Tujikomboe Finance
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 212
- 81
Makila kwa kinyumban..............Makila noma dada.........Kumbe mimi kaka yako......
Makila kwa kinyumban..............Makila noma dada.........Kumbe mimi kaka yako......
Wewe ni kaka yangu kabisa ...........
Makila kwa kinyumban......ni mabaya sana.Yanamaliza nguvu,yanakondesha.Yanatibika kienyej
Do you know why kuna magonjwa afrika yanaua watu wakati yanatibika? Mnaanzaga na denial kwa kusema utaisha baada ya siku chache, the jirani yako anakushauri mizizi ya kutumia. Unaenda kwa mganga wa kienyeji,unalishwa mavi, mavuzi etc na ukishaona hamna nafuu ndo unaenda hospitali. Hapo inakuwa too late na lawama zinakuwa kwa watumishi wa afya. Tunajionaga kama tuko sahîhi kwa yale tunayoyafanya na kuufunika ujinga wetu chini ya meza.
Uvimbe ukoje size, unatoa uchafu au laaaa, unauma ukiguswa au la!???
nenda kamwona dk wa wakina mama
uliwahi kwenda kwa daktari?
MENISONHata mimi nimepatwa na tatizo kama hilo, nimeenda hospitali nikaambiwa na dokta kama mchangiaji wa kwanza hapo juu, sasa nimepewa dawa anusol natumia siku 5 then nikampe feedback baada ya week , ila naona kiuvimbe kinapungua.Sijui ntafanyiwa upasuaji au ntaachwa koz naona kinapotea , siku ya 4 natumia dawa
vimbe hakipo tena ila nilishauriwa vyakula mkali