Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Nilipona na nikamponesha mtu wangu wa karibu.

Nilitwanga alovera nilichanganya katika maji sikumbuki yalikuwa kiasi gani kwani nilikuwa najifanyia majaribio mwenyewe kabla sijaenda hospital nilikunywa ndani
ya week moja asubuhi grass moja kisha najipaka ute wa alovera katika bawasiri na jioni hivyo hivyo.Bawasiri ilitoweka nikampa mtu wangu wa karibu ajitibu kwa njia hiyo akapona.

Ila mchana nilikuwa nakunywa grass moja ya mwarobaini

Grass ndogo ya maji ya kunywa.
Jaribu nawe Wenda ukapona.
 
Habar zenu wakuu

Hv majuz nmepata kusikia humu humu JF watu wakiongelea about hii kitu bawasili ila sija fahamu exactly hii kitu n nn aswaa yan n ugonjwa wa aina hii upoje Dalili zake, ukiwanao utaexperience na tiba ake kwa ujumla
 
Ndugu zangu wanajf nakuja kwenu kuleta tatizo langu kwenu kuomba ushauri. Mimi ni msichana umri wa miaka 24 nina tatizo sehemu ya haja kubwa kuna kanyama kameota ambako kamedumu zaidi ya miaka 3. Kalianza kama kauvimbe kasikouma wakati sikuchukua hatua yoyote nikidhani kanaweza kupotea lakini kameendelea kukua kuefuka ukubwa kama punje ya haragwe na kuwa na maumivu makali hasa ninapoingia bleed wakati mwingine cwezi hata kukaa. Nilikutana na dr, wa tiba asilia akanambia hiki kinyama kinaitwa BAWASILA kwamba kinahusiana na matatizo ya uzazi akanipatia dawa za kunywa na kupaka lakin hazkunisaidia nilienda hospitali moja hapo dar ambayo inaubia na shule hivyo gharama ni juu ya shule dr, alinichunguza na kuniandikia dawa iitwayo ANUSOL na kwamba ningefanyiwa upasuaji nikapangiwa tarehe lakini haikuwezekana nikawa nasumbuliwa ndani ya miezi 3 mpaka nikaingia kufanya mtihani wa kidato cha sita wakati huo maumivu ni makali. Baadaye nilirudi Mbeya na kumweleza mama tukaenda hospital Dr akasema ni ANAL TAG hivyo akanambia nitumie dawa niliyoandikiwa Dar ANUSOL nimetumia lakin hali ni ileile. Siku moja nilikuwa sehem tumbo la bleed likaniuma sana hapo palikuwa na huduma ya kwanza nikamuona Dr akanichoma sindano ckujua ni dawa gani alitumia tumbo lilitulia na kale kanyama hakajauma tena ndani ya miezi 4 lakini sina amani hivi nilivyo najiona tofauti na wengine nakataa wachumba kwa ajili ya tatizo langu. Nilivyozidi kumdadis mama akanambia amewahi kusikia kuwa hili tatizo lipo katika ukoo wa baba pia kaka yetu wakwanza ashapatwa na hili tatizo lakini alipona mama hakumbuki walitumia nini mpaka akapona. Naombeni msaada wenu sina furaha kama watu wengine wakati mwingine kinaniuma ugenini nashindwa jinsi ya kujieleza. Nawasilisha
Naomba ni DM ma angu anafahamu dawa yake na amesaidia marafiki zangu kadhaa
 
Hili tatizo limekua kubwa sana,na kutoka kwa watu waliowahi kuwa nalo au wanalo unaweza kupata angalau picha ya maumivu waliyopitia au wanayopitia.....sasa sipo kwa ajili ya kuchukua hela yako ila natamani kukusaidia,kuna dawa ambayo imewasaidia wengi na ni ya kienyeji matokeo ni baada ya siku mbili mpaka tatu unarudi kawaida,wakati mwingine operation piles huwa zinarudi hebu jaribu hii kwa mara ya mwisho Mungu atakusaidia,maelezo zaidi nifuate inbox siwez kuelezea kila kitu hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doctor naomba ushauri wako ninasumbuliwa na tatizo la kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa ninapojisaidia na baada ya kutoka kujisaidia nikikaa kama dk 10 kile kinyama kinarudi ndani ila sisikii maumivu yeyote,je! nifanyenini ili tatizo hilo liishe kabisa!
 
Doctor naomba ushauri wako ninasumbuliwa na tatizo la kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa ninapojisaidia na baada ya kutoka kujisaidia nikikaa kama dk 10 kile kinyama kinarudi ndani ila sisikii maumivu yeyote,je! nifanyenini ili tatizo hilo liishe kabisa!
Mimi sio Doctor.

Nilipoumwa huu ugonjwa nilitumia utomvu wa Mgomba kupaka kwenye kinyama for about 5 days hivi ikaisha.

Sasa kupata utomvu wa Mgomba na wewe ukiwa DSM ni shughuli kwelikweli unaweza tumia alternative ya itomvu wa Ndizi labd lkn for effective cure tumia utomvu wa Ndizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom