Nilijua tu kuwa hujawahi kuomba passport, siku zote lazima uonyeshe madhumuni ya kuomba passport. Na sio ishu kubwa hata ukifanya booking ya hotel South Africa au Botswana au popote mbali kidogo ukapewa kopi ya risiti ni sababu tosha. Ila mpo hapa kupinga kila linaloletwa bila kutumia akili.Mavi yako, msizitoe kabisa zichambieni.