Nimewahi kupatwa na tatizo hili. Nakiri kwamba ni kweli tatizo hili kwangu mm lilitokea kwa sbb nilikuwa napata choo kigumu sana sana pale unapojaribu kukikata utoe kwa mafungu mafungu anus inauma balaa,siku ya pili yake niligundua tayari nina kidonda na kuna kinyama kimetokeza kwa nje halafu kinauma sana!!! Lakn nilitumia vidonge viwili tu vya anusol nikapona. Kile kidonge ni kizur sana unapokiingiza kinaleta msisimko kweli!!!
Bawasiri iinitokea Dec 2014, baada ya kuendesha "Diarrhea" ya kama siku tatu mfululizo. Nilikuwa napata maumivu makali sana. Nilienda hospitali, wakasema dawa ni kufanyiwa upasuaji. Nikaogopa.
Nikaenda kwa mzee mmoja wa tiba asilia, akanipa dawa fulani ya maji ambayo nilikuwa napaka asubuhi na usiku.
Alhamdulillah, ndani ya siku tatu nikapona kabisa
Bawasiri iinitokea Dec 2014, baada ya kuendesha "Diarrhea" ya kama siku tatu mfululizo. Nilikuwa napata maumivu makali sana. Nilienda hospitali, wakasema dawa ni kufanyiwa upasuaji. Nikaogopa.
Nikaenda kwa mzee mmoja wa tiba asilia, akanipa dawa fulani ya maji ambayo nilikuwa napaka asubuhi na usiku.
Alhamdulillah, ndani ya siku tatu nikapona kabisa
hospitali ganijamani me pia nilipata tatizo hilo hilo, baada ya kumwelezea doctor kuwa kuna kinyama kinauma hatari yani wakati wa kukata gogo na kipo kwa nje kidogo basi pale wakati naendelea kumwelezea na yeye akaniambia hilo tatizo mara nyingi hata wabeba vyuma huwa linawakuta na ndio nikamwambia hapo hapo doctor kama ulimeniona vile, nakumbuka kuna dawa alinipa ya kumeza na kupaka akaniambia hiidozi ni kiboko tatizo lako lazma liishe hapo na dozi ya kupaka ilikuwa ni ucku tu ukiwa unataka kulala, basi ndani ya siku 5 mchezo ukaisha na ndio ntolee mpaka leo, hospitali niliyoenda ni sinza palestina na nilitibiwa na bima tuu. Ila tatizo nimesha sahau na dawa yenyewe ilikuwa inaitwa nn.
Mkuu ulipata bawasiri iliyo katika hatua za mwanzoni..Jitahidi udhibiti kabisa constipation na ukifanikiwa kupata choo laini kabisa basi hicho kidondaa kitapona chenyewe na hicho kinyama kitadegenerate
Hakikisha unahusisha matunda mengi kwenye chakula chako,papai,embe,parachichi,nanasi na matunda yenye nyuzi (rhoughage) na pia uepuke kula vyakula vyenye vina ngano
Usisahau kunywa maji mengi sana kulainisha choo..Hemorrhoids ikiwa katika hatua za mwanzoni huwa ni self limiting na incase ikiendelea basi ulete mrejesho tuone namna nyingine ya kufanya
Get well soon