Uhaba wa umeme nchini: Kwanini serikali ya CCM chini ya Marais wao watatu Kikwete, Magufuli na Samia imeshindwa kupata Suluhu ya kudumu?

Katika kipindi cha utawala wake ndio huo ukame umetokea na kuleta shida kwenye uzalishaji umeme, lakini pia katika kipindi chake ndio mafuta yakapanda bei duniani na kufanya gharama za maisha kuwa juu.

Ni laana, gundu au bahati mbaya tu?
 
bila shaka Wewe ulipokuwa mdogo uliugua ugonjwa wa utapia mlo uliosababishwa na kula sana ugari !!!
akili yako imeishia hapo kwenye umeme wa maji miaka 50 + madarakani??? mvua isiponyesha TANZANIA haitapata umeme????
 
Kwa ujumla hizi ndizo sababu ambazo utawala na CCM unazitoa miaka yote tangu Mkapa na Kikwete.

Hayati Rais John P. Magufuli, alizikataa na kuja na namna nyingine ya kufikiri.

Cha ajabu wewe (bila shaka kwa ujinga tu) umekubali kulishwa na kuziimba kama chorus ya wimbo ambao wasikilizaji umeshawakinai.

Hizi hatutaki kuzisikia!!
Hamna akili ya kulijua hili? Ina maana CCM hamna akili ya kujua haya kabla na kuja mbadala (alternative)? Hiyo climate change iko na kuiathiri Tanganyika pekee?

Hebu fikiri vizuri!
Vivyo hivyo kwa bwawa la kidatu linalopakana pale mkoani Morogoro lenye uwezo wa kuzalisha megawati 204 nalo lilijikuta likishindwa kufikia uwezo wake wa kutoa megawati hizo za umeme.
CCM na serikali yenu hamkujua haya? Akili na ufahamu umefungwa katika njia hizi tu za uzalishaji umeme?
Hili tatizo ni la miaka na miaka (miongo 3 sasa), yaani zaidi ya miaka 35 na linadumu hata sasa. Halikuanza mwaka jana km unavyojaribu kusema hapa. Bila shaka CCM hawana akili na maarifa zaidi ya hapa unavyofikiri wewe. Wamechoka na wanapaswa kuondoka kwenye viti vya mamlaka na maamuzi!
Hivi Lucas mwashambwa, unaelewa maana ya nchi kuwa na mipango ya muda mfupi na mrefu?

Unaelewa kwanini huwa tuna sensa kila baada ya miaka 10?

Je, si ni ili ku - project mahitaji ya nchi na watu ya miaka 5, 10 na hata 50 ijayo ktk kila sekta ya kijamii na kiuchumi kwa kigezo cha ongezeko la watu (population) na shughuli zao za kiuchumi?

Sasa unapotaja sababu za ongezo la watu, shughuli za kiuchumi na kuongezeka mikoa unakuwa unafikiri nini? Je, si unathibitisha tu kuwa huko CCM hakuna watu wenye akili za kufikiri na wakati wote mnawaza kupiga propaganda za kisiasa zenye malengo kulinda utawala na mamlaka ya serikali hii chini ya CCM isiyo na manufaa tena kwa nchi na wananchi
Sawa.

Huu ulikuwa mpango wa muda mrefu wa Hayati Rais Magufuli. Huyu mama yako ambaye badala kukaa ofisini kuumiza kichwa kufikiri namna atakavyokabiliana na changamoto zinazoikabili nchi, yeye Yuko bize kukata mitaa huko duniani na kufanya sherehe ya kuzaliwa (birthday) kwake. Hivi kwa kiongozi mwenye uchungu na mzalendo wa nchi yake atakuwa ana furaha gani ya kusheherekea huku nchi na watu wake wakiwa kwenye shida nyingi ikiwemo hii ya umeme?
Pili ni kutumia umeme wa gas.ambapo serikali yetu imejaribu kutumia nakizalisha umeme unaotokana na gas ili kuongeza megawati ambazo zimekuwa zikiunganishwa katika grid ya Taifa..
Uko wapi huo umeme wa gas? Kwanini Kuna uhaba na mgawo kama upo? Si CCM iliumiza na kuua watu miaka ya Jakaya Kikwete Ili kuanzisha mradi huu miaka karibu 20 iliyopita kwa ahadi kuwa anakwenda kutatua tatizo la umeme nchini na kubaki kuwa historia?

