Nisaidie dawa simple but effective ya Bawasiri. Nateseka.Mimi nilipoteza pesa nyingi sana,cha ajabu nilisaidiwa na bibi mmoja kwa gharama ya Sh.10,000 tu kule Iringa mpaka leo sijaona tena.Lilinisumbua tangu 2016 mpaka mwanzoni mwa 2021.
Sh ngapiMimi nilikua na tatizo hilo, bado natumia dawa inaelekea kupona kabisa. Ni ya kupaka na kunywa.
Haina limit ya sikuView attachment 2040493
Mungu akuponye.Nisaidie dawa simple but effective ya Bawasiri. Nateseka.
Nenda hospitaliWatu waxenge sana. Hawataki kunisaidia dawa.
Dawa ni kula mapapai kila siku manWatu waxenge sana. Hawataki kunisaidia dawa.
Pole mkuu japo umapanic katafute mafuta ya habbat sawda uwe unapakaa utaleta majbuWatu waxenge sana. Hawataki kunisaidia dawa.
pole , nenda hospitali mapema.Watu waxenge sana. Hawataki kunisaidia dawa.
Dah... Sijui kama mleta mada kakuelewa vizuri, japo mimi daktari nimejua una nia njema ya kuelekezaKwenye mahala pa aja kubwa vinatoka vinyama. Yaani rectum inatoka kwa nje. Usile vyakula vigumu. Kula matunda na mbonga. Usijisaidie aja kubwa uku umesimama na usitumie nguvu nyingi kujikamua. Oiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila we jamaa unafaa kuanzisha Uzi wa vichekesho kila nikisoma comments zako Huwa nafurahi sanaMbona Bawasir ni jina la mtu?
nini uhusiano kati ya bawasir mtu na hicho kijinyama?
Mafuta ya mnyonyo au castor oil yanalainisha choo, pia kama kigumu Sana unaweza paka kwenye NJIA ya haja kubwa ili kurahisha utokaji wa mabaki ya chakula na sio takamwili.Ndio hii dawa wakuu?
View attachment 2300359
Inapatikana maduka gan?Kwa wanasumbuliwa na bawasiri jaribuni kuagiza na kutumia hii herbal cream toka china bei simple buku 7 tu itawasaidia sanaView attachment 2480459
Inaagizwa kutoka china mm nilitumia platform ya kikuu, inakufikia baada ya wiki 3 mpk 4 toka umeiagizaInapatikana maduka gan?