Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Nilikuwa na jirani yangu mpangaji lipata hilo tatizo na akaenda hospital wakamfanyia operation akapona kabisa na yuko vizuri sasa.. Nenda hospital ndugu yangu wala si tatizo la ajabu inawatokea wengi...
Sitaki operation naogopa mkuu aibuu
 
Symptoms of hemorrhoids include:
  • extreme itching around the anus.
  • irritation and pain around the anus.
  • itchy or painful lump or swelling near your anus.
  • fecal leakage.
  • painful bowel movements.
  • blood on your tissue after having a bowel movement.
How do you get a hemorrhoid?
  • Swollen veins (hemorrhoids) can develop from increased pressure in the lower rectum due to:
    1. Straining during bowel movements.
    2. Sitting for long periods of time on the toilet.
    3. Chronic diarrhea or constipation.
    4. Obesity.
    5. Pregnancy.
    6. Anal intercourse.
    7. Low-fiber diet.

  • How do you treat hemorrhoids?
  • Ease Pain and Itching
    1. Take warm baths. Soak in a bathtub filled with a few inches of warm water for about 15 minutes at a time. ...
    2. Rub on relief. Over-the-counter wipes or creams with witch hazel can soothe pain and itch with no side effects. ...
    3. Ice it. ...
    4. Consider painkillers. ...
    5. Don't scratch. ...
    6. Choose cotton
 
naonaga matangazo mengi IG ya dawa ya iyo kitu sasa cjui ni kweli jaribu hope utapata
 
Sitaki operation naogopa mkuu aibuu
My friend, this is a medical case.. Mficha maradhi mauti humuumbua.. Hapo juu unaona imeelezwa sababu zake hivyo si kitu cha aibu.. kumbuka mwisho wa siku ugonjwa wa mtu ni kati yake na daktari wake.. sasa sijui unamuonea aibu nani? Kwenye ugonjwa hakuna aibu hata kidogo.. Nadhani unachosubiri ni hadi hali iwe mbaya kizidi kukua hadi wakubebe kukupeleka hospital...
 
Mimi nilikuwa na uvimbe Wa namna kama ulivyoeleza...nikaenda Hosp moja hivi ipo Sinza ni Hosp ya Wachina,alinipeleka rafiki angu mchina,wakaongea kichina pale kisha yule Rafiki angu akawa anatafsiri kwa Kiswahili....kati ya yote tuliyoongea kikubwa niliambiwa kuwa sinywi Maji mengi....pia huwa chakula ninachokula katika mulo wangu hakuna Mboga mboga kitu ambacho ni kweli, nilivyotoka hapo nikaanza kula Mboga Mboga kwa wingi pia Maji ikawa Asubuhi Lita Tatu mchana Lita moja jioni Lita Tatu.....hali ile ilianza kupotea mpaka Leo hii hakuna kabisa uvimbe nilipona kabisa,ila mpaka kufika kwenda kwa Wachina Hosp nyingi nimepita,nimetumia mpaka Dawa ya kuweka huko lakini hakuna,nikapona kwa kula Mboga na Maji kwa wingi....lakini pia nilipewa sababu ya kwanini hali hiyo hutokea......
 
Walinieleza kuwa Mwili unahitaji Maji kwa wingi sana kwa uzito wangu niliokuwa nao kwa wakati ule kg 110 nilipaswa angalau ninywe Lita 4.5 Kwa siku,Mimi sikuwa na kunywa kabisa Maji,zaidi zaidi grass moja tena ndogo,kumbe mwili unahitaji Maji mengi,sasa kinachofanyika mwilini ni kunyonya Maji mpaka kwenye haja Kubwa,Maji yakinyonywa huko haja Kubwa inakuwa ngumu,wakati Wa kujisaidia unatumia nguvu Kubwa kusukuma,hapo ndipo tatizo linaanza maana ile haja imapita sehemu hiyo kwa ugumu,sa inachana kidogo Damu kidogo inatoka,kwa kuwa hiyo ni sehemu ambayo inapitisha Uchafu Bacterial wapo japo utasafisha lakini hawaishi,wanashambulia ile sehemu uliyochanika,hapo ndipo uvimbe unaanza,kesho ukijisaidia tena unatonesha unanawa na Maji wadudu wanaendelea kushambulia,Mwisho unatoka uvimbe mdogo unakuwa kadili Bacterial wanavyozidi kuongezeka,KAMA NAKOSEA NAOMBA MA DOCTOR WANISAHIHISHE....POLE SANA MWANA JF MWENZANGU....
 
Mimi nipo kwenye dozi ya mafuta ya nyonyo, unapaka asubuhi na usiku ukiwa unaenda kulala

Hebu Anza hiyo dozi maana mimi imenisaidia sana.
Lakin pia uwe unakunywa maji mengi, matunda hasa mapapai mboga za majani.

Na tatizo lako litakua limeisha
 
Walinieleza kuwa Mwili unahitaji Maji kwa wingi sana kwa uzito wangu niliokuwa nao kwa wakati ule kg 110 nilipaswa angalau ninywe Lita 4.5 Kwa siku,Mimi sikuwa na kunywa kabisa Maji,zaidi zaidi grass moja tena ndogo,kumbe mwili unahitaji Maji mengi,sasa kinachofanyika mwilini ni kunyonya Maji mpaka kwenye haja Kubwa,Maji yakinyonywa huko haja Kubwa inakuwa ngumu,wakati Wa kujisaidia unatumia nguvu Kubwa kusukuma,hapo ndipo tatizo linaanza maana ile haja imapita sehemu hiyo kwa ugumu,sa inachana kidogo Damu kidogo inatoka,kwa kuwa hiyo ni sehemu ambayo inapitisha Uchafu Bacterial wapo japo utasafisha lakini hawaishi,wanashambulia ile sehemu uliyochanika,hapo ndipo uvimbe unaanza,kesho ukijisaidia tena unatonesha unanawa na Maji wadudu wanaendelea kushambulia,Mwisho unatoka uvimbe mdogo unakuwa kadili Bacterial wanavyozidi kuongezeka,KAMA NAKOSEA NAOMBA MA DOCTOR WANISAHIHISHE....POLE SANA MWANA JF MWENZANGU....
safi kabisa umetoa elimu nzuri ya tiba, huyo anayemshauri akafanyiwe operation amejionyesha upumbavu wake kichwani.
 
Moga za majani kwa wingi mkuu.. Inaonekana umekuwa mdau wa nyama zaidi hasa nyama choma
 
Back
Top Bottom