Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Pia bwana hoyugi,chukua vitunguu maji vya kutosha kata loweka kwa masaa 2 kisha unywe lita 1 ndani ya saa 24 kwisha tatz
Mkuu Andika Jina Mkuu Dawa ya Maradhi ya Bawasiri au kwa kizungu

hemorrhoids ni kufanya Operesheni hakuna njia ingine zaidi ya hiyo mkuu. Mimi nilikuwa nayo hayo Maradhi yamenisumbuwa

kwa muda wa miaka 20 nimetumia kila aina ya dawa za kienyeji sikupona kabisa mpaka nilipokwenda hospitali kufanyiwa

Operesheni ya kukata hicho kinyama ndio nimepona. Atatumia hivyo Vitunguu itarudi ndani Hiyo Bawasiri kisha baada ya muda wa miezi 3

itatoka tena kwa nguvu. Dawa yake kubwa ni kukata hicho kinyama kilichozidi sehemu ya haja kubwa ndio atapona.

hemorrhoids-s10-illustration-of-thrombosed-external-hemorrhoids.jpg


5af22243ab238742d669a04ca6c9426a.jpg


8a2e34f0723702fe81970a9fc0a72c41.jpg

Bawasiri au kwa kiingereza inaitwa Hemorrhoids

hemorrhoids-s5-photos-of-hemorrhoid-causes.jpg


What Causes Hemorrhoids?

Researchers are not certain what causes hemorrhoids. It's likely that extreme abdominal pressure causes the veins to swell by blocking

the flow of blood through them. They then become susceptible to irritation. The increased pressure can be caused by obesity,

pregnancy, standing or sitting for long periods, straining on the toilet, coughing, sneezing, vomiting, and holding your breath while

straining to do physical labor.
 
Last edited by a moderator:
Hakika MZIZIMKAVU amekuwa msaada kwa wengi humu jamvin,MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU ZAID KTK SAYARI HII YA TATU YENYE UFISAD
 
asanteni jamani kwa ushauri wenu japokuwa bado hajapatikana mtu wa kusimamia matibabu yangu.
 
Ivi mkuu Mzizimkavu hakuna dawa za mitishamba zinoweza kusaidia kuondoa hili tatizo? Mana kwa kweli wengine wanaogopa ops. Na niliwahi kuskia eti hata ukikatwa kuna possibility kubwa ya kurudi tena.
 
Ivi mkuu Mzizimkavu hakuna dawa za mitishamba zinoweza kusaidia kuondoa hili tatizo? Mana kwa kweli wengine wanaogopa ops. Na niliwahi kuskia eti hata ukikatwa kuna possibility kubwa ya kurudi tena.
Mkuu Angel Nylon dawa za Maradhi ya Bawasiri za kienyeji zipo nyingi lakini hospitali inatibika ndio maana nilimpa ushauri aende hospitali kujitibia Mkuu.@hoyugi

Bawasiri inayojulikana ni ile ya tupu ya nyuma, bawasiri huwa ni mfano wa tutu kwa ugumu wake, na udogo wake na mviringo wake au

huwa mwekundu huenda ikatoa damu na pengine isitoe damu.


Namna ya kuifanyia dawa:

1. Ipake mafuta ya mbono mara nyingi, na baada yake itawezekana kuirudisha ndani.

2. Iponde habbasouda kisha changanya na sukari kiasi kama cha habbasouda, ule siku moja mara moja kila mara nusu kijiko kisha na unywe maji.
 
Last edited by a moderator:
tumia SPLINA utapona Mara moja NA wala hutaamini. soma hapa chini uzuri wa SPLINA.
know SPLINA.
1.cleansing.
cleanses the digestive system, assists in purifying blood, eliminates bacteria, disinfects and detoxify.

2. balancing.
balances body acid alkali levels, boots the function of the body system.

3. nourishing
assists in red blood cell regeneration.

BENEFITS.
reduces wrinkles and aging.
balances body acid alkali level.
discharges toxin through the feces.
reduces pesticides residue and toxins.
assists in increasing blood counts.
promotes cell rejuvenation and boosts immune system.
cools our body system.
insomnia.
fibroids.
hormonal imbalance.
colon cancer.
hemorrhoids.
pyrrhea.
infertility.
stroke.
hypertension.
dipresion.
heart attack.
kidney failure.
immune system.
diabetes.
liver problems.
arthritis.
high cholesterol.
arteriosclerosis.
heartburn.
menstrual pain.
ulcers.
asthma.
acne pimples and spot.
low libido.
waist pain.
skin allergy.
migraine.
severe headache.
Watergate.
lowback pain.
U.T.I.
is a nice medicine and u will became amazing after using it.

WHO SHOULD DRINK.
people who often feel heat.
people with liver problems.
people with respiratory problems.
people with rheumatism.
anemic people.
those with pale complexion.
people with weight problems.
very skinny people.
very fat people.
smokers and those who consume alcohol frequently.
those who dislikes eating vegetables.
those who suffers from constipation.
those who experience menstrual pain.
those who often catch cold.
those who often have soar throats.
people with body odor and bad breath.
busy and stressful people.
easy fatigue people.
those who often eat out.

please contact.
0713507487
0767507487
0782898210
price 85000
 
Wakuu habari zenu!
Mi ninatatizo hili na sijui ni kwa nini ninalo ila nataka nijue kama kuna tiba yake maana linanitia wasiwasi mno.
Natanguliza shukrani wakuu...
 
Lina mda gani? Je unakunywa maji kutosha,je ulikaa mda gani bila kupata choo!
 
Sababu zimaweza kuwa nyingi.
1.kama unatumia vilevi vikali.. unaweza ukawa na tatizo la ini. mishipa ya ini inasinyaa na damu inashindwa kupita kwa urahisi, hivyo inakusanyika kwa wingi na kupasua mishipa midogo ikiwepo ya tumboni.
2.vidonda kwenye utumbo

3. fibroid
4. etc
Tembelea kituo cha afya kwa majibu yenye uhakika.
 
Lina mda gani? Je unakunywa maji kutosha,je ulikaa mda gani bila kupata choo!

Mkuu suala la kunywa maji kwa kweli sina kipimo kizuri kwa siku ila nakunywa chai mno mi ni mtumiaji mzuri wa chai ya rangi kwa siku naweza kunywa hata lita 2.5 nahisi inaweza kuwa sababu ya kutokunywa maji ! Je inaweza ikawa sababu mkuu?
 
Vizuri,ila ujaniambia limeanza lini?
CC MZIZIMKAVU,HEaLtH,all JF doctors
"Vox popoli vox dei"
 
Je damu imechanganyika na kinyesi???
Au unaiona damu juu ya kinyesi na haijachanganyika????
Ni fresh blood????
Kuna maumivu yoyote ndani au mlangoni???!!
Kuna uvimbe au hali yoyote isiyo ya kawaida kwenye mlango wa haja kubwa???!!
 
unakidonda kimoja kwenye tumbo lakini ni kikubwa tofauti na vidonda vya tumbo vya kawaida, dalili: tumbo linauma, kukosa hamu ya kula, uchovu au kizunguzungu, kichwa kuuma. tiba; acha kabisa kula vyakula vya mafuta, chai, kahawa, vyakula vya kuchoka kama kuku, mishkaki, nyama, kunywa maziwa na nenda hospitali atakupa dawa bt inahitaji ule kwanza ndio ule cz inanguvu sana
 
mi ni mtumiaji mzuri wa chai ya rangi kwa siku naweza kunywa hata lita 2.5 nahisi inaweza kuwa sababu ya kutokunywa maji ! Je inaweza ikawa sababu mkuu?

Mkuu, 2.5 liters za chai ya rangi is way tooo much. Hata maji huwa sifiki kiasi hicho sometimes. Hilo la kwanza hebu lipunguze, japo inavyoonekana kwako ni kama addiction.

Jaribu kutumia chakula chenye fiber. Jihadhari na unachokula kwa sasa. Hebu jaribu pia dona, ndizi, korosho, wheat biscuits, na the likes uone choo chako kitakuwaje. Maana hapo pia kuna uwezekano ikawa hemorrhoids. Labda ueleze zaidi symptoms kama wadau wengine walivyokushauri.

Pole, ila utapona within time mkuu.
 
me nakushauri uanze kutumia light diet yan kama ndizi,viazi,nk na matunda kama mapapai n parachichi yatasaidia kwanza kukilainisha choo ambapo baada ya hapo ndo utapata angalao mwanga kwamba kutoka kwa dam ni ugumu wa choo,au la kama choo ni kilain na bado damu bado inatoka c a doctor
 
Poleni na majukumu ya kujenga taifa. Naombeni ushauri: nina tatizo la bawasiri, sasa naomba kuuliza naweza kukaa nazo muda gani kabla ya kuzitibu (oparation) maana nimetumia dawa na hazijapona. Je, zinaweza kukaa muda gani kama hazisumbui? Ahsanteni, kila jema ktk shughuli zenu nyote!
 
