Mkuu are you serious?
Na gharama zenu ni ngapi? Na je kwa yule ambaye ugonjwa ume develop kwa kiasi fulani anapona?Aisee kuna ndugu yangu anateseka sn na anaficha
Ni ya kweli hayo?
Ukiona unauziwa dawa zaidi ya elfu 50 jua unapigwa hakuna dawa hapo....! Hawa watu wa tiba asili janja janja nyiingi
I had this shit ila nimeitibu mwenyewe at zero cost. Ngoma hii ni matokeo ya kutokuzingatia vitu vidogo dogo ila ni muhimu na usipovifuata madhara yake ni makubwa...
Rekebisha hapo " hana kwa hana " na isomeke ' ana kwa ana 'Ukiuziwa bei ndogo inakula kwako kama 50000 au 80000 sana sana dawa inayotibu bawaziri inaanzia 250,000 kwenda juu watanzania tunapenda dezo sana ,kuna watu humu wamelipa 50,60 mpåka 80 lakin bado hawajapona ,Sisi tiba lishe yetu inaanzia 230 kwenda juu na tunaonana hana kwa hana hatuna ujanja ujanja
kila biashara inachangamoto zake ila hii yako kiboko. Kwa nini usababishie watu matatizo ya kutokujiamini na kupunguza ufanisi wao katika kazi mbali mbali kwa advocate ushauri wa uongo kuwa maji wanywe baada ya nusu Kweli.Unasema kunywa maji kwenye mlo wako kumbuka chakula huwa hakisagwi na maji,na ukifanya hivyo mmengenyo wa chakula unakuwa mgumu sana unashauriwa unapomaliza kula ipite walau nusu saa au lisaa ndo unywe maji,kama unakunywa maj kwenye mlo acha kabisa na watoto wako wazuie kufanya hivyo
OK sawa,gharama hiyo ni affordable ila iwe ni uhakika sasaJamaa alinambia gharama ya dawa yake ni 250,000/=. Sijui alitaka kunipiga!
250,000/= ni affordable?OK sawa,gharama hiyo ni affordable ila iwe ni uhakika sasa
Rwkwbisha hapo " hana kwa hana " na isomeke ' ana kwa ana '
Shukrani kwa maelezo ya tibalishe
250,000/= ni affordable?
Umetumia kigezo kipi
AhsanteOooooh poleeeh sana ni ugonjwa mbaya sana huu, na maumivu yake hayaelezeki.
Watalaamu wa Afya watatoa maelezo ya kitabibu, ila nasikiaga hii ya nje huwa wanafanya operation.
Tusubiri wataalamu waeleze kwa kina, ila poleeeh sanaa.
Daah nitaupatia wapi nimeuchek sana kaka lakn wapPole sana ila kuna uzi upo humu watu walitoa dawa nawengine ushauri utafute mkuu.
Pole sana ...mimi ilishawahi kunipata 2017 ninachokumbuka yangu ilikuwa tofauti kidogo hunikuta ninakaa na njaa muda mrefu hasa mwezi wa Ramadhan katikati...nilishauliwa nile vyakula vya nafaka hasa visivyokobolewa.Habari ndugu zangu,nasumbuliwa na bawasiri ya nje.
Nikijisaidia haja kubwa tu basi kuta za haja kubwa huvimba na kutoa muwasho mkali sana mpaka nashindwa kufanya shughuli nyingine.Nimetumia dawa za kunjwa ili kupata choo laini nimefanikiwa...issue ni hii bawasiri ya kuvimba kwa kuta na kurudi inakua shida sana mpaka nilale masaa 8 ndo irudi yenyewe ndani...
Ndugu zangu naombeni msaada kama kuna mtu yeyote anajua dawa ya hili tatizo linanitesa sana,na ushauri pia napokea
0623463055..
Kama unaukumbuka utag hapa ndugu yetu aweze kupata msaada.Pole sana ila kuna uzi upo humu watu walitoa dawa nawengine ushauri utafute mkuu.
Kama unaukumbuka utag hapa ndugu yetu aweze kupata msaada.Pole sana ila kuna uzi upo humu watu walitoa dawa nawengine ushauri utafute mkuu.
Pole sana ...mimi ilishawahi kunipata 2017 ninachokumbuka yangu ilikuwa tofauti kidogo hunikuta ninakaa na njaa muda mrefu hasa mwezi wa Ramadhan katikati...nilishauliwa nile vyakula vya nafaka hasa visivyokobolewa....
Daah nitaupatia wapi nimeuchek sana kaka lakn wap