Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Kama hujampandia pm fanya hivyo fasta.
 
Asante mleta mada umenisaidia nami kujua dawa ambazo wachangiaji wamezitaja
 
huu ugonjwa ulinisumbua nikaongea na MTU anajiita [HASHTAG]#mtimkavu[/HASHTAG] wa jf ananiambia nimpe kilo basi nikaingia net kusaka ma tutorial nikapona kwa
1:kufanya mazoezi
2:vyakula laini na maji mengi kulainisha choo
3:kipande cha barafu najikanda
4:maji ya moto
Nimepona asante Mungu
 
Mimi pia ilinisumbua sana kama miaka miwili ila nilipo tumia dawa ya meno ikapona kabisaa maana usiombe ukawa na hii kitu afu upate haja ngumu utamwaga dam kama umetoka kujifungua
aiseee
 
Msaidie kwanza ndugu yako muonee huruma hameorrids ni noma sana
 
sasa ndo tunataka utumbie jinsi ya kutumia,yametukuta ndo maana tunakubembeleza
Jaribu hii, inaweza kukusaidia:
1. Iweke sehemu yenye uvimbe kwenye maji ya moto kwa muda wa kama nusa saa hivi asubuhi na jion,usiku.
2. Paka sehemu yenye tatizo(MNDUKUNI) mafuta ya mnyonyo kila baada ya kutoka kuiweka sehemu hiyo kwenye maji ya moto kila siku asubuhi na jion/usiku. Paka na lala nayo.
3. Jenga tabia ya kutawdha kwa kutumia maji ya moto.
4. Tumia kijiko kimoja kila siku kutwa mara tatu, mchanganyiko uliotengenezwa na asali, habal soda na mdalasini.
5. badili mfumo wako wa kula, kula vyakula vyenye kambakamba, epuka vyakula vya aina ya Chipsi.
6. na acha kutumia pilipili.
7. Fanya mazoezi at least kwa saa kwa siku.

Inshallah
 
sasa ndo tunataka utumbie jinsi ya kutumia,yametukuta ndo maana tunakubembeleza
Jaribu hii, inaweza kukusaidia:
1. Iweke sehemu yenye uvimbe kwenye maji ya moto kwa muda wa kama nusa saa hivi asubuhi na jion,usiku.
2. Paka sehemu yenye tatizo(MNDUKUNI) mafuta ya mnyonyo kila baada ya kutoka kuiweka sehemu hiyo kwenye maji ya moto kila siku asubuhi na jion/usiku. Paka na lala nayo.
3. Jenga tabia ya kutawdha kwa kutumia maji ya moto.
4. Tumia kijiko kimoja kila siku kutwa mara tatu, mchanganyiko uliotengenezwa na asali, habal soda na mdalasini.
5. badili mfumo wako wa kula, kula vyakula vyenye kambakamba, epuka vyakula vya aina ya Chipsi.
6. na acha kutumia pilipili.

Inshallah
 
Tupatie formula jinzi ya kutengeneza kwani tatizo hili ni sugu kwa wengi
Jaribu hii, inaweza kukusaidia:
1. Iweke sehemu yenye uvimbe kwenye maji ya moto kwa muda wa kama nusa saa hivi asubuhi na jion,usiku.
2. Paka sehemu yenye tatizo(MNDUKUNI) mafuta ya mnyonyo kila baada ya kutoka kuiweka sehemu hiyo kwenye maji ya moto kila siku asubuhi na jion/usiku. Paka na lala nayo.
3. Jenga tabia ya kutawdha kwa kutumia maji ya moto.
4. Tumia kijiko kimoja kila siku kutwa mara tatu, mchanganyiko uliotengenezwa na asali, habal soda na mdalasini.
5. badili mfumo wako wa kula, kula vyakula vyenye kambakamba, epuka vyakula vya aina ya Chipsi.
6. na acha kutumia pilipili.

Inshallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…