Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
There is no optimum solution in every problem. Every solution usually comes with adverse effect to the othe side even though the net effect is a social benefit.Vat ya 18% ya sasa ni maumivu tupu, tunalilia ishuke hadi angalau 12%, from nowhere we unataka iwe 20% duuh bongo nyoso.
Tangia kurasini ivunjwe wizi umepungua sana maeneo hayo. Sasa hivi wezi wanatokea maeneo ya keko ndio wanaenda kuiba na kukaba bandariniKabisa..ukifikahii mitaa ya bandari fuata hii road ya TPA headquarter kisha BIMA then ulizia uda ni wapi watakuelekeza huko
Wewe huna nia njema na sisi walaji wa mwishoPoleni. Nimejaribu kufanya assesment na kuona kuwa mataifa mengi Duniani, ikiwemo Tanzania yanaweza kuongeza ajira mpya kwa kuweka kitu kinachoitwa 'employment tax'. Hili litawezekana iwapo nchi itaamua kuongeza Value added tax kwa asilimia mbili pesa ambayo itawezesha kupata mapato ya kulipia mishahara kwa watumishi wapya.
Mfano, kwa nchi kama Tanzania yenye GDP ya 65B USD, Ongezeko la 2% VAT litaongeza mapato ambayo yatakuwa around Trilioni 1.2. Iwapo utakuwa na wafanyakazi wapya laki moja kila mmoja akalipwa kwa rate ya Tsh milioni moja kwa mwezi, kwa mwaka ni Tsh 12m.
So kwa haraka ongezeko la VAT ya 2% ambalo tunaliita employment tax linaweza kuzalisha ajira mpya laki moja kwa sekta nyeti na sekta zisizo nyeti hivyo kupunguza tatizo la ajira.
Asante, tuna options nyingi nzuri zaidi za kutengeneza ajira bila kuumiza wananchi kwa kuwarundikia makodi hovyo hovyo.There is no optimum solution in every problem. Every solution usually comes with adverse effect to the othe side even though the net effect is a social benefit.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na pia natilia msisitizo kwa vijana wale wanaotaka pesa za mkato.
Marinda no kitu adimu mno, hata uende Dubai hayanunuliki, Yakitoka ndio basi [emoji16]
Pambana mkuu, Nakupa baraka zangu zote,
Pole mkuu nimewahi kupitia ulichopitia ww lkn trust ur god.Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.
Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.
Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.
Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.
Na weweUlikubaliana na nani??
Hatukukubaliana baada ya miaka miwili au mitatu, tulikubaliana ndani ya mwezi tu tunaanza kuokota pesaHali kutengamaa mpaka miaka miwili mitatu ipite...ndo nafuu itaonekana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yes bro..hapa maeneo ya round about ya TPA kuelekea mjini kuanzia mida ya saa 12 jioni na saa 2 usiku wanastop magari kuelekea mjini kisha ya mjini ndy yanakuja kuelekea mbagala na temekeTangia kurasini ivunjwe wizi umepungua sana maeneo hayo. Sasa hivi wezi wanatokea maeneo ya keko ndio wanaenda kuiba na kukaba bandarini
Nimezaliwa na kukulia huko keko. Nilihama mwaka 2009Yes bro..hapa maeneo ya round about ya TPA kuelekea mjini kuanzia mida ya saa 12 jioni na saa 2 usiku wanastop magari kuelekea mjini kisha ya mjini ndy yanakuja kuelekea mbagala na temeke
Sasa watoto wa keko wanaadhurura mitaa hii Sana kuanzia saa 12.Nakumbuka kuna siku walimvamia mama mmoja kwenye gari lake hakuweka lock milango wakamnyang'anya begi,simu na vitu walivyovikuta mule ndani kisha wakakimbilia kule chini kwenye reli
Kulikuwa na watu kibao pale wamesimama,mama anapiga kelele za msaada lkn hakuna aliyethubutu kumsaidia maana wale jamaa Walikuwa wamebeba mapanga huku wameyaelekeza hewani km jamaa wa Ile muvi ya John the mad dog
Watoto wa keko siwazimikii kabisa hii michongo wanayotuletea hii mitaa.Na polisi hawachukui hatua yoyote
Hahahaha!! nacheka kama mazui ila omba yasikukute, pole sana mkuu.Siku ya leo palikucha sina ramani na sielewi natoboaje, nikaona ngoja nizame viwandani.
Nikapiga moja moja mpaka ubungo garage kiwanda cha sabuni cha mo nikakuta raia kiasi nikasubiri nje, watu wakaanza kuchaguliwa wale wakongwe na wapya wachache, tuliobaki tukakosa.
Nikona fresh sio zali langu, nikaelekea external kwenye ukuli wa kushusha mazao, nikaungana na wakulungwa pale nje wanasubiri kuingia ndani, mara akatokea msimamizi akaita majina raia wakaingia ndani, tukawa tunasubiri raia wachache tuliobaki nje.
Baada ya mda akarudi jamaa na kusema njooni mcheki na kesho kama nafasi itakuwepo.
Na wewe jilipeDah! Afu akina Ndugai wanajilipa 12m kwa mwezi na pensheni ya 250m kwa miaka mitano [emoji45]
Ooh..basi wanao wa keko wanazingua sana na masilaha Yao km tupo vitani bana.Wanakaba vibaya mno kuanzia hapa mitaa ya mivinjeni Hadi bandari ikifika jioniNimezaliwa na kukulia huko keko. Nilihama mwaka 2009
skuizi hata wauza uchi hawapati wateja, watu wako bize hawataki ufala tena.Na pia natilia msisitizo kwa vijana wale wanaotaka pesa za mkato.
Marinda no kitu adimu mno, hata uende Dubai hayanunuliki, Yakitoka ndio basi 😁
Pambana mkuu, Nakupa baraka zangu zote,