Tetesi: Uhakiki vyeti TRA; 437 kupigwa chini

kwa dar au tz nzima?
 
Bodi ya mikopo inalalamika hakuna urejeshwaji wa mikopo baada ya wanafunzi kumaliza vyuo! Wahitimu wanalalamika hakuna kazi kila pahala pamejaa! Kumbe kazi hakuna kwakuwa ndugu kamweka ndugu asiye na sifa kazini na ambae hajasoma chuoni hivyo wakati muda unaenda marejesho ya mkopo hayaonekani kwakuwa wahitimu wanahimizwa kuwa wajasiriamali! Ndo mana usishangae mtu ana digrii ya sheria anauza bidhaa za forever living au mapazia instagram[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jipu limepasuka
 
Kweli wachagga walipafanya TRA kama nyumbani kwao..mtoto wa shangazi.mjomba..baba mkubwa wote wapo...wachaga wabinafsi sana Harry Kitilya aliiharibu sana TRA kwa ukabila...sasa hivi anavuna alichokipanda

Sipendi ukabila, ila comment yako ina namna ya ukweli...hata CRDB ni hivyo hivyo, ila serikali haiwezi kuchukua hatua kwa kuwa CRDB haimilikiwi na serikali, serikali haina hisa pale CRDB isipokuwa labda kupitia DANIDA...lakini kwa hakika kwa patronage na clientelistic tendencies CRDB inatisha mno...
 
Mkuu inasemekana wachagga walikuwa wanatamba TRA utadhani wana hati miliki.

Nachukia sana ukabila kwenye ajira. Na hili Kabila limekuwa likilalamikiwa sana.

Huwa najaribu kuwaza hali itakuwaje siku Tanzania ikipata Rais mchagga au mhaya!!

-Kaveli-
Wachaga wakipata uraisi tutaibiwa hadi nywele zetu, ndo maana uchaguzi wa 2015 walimsafisha mwizi wao! Asante watanzania kwa kukataa hilo jizi
 


dada Munira umenichekesha sana. Na huo ndo ukweli. Wahitimu wa vyuo wanashindwa kurejesha mikopo HESLB coz hawana ajira. Ajira zimejazwa na villaza waliopenya kwa 'connection' za ndugu/jamaa zao.

Unakuta graduate yupo kitaa for 3 years bila ajira. Mwishoe wanaanza kuuza makopo ya forever-living na mapazia/mashuka instagram wapate hela ya dona.

Alafu kuna mijitu mijinga humu eti inatetea na kusikitika watu kutumbuliwa kwa vyeti feki.

-Kaveli-
 
siasa katika ubora wake.... watu 400 TRA!!!? sio halmashauri ya wilaya hiyo
 
Kuna wakati zaidi ya robo tatu ya wafanyakazi wa TRA walikuwa wachagga. Sijui kama wote walikuwa na vyeti halisi
Vyeti feki wachaga watajaa na vyeti halisi wachaga watajaa pia. Kuhusu elimu dunia huna njia ya kumkwepa mchaga hapa Tanzania labda kwa chuki upige marufuku usiwaone kwenye ajira yako.
 
Sina hakika kama zoezi limeshakamilika.Labda jamaa analeta makisio,tusubiri taarifa rasmi.
 
Yaani wewe umsaidie rais wa nchi?
 
Mkuu naona umetema nyongo kweli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…