BAWASILI: TIBA NA TAHADHARI
Maradhi haya yapo ya aina kumi na tano (15). Maradhi haya hushambulia njia ya haja kubwa. Hujitokeza kwa sura tofauti na hali tofauti. Kwa hapa Tanzania na Afrika Mashariki kwa jumla, aina tatu za maradhi haya ni maarufu sana na yamekuwa yakiwaumiza watu wengi. Katika makala hii nitazitaja aina hizi tatu:
i
) Kutoka kinyama katika njia ya haja kubwa
Kuna vinyama vya aina mbili. Cha kwanza ni kirefu hutoka ndani ya njia ya haja kubwa baada ya haja kubwa au mtu anapochutama. Kwa lugha ya kitaalam huitwa skin tab. Cha pili ni kinyama kinachoota pembezoni mwa mzunguko wa njia ya haja kubwa. Kwa kitaalam hiki huitwa external hemorroid . Hizi ni aina mbili za vinyama vinvyoota njia ya haja kubwa.
ii) Mpasuko katika njia ya haja kubwa
Walio wengi hupata maradhi haya. Njia ya haja kubwa hufanya mchaniko pembeni (anal fissure). Mchaniko huu husababisha maumivu makali sana hata mtu hushindwa kukaa. Mara kwa mara hutoa damu hasa mtu anapojisaidi haja kubwa. Maumivu makali hupatina.
iii) Kushuka nyama kubwa njia ya haja kubwa
Baadhi ya walio wengi hushukwa na nyama katika njia ya haja kubwa. Baadhi ya watu wa pwani hasa visiwani huliita nyama hili ni futuru. Hii ni moja ya aina ya maaradhi ya bawasili, mgolo, mjiko.
Kwa kuwa hizi ni aina muhimu zinasosumbua sana hapa ukanda wa pwani wa Afrika Mashariki naomba tuishie hapo. Mungu akipenda siku nyingine utaangalia maradhi mengine.
4) Matibabu
Kuna matibabu ya aina nyingi kwa njia za kihospitali. Ila ni kwamba maradhi haya yanatibika kwa dawa za MITI SHAMBA. Zipo dawa za kunywa na kujipaka. Dawa ya Mega dose, Tumbo tonic na Hemorrhoid oil ni mjarabu na zinatibu vyema hasa iwapo tatizo utaliwahi mapema
5) Tahadhari
- Unapoona dalili hizo hapo juu MUONE DAKTARI au mtabibu anayeaminika. Usijaribu kujikata au kumpa mtu akukate bila utaalam ni HATARI.
- Usikipasue kinyama kilichoota kwani huo ni mshipa wa damu. Damu itamwagika nyingi sana.
- Jiepushe na yote yaliyotajwa hapo juu yanayosababisha maradhi haya
- Ukiona dalili hizo acha kula nyama za wanyama wa miguu minne (red meat)
- Usile pilipili.
- Ukigundua una tatizo hili usile pia sheli sheli, mboga ya muhogo (kisamvu)
- Iwapo imefikia hatua ya kutoka damu basi usile nafaka za maganda mfano maharage, kunde, chooko, mbaazi, fiwi n.k
6) Ushauri kwa wenye tatizo hili
- pendela kula mboga na matunda
- pendelea kula ndizi mbichi za kupikwa
- kunywa juice mchanganyiko ya ndizi mbichi
- acha yote yanayosababisha maradhi haya
- usimchukie mumeo au mkeo
- mwanamke ukiona mumeo amapoteza hamu ya tendo la ndoa au anamaliza haraka, usichukie, juwa hilo ni tatizo. Tuone tukusaidie, lakini kwanza mfanyie juice ya ndizi mchanganyiko anywe na herbal digestive tea