Kileo seif
Member
- Apr 13, 2013
- 57
- 26
BAWASIRI/PILES AU HAEMORROIDS
JIFUNZE MAANA HARISI YA BAWASIRI,DALILI ZAKE,MADHARA YAKE,KINGA NA MATIBABU YAKE
Nikawaida sana kwa baadhi ya watu kuona aibu kusema kuwa wanaķabiliwa na baadhi ya magonjwa na matokeo yake ni makubwa kwao
-Mojawapo ya magonjwa hayo ni hili la leo.
BAWASIRI ni neno la kiswahili ambalo wengi hawalifahamu,wengi wanafahamu kitalaam HAEMORROIDS au kwa kiingereza PILES.
-Tatizo hili husababishwa na kuvimba,kuharibika na kuondoshwa katika eneo lake kwa mishipa ya damu katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
UTAJUAJE KAMA UNA DALILI ZA BAWASIRI
-Kinyesi kunuka damu wakati wakujisaidia
-Maumivu au usumbufu wakati wakujisaidia
-Mara nyingine kinyesi kuvuja chenyewe
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
-Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
-Unapojisaidia kinyama kuchungulia
AINA ZA BAWASIRI
1} BAWASIRI YA NJE
-Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa,na huweza kuambatana na maumivu pamoja na kuwashwa Kwa ngozi katika eneo hilo.Mara nyingine mishipa hiyo ya damu(vena)hupasuka na damu huganda na kusababisha aina ya Bawasiri ambayo kitalaam inaitwa thrombosed Haemorroids
2} BAWASIRI YA NDANI,
-Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa,na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa haitambui pindi inapo wapata.Hutoka na kuvimba na kuharibika kwa vimshipa vya aina ya atery za ndani ya mfereji wa haja kubwa.
-Aina hii imegawanyika katika madaraja au hatua 4
》》DARAJA LA 1
-Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
》》DARAJA LA 2
-Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo
》》DARAJA LA 3
-Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu anaweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo
》》DARAJA LA 4
-Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo
NI NINI HASA VYANZO VYA UGONJWA HUU
-Tatizo sugu la kuharisha
-kupata kinyesi kigumu au kutopata zaidi ya siku mbili
-Ujauzito
-Uzito kupita kiasi {obesity}
-Mazoezi yakunyanyua vitu vizito sana
-Kufanya ngono kinyume na maumbile
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika utumbo mpana kama kukaa muda mrefu mahali pamoja
-Matumizi ya vyoo vya kukaa kuliko vyakuchuchumaa
-Kujisaidia kwa muda mrefu wakati wa haja kubwa
NI NINI HUTOKEA BAADA YAKUWA NA UGONJWA HUU
madhara yake
i}-Mtu kunuka kinyesi
ii}-Kutokwa na kinyesi bila kujijua
iii}-Saratani ya utumbo
iv}-Upungufu wa nguvu za kijinsia
v}-Upungufu wa damu mwilini (Anaemia)
AINA ZA VIPIMO
-Kipimo cha shahada kwa njia ya puru (Digital rectal examination)
-Kipimo cha njia ya haja kubwa cha kutizama moja kwa moja (Proctoscope)
-Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)
Namna yakuifanya bawasiri ipungue/kupunguza maumivu/uvimbe
-Hutegemea na umri wako na namna ugonjwa ulivyojijenga na kudumu, unaweza kuhitaji dawa moja au mbili au hata tatu kwa pamoja.
-Wasiliana na daktari kwanza kabla ya kuamua kuzitumia dawa.
Dawa za bawasiri kwa mazingira ya nyumbani zilizo kuzunguuka
1.
Habbat-Sawdaa na Asali
Changanya gm 500 za unga wa Habbat-Sawdaa na nusu lita ya asali. Lamba kijiko kimoja kikubwa cha chakula kila baada ya masaa manne. Ukimaliza kulamba kunywa glasi moja ya maji ya kunywa ya joto la kawaida.
2.
Aloe Vera Fresh
Chukua kipande cha jani la mmea wa Aloe vera fresh (mshubiri) na kikate ukimenye kidogo ukitumia kidole kupata kama utomvu hivi au maji maji yake na upake sehemu ya utupu wako wa nyuma baada ya kuoga kutwa mara tatu. Jipake nyingi tu na uiache hivyo masaa kadhaa au mpaka utakpaoenda kuoga tena.
Tengeneza pia juisi freshi ya mmea huu na uchanganye nusu glasi dawa hii na nusu glasi nyingine ya juisi yoyote ya matunda uliyotengeneza nyumbani ili kupata glasi moja iliyojaa na unywe glasi 1 kutwa mara mbili kwa wiki 3 hadi 4. Juisi freshi ya aloe vera ni nzuri kwa kuongeza kinga ya mwili na kutoa taka zote za ndani ya mwili.
3.
