Uhamiaji hawaoni aibu kutoa passport laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Idara ya UHAMIAJI ni jipu kubwa. Rushwa imetamalaki. Usipotoa rushwa utaulizwa maswali ya ajabu. Ndio maana wengine huenda nje ya nchi bila pssipoti wakirudishwa wanafungwa jela. UHAMIAJI wajirekebishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hao 200,000 wamepataje? Ni uhitaji na juhudi zao. Wewe lialia, ona shida kupanga foleni,ona shida kutafuta national ID utabaki kulalamika passport zimetolewa kwa wachache
 
Acha wehu passport Nikitambulisho Kama Cha nida hata wew unahaki nacho kuwa nacho ndio maana hata ukienda katika mabank utakuwa wanainisha viambatanisho na passport ikiwemo

Tatizo watu mnachukulia passport Ni kitu Cha anasa Sana kumbe Cha kawaida saana yaan



kilicho akilini kitumie
 
😂 😂 😂
 
Kwani hao 200,000 wamepataje? Ni uhitaji na juhudi zao. Wewe lialia, ona shida kupanga foleni,ona shida kutafuta national ID utabaki kulalamika passport zimetolewa kwa wachache
Mtanzania asipolalamika maisha yake hayaendi.
 
Kada haya ndio Madhara ya Kuikumbatia serikali dhalimu ya CCM.


Je uko tayari kuinyima KURA ili sasa hayo yafanyike?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kada haya ndio Madhara ya Kuikumbatia serikali dhalimu ya CCM.


Je uko tayari kuinyima KURA ili sasa hayo yafanyike?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaninhiki ulishawahi sikia hata chadema wakiliongelea popote hata bungeni? Hoja nianzishe Mimi halafu nyie mdandie be original sio kudandia dandia tu hoja
 
Unaongea theory passport hawakupi hao uandike natarajia kusafiri.Lakini watakudai vidhibitisho vya hiyo safari .

Lakini pia bado hata kujibu hivyo hakufai sababu kuhitaji passport sio lazima uwe na safari Mfano kufanya mitihani ya kiingereza kwa wageni British council Tanzania kujaza form tu online Kuna sehemu.lazima ujaze passport number Sasa fikiria unataka passport unaanza kujaza unatarajia kwenda Sijui nchi gani .What for?
 
Kwani hao 200,000 wamepataje?
Asilimia kubwa hapo kwenye hiyo laki mbili

Kundi la kwanza kubwa Ni wanasiasa na familia zao

Kundi kubwa la pili wafanyakazi wa serikali na taasisi zake

Kundi kubwa la tatu wahindi na waarabu

Asilimia kiduchu iliyobaki ndio waswahili

Waweke na takwimu za passport zilizokataliwa na sababu za kukataa
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu msamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaongea theory passport hawakupi hao uandike natarajia kusafiri.Lakini watakudai vidhibitisho vya hiyo safari .
Watakudai uthibitisho wa safari kama utawaambia unaenda kufanya shughuli maalumu - invitation ya mkutano, admission letter ya shule, medical treatment etc. Sina uhakika sana kama kukudai hivyo vitu is to your advantage ili wakupatie passport haraka ama la. Lakini ukiwaambia ninajiandaa kwa mfano kwenda safari binafsi tu hapo Uganda hawatakudai chochote kuhusu safari zaidi ya those other key supporting documents. Nina uhakika 200% na hiki ninachokisema.

All in all, passport hi haki ya kila raia na hakuna evidence kuwa kuna Mtanzania yeyote amewahi kunyimwa passport kwa kushindwa tu kuelezea vizuri madhumuni ya safari yake. Kimsingi Uhamiaji wala hawaconcentrate saaana kwenye madhumuni ya safari, zaidi huwa wanataka uthibitisho wa uraia na mara nyingi wale wanaotokea mipakani (Kigoma, Ngara etc) usumbufu wake huwa ni mkubwa zaidi.
 
Tatizo ni Pale uhamiaji wanapoanza kufanya kazi za ubalozi. Kuuliza maswali yasiyowahusu labda Tatizo ni wale wanaokwenda nchi zisizohitaji visa kama South. Ila wanaokwenda nchi za magharibi hawa kimbembe ubalozini
Ubalozini tumbo laweza kukukoroga
 
Have a drink... Nakuja kulipa
 
majanga
 
Mtanzania asipolalamika maisha yake hayaendi.
Kudai huduma Bora ni malalamiko?
Akitokea mtu akasikiliza madai yetu haya halafu akakisambaratisha kitengo chote Cha uhamiaji Cha passport na wengine kuwatumbua kwa kufanya kazi kimazoea na kutokidhi matakwa ya wateja waomba passport msije kupiga yowe humunkuwa ohhhh sisi hizo taratibu tulizikuta miaka na miaka mnatuonea!! Endeleeni hivyo hivyo kufanya kazi kama robot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…