Heloo Mkuu.@Nikhi Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

Kuna aina mbili za Bawasiri


Nje:
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.


Ndani
: Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.

Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.


Je bawasiri husababishwa na nini?

Bawasiri husababishwa na;


  • Tatizo sugu la kuharisha
  • Kupata kinyesi kigumu
  • Ujauzito
  • Uzito kupita kiasi (obesity)
  • Kupenda kufanya ngono ya njia ya haja kubwa (anal sex)
  • Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.
  • Umri mkubwa

Dalili za bawasiri


  • Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
  • Maumivu au usumbufu
  • Kinyesi kuvuja
  • Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Kujitokeza kwa kinyama (bawasiri) wakati wa haja kubwa

Matatizo yanayoweza kutokana na Bawasiri


  • Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
  • Strangulated hemorrhoids


786813_f260.jpg


Vipimo na uchunguzi



  • Digital rectal examination
  • Kipimo cha njia ya haja kubwa (Proctoscope)
  • Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)

Matibabu
Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri


  • Rubber band ligation - Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.
  • Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano
  • Coagulation (infrared, laser and bipolar)
  • Upasuaji;
    • Hemorrhoidectomy
    • Stapled hemorrhoidopexy

Njia za kuzuia Bawasiri


  • High fibre diet, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.
  • Kunywa maji mengi kwa siku (glasi sita had nane kwa siku)
  • Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa.Dr.Henry Mayala
 
Bawasiri inayojulikana ni ile ya tupu ya nyuma, bawasiri huwa ni mfano wa tutu kwa ugumu wake, na udogo wake na mviringo wake au huwa mwekundu huenda ikatoa damu na pengine isitoe damu.

Namna ya kuifanyia dawa:

1. Ipake mafuta ya mbono mara nyingi, na baada yake itawezekana kuirudisha ndani.

2. Iponde habba souda kisha changanya na Asali Safi ya nyuki kijiko kimoja, ule siku moja mara moja kila mara nusu kijiko kisha na unywe maji.

Inshallah huenda dawa hizi 2 zitakusaidia.

Dawa ya Maradhi ya Bawasiri ni kufanya Operesheni. Mkuu.@
Mlasan

Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sahihi. Bawasiri au hemorrhoids husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

Kuna aina mbili za Bawasiri

Nje:

Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.


Ndani
:

Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.

Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
Daraja I- Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
Daraja II- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja III- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
Daraja IV- Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.



Je bawasiri husababishwa na nini?

Bawasiri husababishwa na;


  • Tatizo sugu la kuharisha
  • Kupata kinyesi kigumu
  • Ujauzito
  • Uzito kupita kiasi (obesity)
  • Kupenda kufanya ngono ya njia ya haja kubwa (anal sex)
  • Kwa ujumla mambo yanayo ongeza shiniko katika tumbo.
  • Umri mkubwa

Dalili za bawasiri


  • Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia (hematochezia)
  • Maumivu au usumbufu
  • Kinyesi kuvuja
  • Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
  • Kujitokeza kwa kinyama (bawasiri) wakati wa haja kubwa

Matatizo yanayoweza kutokana na Bawasiri


  • Upungufu wa damu mwilini (Anemia)
  • Strangulated hemorrhoids


786813_f260.jpg


Vipimo na uchunguzi



  • Digital rectal examination
  • Kipimo cha njia ya haja kubwa (Proctoscope)
  • Kipimo cha utumbo mpana (Sigmoidoscope)

Matibabu
Matibabu hutegemea na hali na aina ya Bawasiri


  • Rubber band ligation - Hapa mishipa hufungwa na rubber band ili kuzuia damu kwenda kwenye eneo liloathirika, na hutumika kwenye aina ya ndani ya bawasiri.
  • Sclerotherapy- Hapa kemikali huwekwa kwa njia ya sindano
  • Coagulation (infrared, laser and bipolar)
  • Upasuaji;
    • Hemorrhoidectomy
    • Stapled hemorrhoidopexy

Njia za kuzuia Bawasiri


  • High fibre diet, kula mboga za majani, matunda, na nafaka kwa wingi.
  • Kunywa maji mengi kwa siku (glasi sita had nane kwa siku)
  • Punguza kukaa kwa muda mrefu sana hasa ukiwa chooni, kwa sababu unaweza kuongeza shinikizo katika mfereji wa haja kubwa.Dr.Henry Mayala
 
Back
Top Bottom