Badala yake kukatokea nini? Ni uongo na shida hiyohiyo Iko mpaka Sasa? Wewe unadhani ni kwanini?
Nitaendelea kutoa majibu mengine .ngoja niishie hapa kwanza ili andiko lisiwe refu sana.
Hatuhitaji propaganda. Huna lolote unaloweza kujibu zaidi ya drama za miaka yote.

Jibu ni hili: Akili iliyotengeneza tatizo la umeme nchi hii, haiwezi kuwa akili hiyohiyo inayoweza kutatua tatizo hilo!!
 
Wakati Magu analeta suluhisho mlimsimanga mkamuita mshamba hana exposure. Bwawa aliloliacha mnalihujumu makusudi ili muuze solar na majenereta ya kutosha
 
bila shaka Wewe ulipokuwa mdogo uliugua ugonjwa wa utapia mlo uliosababishwa na kula sana ugari !!!
akili yako imeishia hapo kwenye umeme wa maji miaka 50 + madarakani??? mvua isiponyesha TANZANIA haitapata umeme????
Huyu Lucas mwashambwa, ni kijana mjinga na mpumbavu fulani. Hakana hoja. Ni kapiga propaganda tu ktk maswala serious yanayohitaji akili kufikiri kabla ya kuandika au kusema.

Vyeo vya madaraka vinatafutwa kwa nguvu zote ikiwemo kutumia matatizo ya wengine kujipatia uteuzi.

Haka kadogo Lucas mwashambwa, kameshajitoa ufahamu na akili kusema na kuandika chochote Ili mradi kinawa - please wakubwa zake kwa matatajio ya kupata upendeleo (favour).
 
Wakati Magu analeta suluhisho mlimsimanga mkamuita mshamba hana exposure. Bwawa aliloliacha mnalihujumu makusudi ili muuze solar na majenereta ya kutosha
Hatukumtuma ateke watu bwana wee! Sasa Umeme aliweza?
 
Wakati Magu analeta suluhisho mlimsimanga mkamuita mshamba hana exposure. Bwawa aliloliacha mnalihujumu makusudi ili muuze solar na majenereta ya kutosha
CCM hao, bila shaka. Au siyo?

Yes, The late John P. Magufuli was a good and a great leader

However, it's an undeniable fact pia kuwa, ana upande wa mabaya mengi.

Elements za ushamba alikuwa nazo. Kukosa exposure lilikuwa tatizo pia. Mbaya zaidi, hakuwa tayari kujikosoa na kujifunza toka kwa wenzake. He was a selfish leader.

He absolutely believed in himself alone na ndio maana akafa kifo cha kizembe kabisa akiwa Rais wa nchi.

Hata hivyo, hatupaswi kumlaumu Magufuli. Tulaumu mfumo mbovu wa kisheria na kikatiba unaotengeneza mtu kutawala nchi badala ya taasisi imara.

Laiti kama tungekuwa na taasisi imara za kikatiba, zingemtengeneza Rais Magufuli na kuwa the best president ever kuwahi kutokea Tanzania na angekuwa hai mpaka leo!!
 
Umemjibu vyema sana...

Nilitaka kuongea Lakini ni kama umemaliza..

Nashangaa mpaka sasa hajaja kujibu hoja hizi..

Hello Lucas mwashambwa njoo ujibu huku
 
Waache waendelee na upigaji!
Si uneona kule maeneo ya Tabora Jana jamaa mmoja anajidadavua anajua sana kuliko mTanzania yeyote akiwaambia watu wawashe touching za simu zao ili alone mwanga aendelee na mkutano kuwahadaa matatizo ya wananchi wake.
Akili hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…