kujikuna mara kwa mara kutaongeza tatizo liwe kubwa zaidi. Hali hii huweza kuisha ndani ya siku chache
BAWASIRI YA NDANI :
..Damu kutoka katika njia ya haja kubwa , hasa wakati wa kujisafisha au wakati wa kujisaidia
..Maumivu utayasikia wakati wa haja au unapobanwa na haja kubwa. Mara nyingi ni ngumu sana kuhisi maumivu hadi sehemu iliyoathirika itoke nje ya tundu la haja kubwa , yani kama kinyama hivi kutoka ndani ya puru
NAMNA YA KUJIKONGA
•Kula vyakula vyenye nyuzi nyuzi
•Tumia dawa za kulainisha haja kubwa au virutubisho vyenye nyuzi nyuzi ( Fiber suppliments )
•Kunywa maji ya kutosha kila siku
•Usitumie nguvu kubwa kujisukuma wakati wa haja kubwa
•Usikae chooni muda mrefu (Hasa vile vyoo vya kukalia)
Fika mlimani tower ghorofa ya tatu uliza Dr .Amosi
usisahau kunipigia kura ,ubarikiwe sana *******