Usifemoyo
Member
- Dec 26, 2017
- 62
- 53
Mkuu tatizo lako linatibika kwa uhakika kabisa.
Kuna babu mmoja yuko anatibu tatizo hilo kwa miti shamba na amewatibu wengi sana ila yuko kanda ya ziwa (Simiyu). Na hivi hata mwezi haujaisha amemtibu mtu na amepona, yeye sio mganga wa kienyeji ila sema tu anajua dawa mbali mbali za magonjwa na hasa tatizo la bawasiri (mang'ondi) ndio limemfanya akawa kama mganga maana wengi wamekuwa wakipona kwake na huwa anasema kwa tatizo hilo hakuna haja ya kuhangaika kumeza au kupaka kemikali za hospitali maana kwake ni tatizo dogo sana.
Kikwao ugonjwa huo wanaita Mang'ondi.
Kuna bawasiri ile inayotokea kwenye njia ya haja kubwa na ile inayotokea kwa sehemu za siri kwa wanawake.
Kama utakuwa na uwezo wa kufika kwake nina uhakika tatizo hilo litakuwa historia kwako kama Mungu ikimpendeza.
Kuna babu mmoja yuko anatibu tatizo hilo kwa miti shamba na amewatibu wengi sana ila yuko kanda ya ziwa (Simiyu). Na hivi hata mwezi haujaisha amemtibu mtu na amepona, yeye sio mganga wa kienyeji ila sema tu anajua dawa mbali mbali za magonjwa na hasa tatizo la bawasiri (mang'ondi) ndio limemfanya akawa kama mganga maana wengi wamekuwa wakipona kwake na huwa anasema kwa tatizo hilo hakuna haja ya kuhangaika kumeza au kupaka kemikali za hospitali maana kwake ni tatizo dogo sana.
Kikwao ugonjwa huo wanaita Mang'ondi.
Kuna bawasiri ile inayotokea kwenye njia ya haja kubwa na ile inayotokea kwa sehemu za siri kwa wanawake.
Kama utakuwa na uwezo wa kufika kwake nina uhakika tatizo hilo litakuwa historia kwako kama Mungu ikimpendeza.