Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

kuna memba alishaweka tiba mbadala hapa chamvini,cjui ni majani ya mpapai unayatwanga na kupaka mara tatu kwa siku,sikumbuki fresh but anaye kumbuka atujuze,bytheway nilikuwa na tatizo ka lako but lilipona baada ya kupewa na daktari dawa ya kunywa na kuingiza huko! Pole mkuu!
 
Bawasiri inayojulikana ni ile ya tupu ya nyuma, bawasiri huwa ni mfano wa tutu kwa ugumu wake, na udogo wake na mviringo wake au huwa mwekundu huenda ikatoa damu na pengine isitoe damu.

Namna ya kuifanyia dawa:

1. Ipake mafuta ya mbono mara nyingi, na baada yake itawezekana kuirudisha ndani.

2. Iponde habbasouda kisha changanya na sukari kiasi kama cha habbasouda, ule siku moja mara moja kila mara nusu kijiko kisha na unywe maji.

Inshallah huenda dawa hizi 2 zikakusaidia na Inshallah tunamuomba Allah S.W awaondoshee maradhi wagonjwa wote inshallah.
 
jaman asanten kwa ushaur, hii kitu ni noma na weng wanaiface ila wanaogopa kusema hadharan, m naona kama ndo inaanza so nadhan naweza kuiwah.
 
Inatibika kwa opareshein ya upasuaji nenda kamuone Daktari atakusaidia. <br />
<br />
<br />
(<b>Hemorrhoids)<div style="margin-left:80px"><br />
Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.<br />
<font color="#000000"><b>Kuna aina mbili za Bawasiri:</b></font><br />
<font color="#008000">i. Nje</font><br />
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.<br />
<font color="#008000">ii. Ndani</font><br />
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.<br />
Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:<br />
<i>Daraja I</i>- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida<br />
<i>Daraja II</i>- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.<br />
<i>Daraja II</i>I- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.<br />
<i>Daraja IV</i>- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.<br />
<br />
<a href="http://www.tanzmed.com/wp-content/uploads/2011/05/hemorrhoid-1.jpg" target="_blank"><img src="http://www.tanzmed.com/wp-content/uploads/2011/05/hemorrhoid-1-300x212.jpg" border="0" alt="" /></a><b>Je bawasiri husababishwa na nini?</b><br />
Bawasiri husababishwa na;<br />
• Tatizo sugu la kuharisha<br />
• Kupata kinyesi kigumu<br />
• Ujauzito<br />
• Uzito kupita kiasi (obesity)<br />
• Ngono ya njia ya haja kubwa (anal sex)<br />
• Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.<br />
• Umri mkubwa<br />
<b>Dalili za bawasiri;</b><br />
• Damu kuchanganyika na kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)<br />
• Maumivu au usumbufu<br />
• Kinyesi kuvuja<br />
• Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa<br />
• Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa<br />
• Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa<br />
<b>Matatizo yanayoweza kutokana na Bawasiri:</b><br />
• Upungufu wa damu mwilini (Anemia)<br />
• Strangulated hemorrhoids<br />
<a href="http://www.tanzmed.com/wp-content/uploads/2011/05/hemorrhoids-2.jpg" target="_blank"><img src="http://www.tanzmed.com/wp-content/uploads/2011/05/hemorrhoids-2-231x300.jpg" border="0" alt="" /></a><br />
<b>Vipimo na uchunguzi:</b><br />
i. Digital rectal examination<br />
ii. Proctoscope<br />
iii. Sigmoidoscope<br />
<b>Matibabu :</b><br />
Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri<br />
i. Rubber band ligation- Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.<br />
ii. Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano<br />
iii. Coagulation (infrared, laser and bipolar)<br />
iv. Upasuaji;<br />
-Hemorrhoidectomy<br />
-Stapled hemorrhoidopexy<br />
<i>Jinsi ya kuzuia Bawasiri:</i><br />
• High fibre diet, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.<br />
• Kunywa maji mengi kwa siku (glasi sita had nane kwa siku)<br />
• Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa. <br />
Chanzo :<a href="http://old.tanzmed.com/?p=1255" target="_blank">Bawasiri (Hemorrhoids) – TanzMED(old) - Afya Kwa Wote</a></div></b>
<br />
<br />
Ebana nimekusoma mkuu kwa mareference ya uhakika aisee
 
jamani wenye kujua sababu/vitu vinavyosababisha huu ugonjwa naomba mtuwekee ili tuweze kujiepusha nao.. Wahenga walisema kinga ni bora kuliko tiba!
 