Juisi ya limau (lemonade)
Chukua juisi ya limau na upake sehemu iliyoathirika. Juisi ya limau sifa yake kuu hapa ni kuondoa sumu na kuongeza kinga ya mwili kwakuwa ina vitamin C kwa wingi. Pia unywe glasi moja ya juisi hii kutwa mara kwa wiki 3 hadi mwezi mmoja.
Lemonade inaandaliwa kwa kutumia limau na asali na mdalasini ya unga kidogo, nayo inaandaliwa hivi:
*Chukua asali nusu Lita
*Chukua limau kubwa 12, zikate katikati kila moja. Tumbukiza ndani ya sufuria na weka maji Lita 3, chemsha mpaka limau ziive (zisiive sana), ipua utowe zile nyama nyama za ndani za liamau moja baada ya nyingine, ganda la nje tupa na uchuje kupata juisi ambayo itakuwa na ujazo wa lita 2 na nusu hivi.
Kwenye sufuria nyingine kubwa changanya ile asali nusu Lita na hiyo juisi ya limau Lita 2 na nusu, ongeza maji Safi ya kawaida Lita 2 ili kupata lemonade ya ujazo wa lita 5. Ihifadhi katika friji au kama huna friji andaa kiasi kidogo kidogo cha kutumia siku 3 kisha unaandaa nyingine.
Kunywa robo Lita kutwa mara 2 kwa siku 10 hadi 11 hivi.
Unaweza kuongeza vijiko vikubwa vitatu vya mdalasini ya Unga ndani ya hii juisi ya LEMONADE
4.
Mafuta ya nyonyo
Pakaa mafuta ya nyonyo mara mbili mpaka tatu kwa siku sehemu ya utupu wako wa nyuma kwa wiki tatu hadi nne hivi.
Mambo muhimu ya kuzingatia ili upone bawasiri:
-Kula vyakula vingi vyenye faiba {nyuzinyuzi/kambakamba}
-Kunywa maji mengi kila siku ili kusafisha mwili na kuepuka kufunga choo
-Kula sana mboga za majani na matunda
-Tumia mafuta ya mzeituni (olive oil) kwa wingi kwenye vyakula vyako
-Epuka mapenzi kinyume na maumbile
-Epuka kukaa/kuketi kitako sehem moja kwa muda mrefu
-Usinyanyue vitu vizito kupita uwezo wako
-Usiongeze presha kubwa pindi unapo toa haja
KUHUSU DAWA.
PIGA,/text 0658521921/0624073681
Kwa tiba na ushauri
Bawasiri inatibika
Tembelea Facebook page na usisahau ku like
Ijue Afya yako
Google+
https://plus.google.com/109692402036335850762
E-mail
Afyayajamii92@gmail.com
JIFUNZE MAANA HARISI YA BAWASIRI,DALILI ZAKE,MADHARA YAKE,KINGA NA MATIBABU YAKE
Nikawaida sana kwa baadhi ya watu kuona aibu kusema kuwa wanaķabiliwa na baadhi ya magonjwa na matokeo yake ni makubwa kwao
-Mojawapo ya magonjwa hayo ni hili la leo.
BAWASIRI ni neno la kiswahili ambalo wengi hawalifahamu,wengi wanafahamu kitalaam HAEMORROIDS au kwa kiingereza PILES.
-Tatizo hili husababishwa na kuvimba,kuharibika na kuondoshwa katika eneo lake kwa mishipa ya damu katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
UTAJUAJE KAMA UNA DALILI ZA BAWASIRI
-Kinyesi kunuka damu wakati wakujisaidia
-Maumivu au usumbufu wakati wakujisaidia
-Mara nyingine kinyesi kuvuja chenyewe
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
-Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
-Unapojisaidia kinyama kuchungulia
AINA ZA BAWASIRI
1} BAWASIRI YA NJE
-Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa,na huweza kuambatana na maumivu pamoja na kuwashwa Kwa ngozi katika eneo hilo.Mara nyingine mishipa hiyo ya damu(vena)hupasuka na damu huganda na kusababisha aina ya Bawasiri ambayo kitalaam inaitwa thrombosed Haemorroids
2} BAWASIRI YA NDANI,
-Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa,na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa haitambui pindi inapo wapata.Hutoka na kuvimba na kuharibika kwa vimshipa vya aina ya atery za ndani ya mfereji wa haja kubwa.
