Sawa ndugu AsanteWahindi wana tiba zake mkuu, ila pia hospitali dawa zake zipo japo ni ghali na adimu kimtindo. Ila zinafanana na risasi na ni kidonge mafuta almost inautefu wa inchi 1 hivi.
Siyo ya kumeza bali ni yakuchomeka kunako haja kubwa, kisha itayeyuka ndani kwa ndani yenyewe tu.
Nimekupa ayo maelekezo ila si dhani kama utaipata dukani bila prescription form y daktari.
Pole sana mkuu. Baadhi ya waja wazito wana izo mambo san so asione SO! Aseme na dokta tu!.
Fika hospital matibabu yake ni rahis kabisaMasaada wakuu ndugu yangu ana kinyama njia ya haja kubwa na anapata maumivu makali wakati wa kujisaidia
Ni mjamzito
Masaada wakuu ndugu yangu ana kinyama njia ya haja kubwa na anapata maumivu makali wakati wa kujisaidia
Ni mjamzito
Masaada wakuu ndugu yangu ana kinyama njia ya haja kubwa na anapata maumivu makali wakati wa kujisaidia
Ni mjamzito
3kg/7deiqkama kiasi gani kwa wiki?
aksante, sa hapo ni alovera fresh au ya kutengeneza mwenyewe?Kuna MTU alisema yeye aliitibu kwa kunywa kikombe kimoja cha alovera, asubuhi na jioni na nyingine kuipaka sehemu yenye tatizo. Alipona ndani ya mwezi.
Anaejua zaidi kuhusu sawa hii anaweza toa elimu
Inaweza kuwa Bawasili(external haemorrhoids) katafute Anthaemorrhoids ointment yaweza kuwa ya brand( prednisolone+cinchocaine-ni bora zaidi inarange 30k zinapatikane Famaa ya kuingilia Muhimbili National Hospital) au tofauti za bei rahis ie Anusol or pylocaine ointment.Pembeni ya tundu la haja kubwa nimetokewa na uvimbe kama vile ni jipu, lina maumivu makali mno, ukipashika ni kama kinundu kikubwa hivi, nakumbuka mwaka jana niliwahi kutokewa nacho kikapotea chenyewe kimya kimya, sasa jumapili hii iliyopita nimetokewa nacho tena, mara hii nashindwa kutembea sawa au kukaa inakuwa shida, naomba msaada kujua hii ni nini?
Kula vyakula vyenye nyuzi nyuzi kwa wingi sana kama matunda na vile ambavyo havijakobolewa utaponaPembeni ya tundu la haja kubwa nimetokewa na uvimbe kama vile ni jipu, lina maumivu makali mno, ukipashika ni kama kinundu kikubwa hivi, nakumbuka mwaka jana niliwahi kutokewa nacho kikapotea chenyewe kimya kimya, sasa jumapili hii iliyopita nimetokewa nacho tena, mara hii nashindwa kutembea sawa au kukaa inakuwa shida, naomba msaada kujua hii ni nini?
Nenda hospital yawezekana ni BawasiliPembeni ya tundu la haja kubwa nimetokewa na uvimbe kama vile ni jipu, lina maumivu makali mno, ukipashika ni kama kinundu kikubwa hivi, nakumbuka mwaka jana niliwahi kutokewa nacho kikapotea chenyewe kimya kimya, sasa jumapili hii iliyopita nimetokewa nacho tena, mara hii nashindwa kutembea sawa au kukaa inakuwa shida, naomba msaada kujua hii ni nini?
Sawa mkuu nitajitahidi kuzingatia hili.Kula vyakula vyenye nyuzi nyuzi kwa wingi sana kama matunda na vile ambavyo havijakobolewa utapona