Magamba ya mti wa mgomba, safi kaka .mi nilipona just a week.baada ya kuhangaika more than two years.
kuna memba alishaweka tiba mbadala hapa chamvini,cjui ni majani ya mpapai unayatwanga na kupaka mara tatu kwa siku,sikumbuki fresh but anaye kumbuka atujuze,bytheway nilikuwa na tatizo ka lako but lilipona baada ya kupewa na daktari dawa ya kunywa na kuingiza huko! Pole mkuu!
<br />
<br />
 
<b>Bawasiri </b>inayojulikana ni ile ya tupu ya nyuma, bawasiri huwa ni mfano wa tutu kwa ugumu wake, na udogo wake na mviringo wake au huwa mwekundu huenda ikatoa damu na pengine isitoe damu.<br />
<br />
<u>Namna ya kuifanyia dawa:</u><br />
<br />
1. Ipake mafuta ya mbono mara nyingi, na baada yake itawezekana kuirudisha ndani.<br />
<br />
2. Iponde habbasouda kisha changanya na sukari kiasi kama cha habbasouda, ule siku moja mara moja kila mara nusu kijiko kisha na unywe maji.<br />
<br />
Inshallah huenda dawa hizi 2 zikakusaidia na Inshallah tunamuomba Allah S.W awaondoshee maradhi wagonjwa wote inshallah.
<br />
<br />
Inshallah ustadh... Asante
 
Magamba ya mti wa mgomba, safi kaka .mi nilipona just a week.baada ya kuhangaika more than two years. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Aisee anaejua hio dawa ya mpapai atushirikishe basi. Mana ishakuwa soo
 
Magamba ya mti wa mgomba, safi kaka .mi nilipona just a week.baada ya kuhangaika more than two years. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Umesema maganda ya mti wa mgombaa????? Mbona unanichanganya??? Au umemaanisha maganda ya mti wa ndizi, yaaanii mgomba... Z that what u mean?
 
kuna kijana mmoja alikuwa ana miaka 25,alikuwa na hilo tatizo,bongo aliambiwa bawasili.alivyoona haponi akaenda india,katika uchunguzi aliambiwa ana cancer ya njia kubwa.checking nzuri ni ya kuingizwa camera kwenye njia kubwa.huyo kijana aliteseka mwisho alifariki,kwani walimwambia hiyo cancer imeshaenea
 
Bawasiri

Hemorrhoids.png


Kunywa juisi berry giza kutoka cherries, blackberries, au blueberries vikichanganywa na kiasi sawa cha maji ya apple husaidia kupunguza hemorrhoids. Hawa berries zina "anthocyanins" na "proanthocyanidins" ambayo kupunguza maumivu na uvimbe kwa hemorrhoidal toning na kuimarisha veins hemorrhoid. Kunywa angalau glasi ya juisi ya mchanganyiko huu kila siku. Cantaloupes ni moja ya vyakula bora unaweza kula kwa kupunguza bawasiri.
Au hii hapa chini Dawa
Jaribu hii maji ya ganda la mgomba unaponda na kupaka kwenye unyeo kutwa mara tatu kwa wiki mbili.mi nimepona .anusol haikunisaidia pamoja na kuitumia kwa miaka miwili .mgomba just two wiki. usipopona nenda hospitalini kafanye Oparesheni ya ukataji hiyo Hemorhoids source Hemorhoids
 
Umesema maganda ya mti wa mgombaa????? Mbona unanichanganya??? Au umemaanisha maganda ya mti wa ndizi, yaaanii mgomba... Z that what u mean?

Mgomba, una magamba hata kama haujatoa mkungu wa ndizi.
 
bawasiri inasababishwa na ukosefu wa choo pamoja na kupata choo kigumu ndugu. muone ndodi, ila jiandae kwa gharama za matibabu
 
i maji ya ganda la mgomba unaponda na kupaka kwenye unyeo kutwa mara tatu kwa wiki mbili.

Itabidi ahamie Moshi sasa, maana hapa mjini si atamalizia migomba yote m.kunduni kwake tu?
 
Thanks mkuu, hiyo ya jani la mgomba sounds great.

Mimi siielewi hiyo dawa ila nimemfahamu mchangiaji kua ni yale magamba ambayo hutumika kufungia tumbaku ila mabichi,

Kwamaana nyengine mgomba(mdizi) unakua na kigogo ambacho kinabambuka,magamba ya nnje hua makavu lakini ya ndani hua mabichi na ukiyakamua yanakua na maji ndani yake.
 
Back
Top Bottom