Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

HABARI ZENU WADAU WA MAKALA ZANGU ?

LEO NIMEONA NI VYEMA NIZUNGUMZIE UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA JINSI YA KUEPUKANA NA UGONJWA HUU.

WATU WENGI wanasumbuliwa na TATIZO hili ambalo huwafanya kuwa na UOGA na AIBU wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospitali kupata TIBA.

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI..?

Ni UGONJWA unaotokana na kuathirika kwa MISHIPA ya DAMU ya NDANI na NJE ya sehemu ya HAJA KUBWA na wakati mwingine MISHIPA hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja DAMU kwenye njia ya HAJA KUBWA na kukusababishia kutoka KINYAMA au UVIMBE.

UGONJWA huu wa BAWASIRI kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kiingereza unafahamika kama PILES .

TATIZO hili huwaathiri WATU WOTE .Lakini ZAIDI huwaathiri WATU WAZIMA kuliko WATOTO, na inakadiriwa kuwa karibu ASILIMIA 50% ya WATU WOTE wako katika HATARI ya kupata tatizo hili katika UMRI wa MIAKA 30_50

AINA ZA BAWASIRI

Kuna aina MBILI za BAWASIRI

(A) BAWASIRI YA NDANI

Aina hii ya BAWASIRI hutokea NDANI ya MFEREJI wa HAJA KUBWA.Huwa haiambatani na MAUMIVU, na WENGI huwa HAWAJITAMBUI kuwa Wana TATIZO hili.
AINA hii hutokana na KUVIMBA na KUHARIBIKA kwa MSHIPA wa ARTERY za NDANI ya MFEREJI wa HAJA KUBWA .
AINA hii imegawanyika katika MADARAJA manne

(1)DARAJA LA KWANZA

Hii ni BAWASIRI ambayo HAITOKI mahali pale PANAPOHUSIKA .

(2)DARAJA LA PILI

Hii hutokea wakati wa HAJA na KURUDI yenyewe NDANI baada ya KUJISAIDIA

(3)DARAJA LA TATU

Hii hutokea wakati wa HAJA KUBWA na MTU kuweza kurudisha NDANI yeye MWENYEWE

(4)DARAJA LA NNE

Hii ni BAWASIRI inayotoka na huwa NGUMU kurudi

(B)BAWASIRI YA NJE

Aina hii ya BAWASIRI hutokea katika ENEO la MWISHO kabisa la MFEREJI wa HAJA KUBWA na huambatana na MAUMIVU makali na KUWASHWA kwa NGOZI katika ENEO la TUNDU .
Pia husababisha MISHIPA ya DAMU (vena) kupasuka na DAMU kuganda na kusababisha aina ya BAWASIRI iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO

CHANZO halisi cha UGONJWA huu HAKIJAPATIKANA.LAKINI kuna VITU ambavyo huwa ni CHANZO cha kupata UGONJWA wa BAWASIRI ambavyo ni :-

-KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

-KUHARISHA KWA MUDA MREFU

-TATIZO LA KUTOPATA CHOO

-MATATIZO YA UMRI

-KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU

-UZITO KUPITA KIASI

DALILI ZA BAWASIRI

- NGOZI kuwasha katika eneo la TUNDU la HAJA KUBWA

-kupata MAUMIVU MAKALI wakati wa KUJISAIDIA

-kutokea UVIMBE katika eneo la TUNDU la HAJA kubwa
-Kujitokeza kwa KINYAMA katika eneo la TUNDU .
- KINYESI kuwa na DAMU na KUNUKA harufu MBAYA sana

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI

MATIBABU ya BAWASIRI hutegemea na aina ya BAWASIRI .
Lakini TIBA iliyozoeleka ni KUKATWA KINYAMA na kuendelea na LISHE ya CHAKULA .
Hata hivyo TIBA hii si NZURI kwasababu huwa HAITIBU CHANZO cha TATIZO .
Hivyo huwa rahisi kujirudia.

TIBA NZURI ni kufanya MAAMUZI ya kutumia BIDHAA ZETU.
Kwa jinsi NITAKAVYOKUPANGIA na KUKUONGOZA kupata MATOKEO MAZURI ni LAZIMA hadi KUPONA kabisa na KUONDOKANA na CHANGAMOTO hii.

Sisi TUNATIBU vyanzo vinavyokusababishia TATIZO ndio maana TUNAFANIKIWA .

Pamoja na hayo BAWASIRI ni UGONJWA unaoweza KUEPUKIKA kwa KUZINGATIA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA.

-KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASS 6/12 Kwa SIKU .

-EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU

MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI

- Kupata UPUNGUFU wa DAMU (anemia)
- Kupata TATIZO la kutokuweza kuhimili CHOO
- Hupunguza NGUVU za KIUME na kuondoa HAMU ya TENDO la NDOA kwa WANAWAKE
- Kuathirika kisaikolojia
- Kukosa moral ya kufanya kazi kutokana na MAUMIVU MAKALI ..!!

KAMA UNA TATIZO HILI AU NDUGU YAKO ANASUMBULIWA NA TATIZO HILI LA BAWASIRI WASILIANA NAMI KWA USHAURI NA JUU YA KUONDOA TATIZO HILI PASIPO KUFANYIWA UPASUAJI.

Piga au Whatsap katika namba zifuatazo :-
+255 753968552

#punguza _uzito _furahia _maisha
Please share ujumbe huu ili WATU wengi wafahamu !!

Please Piga usibeep....!!
FB_IMG_1535971912796.jpg
FB_IMG_1535224291906.jpg
 
Asante sana mkuu kwa Elimu hii nzuri, watu wengi hudhani ya kwamba ugonjwa huu hutokana na imani potofu kama kulogwa au kupatwa na laana
 
Cha kuongezea kutokaa muda mrefu kwenye kiti au mahali popote pa kukaa ila ant hemorrhoids zipo nyingi
 
Na kuna dawa za mitishamba na nyengine zipo mitaani zinajiotea na watu hatujui kama ni dawa. Mchanganyiko wake ukishaupata unauweka kwenye hiyo nyama iliyotoka unaibana hivi kwenye makalio, ila uvumilie kwa sababu itawasha. Lakini ndiyo dawa yenyewe utapona na nimeshuhudia hili na huyo mgonjwa ndani ya wiki tu alipona.
ni dawa gani hiyo ndg labda ungetoa maelezo yake ili ukasaidia na wengine
 
Pole mkuu utapona. Mi najua kutibu ya nje na kuizuia isiote tena hiyo ya ndani kuna dawa ni magome ya miti fulani yapo variety mbili unakunywa within aweek inakwangua linaisha lote. Ila ni chungu kufa mtu hiyo dawa. Lakini ungekuwa karibu tungeuliza kuipata. Ila nina imani umeshapona kwa kufikisha hapa. Pole ndg yangu.
Tafadhari naomba msaada wa hiyi dawa ya bawasiri ya nje inanisumbua sana kwa kipindi kirefu sasa napataje mawasiliano na ww plz
 
Pole sana mkuu...tafuta mafuta ya nyonyo yale meusi...uwe unapaka njia ya haja kubwa kwa kidole mara 3 kwa siku amini nakuambia ndani ya mwezi mmoja utakuwa umepona. Hayonmafuta sehemu zingine yanaitwa mafuta ya mti wa mbono.

Je unapaka kwa juu tu au unashindilia na kwandani kidogo?
 
BAWASIRI ZOTE UNAKUNYWA NA KUPAKA KWA KUINGIZA KWA NDANI KWA KIDOLE CHAKO HADI HAPO DALILI INAPOISHA THEN UNABAKI KUNYWA HADI UTIMIZE MWEZI MOJA. PIA JITAHIDI KULA MATUNDA KWA WINGI NA NYAMA NYEKUNDU KWA KIDOGO SANA ILI KUONDOKA TATIZO LA CONSTIPATION AMBAYO NI MOJA YA CHANZO CHA BAWASIRI.

Unapopaka huko chini je unayashindilia kwandani au nje tu?
 
Bawasiri wanaugua watu wengi sana, ila wengi hawajitokezi kwa sababu ya aina ya ugonjwa. ila inahitajika maelezo ya wataalam ya ugonjwa huo kutoa elimu. kwa sababu wengine hatuna elimu hiyo, tuwe na uvumilivu kwa sababu kuna members humu wana fani hiyo, watakuelimisha
 
Wahindi wana tiba zake mkuu, ila pia hospitali dawa zake zipo japo ni ghali na adimu kimtindo. Ila zinafanana na risasi na ni kidonge mafuta almost inautefu wa inchi 1 hivi.

Siyo ya kumeza bali ni yakuchomeka kunako haja kubwa, kisha itayeyuka ndani kwa ndani yenyewe tu.

Nimekupa ayo maelekezo ila si dhani kama utaipata dukani bila prescription form y daktari.

Pole sana mkuu. Baadhi ya waja wazito wana izo mambo san so asione SO! Aseme na dokta tu!.
 
Back
Top Bottom