Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,666
- 12,178
anza dozi ya alovera mkuu glass tatu kwa siku hiyo ki-local zaidi.....inaenda kuua mizizi ya huo ugonjwa
mamii hiyo dose inakuwa ni juice au? na inapatkana wapi, samahani lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anza dozi ya alovera mkuu glass tatu kwa siku hiyo ki-local zaidi.....inaenda kuua mizizi ya huo ugonjwa
Hii kitu na mimi nimeugua majuzi kweli ni ugonjwa flani ambao ni aibu kumwambia mtu unaumwa niko kwenye hii tiba yako ya kuweka kitunguu swaumu kinauma sana vp ulichukua muda gani kupona mimi nimeugua siku 4 zilizo pita ni uvimbe wa kwa ndani nimeweka kitunguu juzi naja jana usiku nakaa nacho masaa mawili maumivivu ya kitunguu usipime ila namtegemea mungu nitapona tu.Pole mkuu, Mimi ugonjwa huu niliugua lakini kwa kuwa huwa naamini katika tiba mbadala nilitafuta katika makablasha yangu, kuna matibabu kibao moja wapo ambalo lilikuwa rahisi kwangu kufanya ni matumizi ya vitunguu saumu.
Ponda ponda kitunguu saumu kiasi jipachike huko kwenye ungonjwa kinauma sana! Kaa nacho kwa masaa mawili unakitoa, matibabu yanadai nifanye Mara mbili kwa wiki moja lakini nilifanya kwa siku mbili tu kilipotea na Nina miaka sasa hakijawahi kujirudia
MziziMkavu Kwanza nikushukuru kwa jinsi nilivyopona bawasiri kwa kufuata maelezo yako, ingawa sikuanzisha uzi lakini nilipitia maelezo yako ktk uzi fulani, nilikuwa napaka mafuta ya mnyonyo hadi sasa nimepona, sasa naomba kuuliza haya mafuta naweza kufanyia tiba gani tena nyingine? maana mafuta yamebaki mengi kwa kuwa nimetumia ujazo kama wa kifuniko cha chupa ya maji tu, nashukuru Mungu kwa ajili yako na azidi kukuongezea
Hii kitu na mimi nimeugua majuzi kweli ni ugonjwa flani ambao ni aibu kumwambia mtu unaumwa niko kwenye hii tiba yako ya kuweka kitunguu swaumu kinauma sana vp ulichukua muda gani kupona mimi nimeugua siku 4 zilizo pita ni uvimbe wa kwa ndani nimeweka kitunguu juzi naja jana usiku nakaa nacho masaa mawili maumivivu ya kitunguu usipime ila namtegemea mungu nitapona tu.
Mafuta y Nyonyo tu yanatosha hasa yale ya maduka ya asili km hupendi hayo unaenda pharmacy na kuulizia proctosedyl suppositories au sheriproct suppositories usichukue ya cream si nzuri sana chukua hizo za supp
. Ni za kubandika kwenye hicho kidude
Tiba mbadala ya hemorrhoids (bawasiri) ni Aunt Zainba's Natural Super Clay.
Inatibu haraka na haina madhara na rahisi TZS 3,500/= tu kwa mkebe, mkebe mmoja unatosha.
Kama haijakuponesha "money back guarantee".
Wasiliana nami 0769302206
Yani huu udongo wa kupaka usoni, ndo unatibu bawasiri tena??!
Yani huu udongo wa kupaka usoni, ndo unatibu bawasiri tena??!
MziziMkavu Kwanza nikushukuru kwa jinsi nilivyopona bawasiri kwa kufuata maelezo yako, ingawa sikuanzisha uzi lakini nilipitia maelezo yako ktk uzi fulani, nilikuwa napaka mafuta ya mnyonyo hadi sasa nimepona, sasa naomba kuuliza haya mafuta naweza kufanyia tiba gani tena nyingine? maana mafuta yamebaki mengi kwa kuwa nimetumia ujazo kama wa kifuniko cha chupa ya maji tu, nashukuru Mungu kwa ajili yako na azidi kukuongezea