pole sana,,,mi sio dr,,ila ni dalili za hoemorrogy,,,,sijui kama nimiandika vyema,,,,,usile nyama nyekundu,,pombenyingi,,,,kunywa maji sana na kula raffegies,,mbogamajani,,,usile vitu vikavu,,ukifanya mazoezi achama mdomo,,,,,tafuta mpare akuonyeshe jani/mmea uitwao ,,mrumbavasi,pondaponda,bandika hapo kidizain usiku ukilala,,,,,niko tayari kusahihishwa na kuboreshewa,,,ni uzoefu wa kujua tatizo hilo,Jamani mficha maradhi kifo humuumbua, mwanzo nilikuwa najisikia muwasho katika sehemu ya haja kubwa nikadhani ni sababu sijachamba vizuri kwakuwa nipo shule ya bweni kuna uhaba mkubwa wa maji ila muwasho ulpoendelea nilijichunguza vizuri na kugundua kuna kauvimbe kama kanyama kametuna nilipouliza nikaambiwa ni tatizo la costpation na kwel huku unaweza ukala milo hata miwil4 bila kunywa maji. Je nnaweza tumia njia gan ili tatizo lisiendelee?
usiwe mbishi, ugonjwa wako unataka hutibiwe ukiwa shule. nini maana ya KUELIMIKA SASA?Nashukuru sana, lakini ningeomba mnijuze njia zinazoweza kutibu bila kufika hospital, maana nipo shule na ni mbali na vituo vya afya labda mpaka likizo, je wakat nasubiri likizo nifanye nini?
Tumia dawa inaitwa Procto-Glyvenol[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif].[/FONT]Habari wadau, mimi ni kijana wa kitanzania, nimeoa mwezi uliopita tu. Mpaka sasa naandika ni kwamba mke wangu ni mja mzito wa miezi miwili kasori. Tatizo ni kuwa mke wangu katika sehemu ya haja kubwa kuna kijinyama kidogo kimejitokeza,hatuna uhakika lakini baada ya kuuliza tukaambiwa inaweza kuwa " bawasiri". Je ni nini tiba yake? Pia kama haijatibiwa inaweza kuleta madhara gani wakati wa kujifungua? Nampenda sana mke wangu and napenda sana kumuona mtoto wangu mtarajiwa. Naombeni maoni na ushauri wenu. Asante
Tumia dawa inaitwa Procto-Glyvenol.
hurudisha.vicent tibaijuka, unaweza kutuelezea inatibu kurudi kwa bawasiri au inapunguza maumivu.
habari wadau, mimi ni kijana wa kitanzania, nimeoa mwezi uliopita tu. Mpaka sasa naandika ni kwamba mke wangu ni mja mzito wa miezi miwili kasori. Tatizo ni kuwa mke wangu katika sehemu ya haja kubwa kuna kijinyama kidogo kimejitokeza,hatuna uhakika lakini baada ya kuuliza tukaambiwa inaweza kuwa " bawasiri". Je ni nini tiba yake? Pia kama haijatibiwa inaweza kuleta madhara gani wakati wa kujifungua? nampenda sana mke wangu and napenda sana kumuona mtoto wangu mtarajiwa. naombeni maoni na ushauri wenu. Asante
Jamani wana jamvi wenzangu....Naomba mnisaidie katika hili..Hivi tatizo la vinyama nyama kuota katika sehemu ya haja kubwa, linaitwaje, linasababishwa na nini? Na tiba yake je ipo vipi? Vilevile vikiachwa vitakuwa? Naombeni majibu chanya na toshelevu tafadhali.
Tatizo : Bawasili au Fibroids(sina uhakika sana na jina hili la kitaalamu)
Sababu: Kuvimba kwa mishipa midogo inayozunguka ****** hii ni kutokana na kupata choo kigumu.
Tiba: Tiba ipo nadhani ni ya vidonge, jaribu kwenda hospitali hasa hasa hawa jamaa wa Tiba lishe.
Note: Fika hospitali haraka usiache tatizo liendelee, maana likizidi sana huenda vikapasuka na kukusababishia madhara zaidi, mara nyingine hupelekea kansa ya ******.
inaitwa haemorroids na si fibroid, matibabu yake inategemea na eneo lilipo na namna gani inakusumbua, initially huwa tunaanza na medical treatment lakini pamoja na kula vyakula vyenye laughages kama mboga za majani juice na maji ya kutosha na final and definitive treatment ni kuviondoa lakini baadaye unatakiwa kuendelea na diet. I think its okey, haya nenda hospital Drs tuone shida iko wapi.
Good luck
Ahsante aisee, vipo kwa nje(pembeni) katika ile mikunjo ya anus.pole ila sasa hebu sema ziko sehemu gani kwa nje ya ngozi pembeni ya anus au unaviona katikati vinaziba anus? yaaana elezea vilipo kwanza.