Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

kuna memba alishaweka tiba mbadala hapa chamvini,cjui ni majani ya mpapai unayatwanga na kupaka mara tatu kwa siku,sikumbuki fresh but anaye kumbuka atujuze,bytheway nilikuwa na tatizo ka lako but lilipona baada ya kupewa na daktari dawa ya kunywa na kuingiza huko! Pole mkuu!
 
Bawasiri inayojulikana ni ile ya tupu ya nyuma, bawasiri huwa ni mfano wa tutu kwa ugumu wake, na udogo wake na mviringo wake au huwa mwekundu huenda ikatoa damu na pengine isitoe damu.

Namna ya kuifanyia dawa:

1. Ipake mafuta ya mbono mara nyingi, na baada yake itawezekana kuirudisha ndani.

2. Iponde habbasouda kisha changanya na sukari kiasi kama cha habbasouda, ule siku moja mara moja kila mara nusu kijiko kisha na unywe maji.

Inshallah huenda dawa hizi 2 zikakusaidia na Inshallah tunamuomba Allah S.W awaondoshee maradhi wagonjwa wote inshallah.
 
jaman asanten kwa ushaur, hii kitu ni noma na weng wanaiface ila wanaogopa kusema hadharan, m naona kama ndo inaanza so nadhan naweza kuiwah.
 
<br />
<br />
Ebana nimekusoma mkuu kwa mareference ya uhakika aisee
 
jamani wenye kujua sababu/vitu vinavyosababisha huu ugonjwa naomba mtuwekee ili tuweze kujiepusha nao.. Wahenga walisema kinga ni bora kuliko tiba!
 
Magamba ya mti wa mgomba, safi kaka .mi nilipona just a week.baada ya kuhangaika more than two years. <br />
<br />
 
<br />
<br />
Inshallah ustadh... Asante
 
Magamba ya mti wa mgomba, safi kaka .mi nilipona just a week.baada ya kuhangaika more than two years. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Aisee anaejua hio dawa ya mpapai atushirikishe basi. Mana ishakuwa soo
 
Magamba ya mti wa mgomba, safi kaka .mi nilipona just a week.baada ya kuhangaika more than two years. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Umesema maganda ya mti wa mgombaa????? Mbona unanichanganya??? Au umemaanisha maganda ya mti wa ndizi, yaaanii mgomba... Z that what u mean?
 
kuna kijana mmoja alikuwa ana miaka 25,alikuwa na hilo tatizo,bongo aliambiwa bawasili.alivyoona haponi akaenda india,katika uchunguzi aliambiwa ana cancer ya njia kubwa.checking nzuri ni ya kuingizwa camera kwenye njia kubwa.huyo kijana aliteseka mwisho alifariki,kwani walimwambia hiyo cancer imeshaenea
 
Bawasiri



Kunywa juisi berry giza kutoka cherries, blackberries, au blueberries vikichanganywa na kiasi sawa cha maji ya apple husaidia kupunguza hemorrhoids. Hawa berries zina "anthocyanins" na "proanthocyanidins" ambayo kupunguza maumivu na uvimbe kwa hemorrhoidal toning na kuimarisha veins hemorrhoid. Kunywa angalau glasi ya juisi ya mchanganyiko huu kila siku. Cantaloupes ni moja ya vyakula bora unaweza kula kwa kupunguza bawasiri.
Au hii hapa chini Dawa
Jaribu hii maji ya ganda la mgomba unaponda na kupaka kwenye unyeo kutwa mara tatu kwa wiki mbili.mi nimepona .anusol haikunisaidia pamoja na kuitumia kwa miaka miwili .mgomba just two wiki. usipopona nenda hospitalini kafanye Oparesheni ya ukataji hiyo Hemorhoids source Hemorhoids
 
Umesema maganda ya mti wa mgombaa????? Mbona unanichanganya??? Au umemaanisha maganda ya mti wa ndizi, yaaanii mgomba... Z that what u mean?

Mgomba, una magamba hata kama haujatoa mkungu wa ndizi.
 
bawasiri inasababishwa na ukosefu wa choo pamoja na kupata choo kigumu ndugu. muone ndodi, ila jiandae kwa gharama za matibabu
 
i maji ya ganda la mgomba unaponda na kupaka kwenye unyeo kutwa mara tatu kwa wiki mbili.

Itabidi ahamie Moshi sasa, maana hapa mjini si atamalizia migomba yote m.kunduni kwake tu?
 
Thanks mkuu, hiyo ya jani la mgomba sounds great.

Mimi siielewi hiyo dawa ila nimemfahamu mchangiaji kua ni yale magamba ambayo hutumika kufungia tumbaku ila mabichi,

Kwamaana nyengine mgomba(mdizi) unakua na kigogo ambacho kinabambuka,magamba ya nnje hua makavu lakini ya ndani hua mabichi na ukiyakamua yanakua na maji ndani yake.
 
He kumbe mie mgonjwa haaa hapa nachemsha maji ,siku ya s leo heee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…