-Aina hii imegawanyika katika madaraja au hatua 4
》》DARAJA LA 1
-Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
》》DARAJA LA 2
-Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo
》》DARAJA LA 3
-Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu anaweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo
》》DARAJA LA 4
-Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo
NI NINI HASA VYANZO VYA UGONJWA HUU
-Tatizo sugu la kuharisha
-kupata kinyesi kigumu au kutopata zaidi ya siku mbili
-Ujauzito
-Uzito kupita kiasi {obesity}
-Mazoezi yakunyanyua vitu vizito sana
-Kufanya ngono kinyume na maumbile
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika utumbo mpana kama kukaa muda mrefu mahali pamoja
-Matumizi ya vyoo vya kukaa kuliko vyakuchuchumaa
-Kujisaidia kwa muda mrefu wakati wa haja kubwa
NI NINI HUTOKEA BAADA YAKUWA NA UGONJWA HUU
madhara yake
i}-Mtu kunuka kinyesi
ii}-Kutokwa na kinyesi bila kujijua
iii}-Saratani ya utumbo
iv}-Upungufu wa nguvu za kijinsia
v}-Upungufu wa damu mwilini (Anaemia)
AINA ZA VIPIMO
-Kipimo cha shahada kwa njia ya puru (Digital rectal examination)
-Kipimo cha njia ya haja kubwa cha kutizama moja kwa moja (Proctoscope)
-Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)
Namna yakuifanya bawasiri ipungue/kupunguza maumivu/uvimbe
-Hutegemea na umri wako na namna ugonjwa ulivyojijenga na kudumu, unaweza kuhitaji dawa moja au mbili au hata tatu kwa pamoja.
-Wasiliana na daktari kwanza kabla ya kuamua kuzitumia dawa.
Dawa za bawasiri kwa mazingira ya nyumbani zilizo kuzunguuka
1.
Habbat-Sawdaa na Asali
Changanya gm 500 za unga wa Habbat-Sawdaa na nusu lita ya asali. Lamba kijiko kimoja kikubwa cha chakula kila baada ya masaa manne. Ukimaliza kulamba kunywa glasi moja ya maji ya kunywa ya joto la kawaida.
2.
Aloe Vera Fresh
Chukua kipande cha jani la mmea wa Aloe vera fresh (mshubiri) na kikate ukimenye kidogo ukitumia kidole kupata kama utomvu hivi au maji maji yake na upake sehemu ya utupu wako wa nyuma baada ya kuoga kutwa mara tatu. Jipake nyingi tu na uiache hivyo masaa kadhaa au mpaka utakpaoenda kuoga tena.
Tengeneza pia juisi freshi ya mmea huu na uchanganye nusu glasi dawa hii na nusu glasi nyingine ya juisi yoyote ya matunda uliyotengeneza nyumbani ili kupata glasi moja iliyojaa na unywe glasi 1 kutwa mara mbili kwa wiki 3 hadi 4. Juisi freshi ya aloe vera ni nzuri kwa kuongeza kinga ya mwili na kutoa taka zote za ndani ya mwili.
3.
Juisi ya limau (lemonade)
Chukua juisi ya limau na upake sehemu iliyoathirika. Juisi ya limau sifa yake kuu hapa ni kuondoa sumu na kuongeza kinga ya mwili kwakuwa ina vitamin C kwa wingi. Pia unywe glasi moja ya juisi hii kutwa mara kwa wiki 3 hadi mwezi mmoja.
Lemonade inaandaliwa kwa kutumia limau na asali na mdalasini ya unga kidogo, nayo inaandaliwa hivi:
*Chukua asali nusu Lita
*Chukua limau kubwa 12, zikate katikati kila moja. Tumbukiza ndani ya sufuria na weka maji Lita 3, chemsha mpaka limau ziive (zisiive sana), ipua utowe zile nyama nyama za ndani za liamau moja baada ya nyingine, ganda la nje tupa na uchuje kupata juisi ambayo itakuwa na ujazo wa lita 2 na nusu hivi.
Kwenye sufuria nyingine kubwa changanya ile asali nusu Lita na hiyo juisi ya limau Lita 2 na nusu, ongeza maji Safi ya kawaida Lita 2 ili kupata lemonade ya ujazo wa lita 5. Ihifadhi katika friji au kama huna friji andaa kiasi kidogo kidogo cha kutumia siku 3 kisha unaandaa nyingine.
Kunywa robo Lita kutwa mara 2 kwa siku 10 hadi 11 hivi.
Unaweza kuongeza vijiko vikubwa vitatu vya mdalasini ya Unga ndani ya hii juisi ya LEMONADE
4.
Mafuta ya nyonyo
Pakaa mafuta ya nyonyo mara mbili mpaka tatu kwa siku sehemu ya utupu wako wa nyuma kwa wiki tatu hadi nne hivi.
Mambo muhimu ya kuzingatia ili upone bawasiri:
-Kula vyakula vingi vyenye faiba {nyuzinyuzi/kambakamba}
-Kunywa maji mengi kila siku ili kusafisha mwili na kuepuka kufunga choo
-Kula sana mboga za majani na matunda
-Tumia mafuta ya mzeituni (olive oil) kwa wingi kwenye vyakula vyako
-Epuka mapenzi kinyume na maumbile
-Epuka kukaa/kuketi kitako sehem moja kwa muda mrefu
-Usinyanyue vitu vizito kupita uwezo wako
-Usiongeze presha kubwa pindi unapo toa haja
KUHUSU DAWA.
PIGA,/text 0658521921/0624073681
Kwa tiba na ushauri
Bawasiri inatibika
Tembelea Facebook page na usisahau ku like
Ijue Afya yako
Google+
https://plus.google.com/109692402036335850762
Afyayajamii92@gmail.com