Acha wehu passport Nikitambulisho Kama Cha nida hata wew unahaki nacho kuwa nacho ndio maana hata ukienda katika mabank utakuwa wanainisha viambatanisho na passport ikiwemoUleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂Acha wehu passport Nikitambulisho Kama Cha nida hata wew unahaki nacho kuwa nacho ndio maana hata ukienda katika mabank utakuwa wanainisha viambatanisho na passport ikiwemo
Tatizo watu mnachukulia passport Ni kitu Cha anasa Sana kumbe Cha kawaida saana yaan
kilicho akilini kitumie
Mtanzania asipolalamika maisha yake hayaendi.Kwani hao 200,000 wamepataje? Ni uhitaji na juhudi zao. Wewe lialia, ona shida kupanga foleni,ona shida kutafuta national ID utabaki kulalamika passport zimetolewa kwa wachache
Kwasababu imeletwa na wewe mwenye kichwa kibovu.Hi mada sio saizi ya kichwa Chako
Kada haya ndio Madhara ya Kuikumbatia serikali dhalimu ya CCM.Vibabu na vibibi mnaofanya kazi kwa mazoea kuwa toka enzi za Mwalimu tumekuwa tukifanya hivi. Hayo masharti nchi za wenzetu walishabadilisha miaka mingi nyinyi ni hayo hayo toka Tanzania ipate Uhuru .Hamstaafu tu? Mpishe vijana Wenye mawazo mapya?
Passport dunia ya Leo sio cheti Cha safari ni kitambulisho unachotumia kuomba kazi online ukiomba nje Kuna sehemu unatakiwa kujaza passport namba au ukiomba scholarship unatakiwa sehemu ujaze passport namba au ukitaka kufanya mitihani ya kimataifa online unajaza passport namba
Mfano mimi nataka kuomba labda scholarship au kazi online nakuja kukuomba unipe passport ili nitumie kuomba scholarship au kazi online unaniambie nilete barua ya mwaliko na uthibisho wa safari ninakoenda ili unipe passport hivi kichwani afisa passport wewe una akili au mjinga Fulani? Upo unafanya kazi Kama robot tu si ustaafu upishe Wengine au unasubiri redundancy ikupitie halafu uje kubweka humu kuwa umeonewa wewe ni mchapakazi?
Kwaninhiki ulishawahi sikia hata chadema wakiliongelea popote hata bungeni? Hoja nianzishe Mimi halafu nyie mdandie be original sio kudandia dandia tu hojaKada haya ndio Madhara ya Kuikumbatia serikali dhalimu ya CCM.
Je uko tayari kuinyima KURA ili sasa hayo yafanyike?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongea theory passport hawakupi hao uandike natarajia kusafiri.Lakini watakudai vidhibitisho vya hiyo safari .Credit to Uhamiaji though. Basically hawataki kuwe na msululu mreeeeefu wa kila "tom and Jerry" anayetaka kuomba passport bila safari ya uhakika, in the process kuwacheleweshea wenye safari za ukweli. Kwa uzoefu wangu, hilo swali la "unaomba passport kwenda wapi" unaweza kulijibu kirahisi tu kwamba "ninajiandaa kwenda Kenya/Uganda/Rwanda/Burundi" kwa safari binafsi. End of story. Unapowapa majibu ya mashaka kwamba unataka passport sijui kwenda shule Canada, hapo unawapa nafasi ya kukudai vitu vingine kama invitation/admission letters etc.
Sidhani kama kuna mtu ambaye ameshanyimwa passport kwa kushindwa kujibu vizuri swali linalohusu lengo la kuomba passport.
Asilimia kubwa hapo kwenye hiyo laki mbiliKwani hao 200,000 wamepataje?
Vibabu na vibibi mnaofanya kazi kwa mazoea kuwa toka enzi za Mwalimu tumekuwa tukifanya hivi. Hayo masharti nchi za wenzetu walishabadilisha miaka mingi nyinyi ni hayo hayo toka Tanzania ipate Uhuru .Hamstaafu tu? Mpishe vijana Wenye mawazo mapya?
Passport dunia ya Leo sio cheti Cha safari ni kitambulisho unachotumia kuomba kazi online ukiomba nje Kuna sehemu unatakiwa kujaza passport namba au ukiomba scholarship unatakiwa sehemu ujaze passport namba au ukitaka kufanya mitihani ya kimataifa online unajaza passport namba
Mfano mimi nataka kuomba labda scholarship au kazi online nakuja kukuomba unipe passport ili nitumie kuomba scholarship au kazi online unaniambie nilete barua ya mwaliko na uthibitisho wa safari ninakoenda ili unipe passport hivi kichwani afisa passport wewe una akili au mjinga Fulani? Upo unafanya kazi Kama robot tu si ustaafu upishe Wengine au unasubiri redundancy ikupitie halafu uje kubweka humu kuwa umeonewa wewe ni mchapakazi?
Watakudai uthibitisho wa safari kama utawaambia unaenda kufanya shughuli maalumu - invitation ya mkutano, admission letter ya shule, medical treatment etc. Sina uhakika sana kama kukudai hivyo vitu is to your advantage ili wakupatie passport haraka ama la. Lakini ukiwaambia ninajiandaa kwa mfano kwenda safari binafsi tu hapo Uganda hawatakudai chochote kuhusu safari zaidi ya those other key supporting documents. Nina uhakika 200% na hiki ninachokisema.Unaongea theory passport hawakupi hao uandike natarajia kusafiri.Lakini watakudai vidhibitisho vya hiyo safari .
Ubalozini tumbo laweza kukukorogaTatizo ni Pale uhamiaji wanapoanza kufanya kazi za ubalozi. Kuuliza maswali yasiyowahusu labda Tatizo ni wale wanaokwenda nchi zisizohitaji visa kama South. Ila wanaokwenda nchi za magharibi hawa kimbembe ubalozini
Have a drink... Nakuja kulipaVibabu na vibibi mnaofanya kazi kwa mazoea kuwa toka enzi za Mwalimu tumekuwa tukifanya hivi. Hayo masharti nchi za wenzetu walishabadilisha miaka mingi nyinyi ni hayo hayo toka Tanzania ipate Uhuru .Hamstaafu tu? Mpishe vijana Wenye mawazo mapya?
Passport dunia ya Leo sio cheti Cha safari ni kitambulisho unachotumia kuomba kazi online ukiomba nje Kuna sehemu unatakiwa kujaza passport namba au ukiomba scholarship unatakiwa sehemu ujaze passport namba au ukitaka kufanya mitihani ya kimataifa online unajaza passport namba
Mfano mimi nataka kuomba labda scholarship au kazi online nakuja kukuomba unipe passport ili nitumie kuomba scholarship au kazi online unaniambie nilete barua ya mwaliko na uthibitisho wa safari ninakoenda ili unipe passport hivi kichwani afisa passport wewe una akili au mjinga Fulani? Upo unafanya kazi Kama robot tu si ustaafu upishe Wengine au unasubiri redundancy ikupitie halafu uje kubweka humu kuwa umeonewa wewe ni mchapakazi?
majangaHivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?
Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.
Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.
Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele
Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.
Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport
Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
UHAMIAJI TANZANIAHivi si niliona uhamiaji wamejiunga humu ? Anayejua jina lao awa-tag, labda watakuja na majibu ya kutujenga.
Kudai huduma Bora ni malalamiko?Mtanzania asipolalamika maisha yake hayaendi.