Unaitwa bawasili kama sikosei.
Watakuja wataalamu kukujuza
Hao wataalam ni akina nani?
Hemorrhoids Home Remedy Using Milk And Radish
Conditions Treated: Nutrition and Metabolism
Specific Conditions Treated: Hemorrhoids
Ingredients Used: Milk, Radish
Description: Piles or hemorrhoids is one of the most common ailments today. It is a varicose and often inflamed condition of the veins, inside or just outside the rectum. In external piles, there is a lot of pain but not much bleeding. In the case of internal piles, there is discharge of dark blood. In some cases the veins burst and this results in what is known as bleeding piles.
Pain at passing stools, slight bleeding in the case of internal trouble, and feeling of soreness and irritation after passing a stool are the usual symptoms of piles. The patient cannot sit comfortably due to itching, discomfort, and pain in the rectal region.
The primary cause of piles is chronic constipation and other bowel disorders. The straining in order to evacuate the constipated bowels, and the pressure thus caused on the surrounding veins leads to piles. Piles are more common during pregnancy and in conditions affecting the liver and upper bowel. Other causes are prolonged periods of standing or sitting, strenuous work, obesity, general weakness of the tissues of the body, mental tension, and heredity.
Directions For Use: Grate a radish and extract its juice. Then mix a little milk into this juice. Apply this mixture on the affected parts
Expected Results Within: 1 week
Ndio Mkuu IsumbwileMkuu, inawezekana huu ugonjwa hukawa wa kurithi?, huwa na sumbuliwa na piles sumtyms, sina any tatizo wala sababu ulizozitaja hapo zinazosababisha piles. Lakini mama yangu pia huwa zinamsumbua MziziMkavu
Ndio Mkuu Isumbwile
Ni Kweli unaweza kuwa ni ugonjwa wa kurithi mimi pia Marehemu mama yangu alikuwaa nao na mimi pia nikawa ninao huu ugonjwa tangu mwaka 1984 mpaka 2004 ndio nimepona nili hangaika sana na dawa za hospitali nimesha fanya Operesheni ukarudi tena mpaka nilipo tumia Dawa za kienyeji ndipo nilipo pona.
Mkuu Isumbwile inawezekana mimi nina matatizo ya vidole na kucha wakati mwengine kutoka nyama marehemu baba yangu ndio ulikuwa ugonjwa wake ninatumia dawa na dawa ikisha nguvu ugonjw aunajirudia tena. Watu wanarithi mali sisi Waafrika tunarithi Maradhi kazi kweli ipo.One more thing mkuu MziziMkavu, vipi kuhusu matatizo ya mgongo,nayo pia yanaweza yakawa ya kurithi pia?. Nimekuwa nasumbuliwa na matatizo hayo pia for some time, nikaja kuuliza kumbe mzee wangu pia alikuwa anasumbuliwa sana na mgongo. Is it possible kurithi maana sifanyi kazi ngumu, godoro lipo poa kabisa, ila hali imekuwa si shwari kabisa hadi kufikia kulala kwenye floor mara nyingine. Ushauri wako tafadhali
Mkuu Isumbwile inawezekana mimi nina matatizo ya vidole na kucha wakati mwengine kutoka nyama marehemu baba yangu ndio ulikuwa ugonjwa wake ninatumia dawa na dawa ikisha nguvu ugonjw aunajirudia tena. Watu wanarithi mali sisi Waafrika tunarithi Maradhi kazi kweli ipo.
Mkuu Isumbwile kuhus mgongo mimi huwa unaniuma haswa nikikaa siku nyingi pasipo na kufanya mapenzi basi mgongo huwa unaniuma nadawa yake ni kunyw amaji ya uvuguvugu ndioDaah, kazi kweli kweli, unaweza kutusaidia few tips za kudeal na Maumivu ya mgongo?
Mkuu Isumbwile kuhus mgongo mimi huwa unaniuma haswa nikikaa siku nyingi pasipo na kufanya mapenzi basi mgongo huwa unaniuma nadawa yake ni kunyw amaji ya uvuguvugu ndio
mimi huwa ninatumia hiyo dawanimeshakwenda Hospitali kupiga mpaka XRAY huku nje nilipo Ma-Daktari wangu 3
wakasema hawaoni kitu yaani sina maradhi lakini mgongo unaniuma ninatumia maji ya Uvuguvugu
kunywa Asubuhi ninapo amka huwa ninakunywa maji ya Uvuguvugu glasi 3 kabla ya kula kitu kisha ninakaa kwa muda
wa saa 1 bial ya kula baada ya saa 1 kupita huwa ninakula chakula na wakati wa mchana
ninakunyw amaji ya Uvuguvugu tena glasi 2 ninafanya kama nilivyo fanya wakati wa asubuhi. Na wakati wa usiku huw aninakunywa tena glasi 2 za maji ya uvuguvugu ninafanya kama nilivyo wakati wa mchana
na wakatiwa usiku kabla sijalala huw aninaklunywa gşlasi 1 ya maji ya uvugvugu kishandio ninalal basi ukifanya Tips hiyo Bassi utaweza kupona mgongo na maradhi yote mwilini mwako. Ningekushauri kabla ya kutumiahiyo Tips nenda kapige XRAY ili kuhakikisha je unayo maradhi au huna?
Unaweza pia kutembelea hapa.http://www.healthydrinkingwaterblog...king-water/benefits-of-drinking-hot-water-36/