Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

Tukiambiwa maafrika meusi ni majitu mapumbavu ni pamoja na maamuzi ya kipumbavu kama haya. No wonder sisi ni wa mwisho mku***ni.
 
Kwani si ilikuwa hivyo hata kabla ya leo..!?
Kwa mara ya kwanza nili-submit document ya safari.. ikatumikaaa, ilipoisha muda wake sikwenda ku-renew... ilipopatikana safari nimepata safari, then nikawapa docs za safari mkapewa passport in 11 days... SO SIONI TOFAUTI
 
Ujue HUU NI UPUMBAVU.
passport ni haki ya kila raia kuwa nayo.haijalishi una safari au hauna .passport sio mali ya uhamiaji.
Acheni UKOLONI.
Yaani siku nikipata safari ndo nianze kuhangaika kutafuta passport?
Uliyoyasema ni kweli kabisa isipokuwa hilo jina lako ndiyo litaondoa uzito wa ujumbe wako.
 
Kwa bahati nzr watangaika wengine
Mm nmeanza kutumia pport kubandika picha
Nlishachkua mpya kitambo tu...siku 2 ilikuwa tayari

Ova
Hata mi nashukuru nilishapata yangu mpya!
Ila duh!ishakuwa tabu
 
Kufanikiwa kwa tanzania ni dili au jambo la ajabu,kuna maisha tanzania tunaishi kama zama za mawe.alafu tunashangalia tukisema wakombozi.
Uchumi wa kati wa mlipa kodi ya mwaka shilingi 20k
 
Duuh Polen Ndugu zangu; Ndugu mtoa mada hawajazungumzia Kuhusu expire kwa tulioko Ughaibuni? wamebadilisha Utaratibu? maana nchi yetu hiyo ishakuwa Problemaa, too many changes zisizo na Tija.

Warioba Mashaka,

St. George, Bermuda
 
Duuh Polen Ndugu zangu; Ndugu mtoa mada hawajazungumzia Kuhusu expire kwa tulioko Ughaibuni? wamebadilisha Utaratibu? maana nchi yetu hiyo ishakuwa Problemaa, too many changes zisizo na Tija.

Warioba Mashaka,

St. George, Bermuda

Baki huko huko kuombea ili hiwe na sababu.ukirudi huku unaulizwa kuwa ya nini
 
Kuna familia moja ya kishua dada yao mkubwa aliolewa na Mzungu na waliishii Ulaya. Baada ya miaka mingi yule dada alipata saratani. Walimuuguza mpaka mauti yalimfika. Mzungu aliamua mke wake anazikwa Ulaya ili watoto na wajukuu waone kaburi kila wakimkumbuka. Alipiga simu akawaambia anatuma mwaliko wenye passport waende kuomba visa ya kwenda msibani.

Familia nzima hakuna aliyekua na passport kasoro chizi wao mmoja aliyeshindikana. Katika mihangaiko yake alipata pass akaiweka ndani. Siku walizopewa zilikua chache sana ku ku process pass. Mchizi alikua mwanafamilia pekee aliyepata viza na kukwaa pipa kwenda kwenye mazishi ya sister wao.
Dada sky hii ni hadithi au based on true story?
 
Kwa wazungu passport ni haki ya kila mtu kikatiba. Passport na driving licence ndiyo viambukisho rasmi vinavyotambulika kisheria ukipata ajira, ujiwa na kesi mahakamani nk.

Holiday ni sehemu ya afya ya akili. Wana asume kila mwajiriwa awe na uwezo wa kutoka nje ya nchi hata mara moja kwa mwaka inasaidia kupunguza msongo wa mawazo.
 
Ndio tumefika huko!? Sitaki kuamini! Lakini haitashangaza ndani ya utawala huu hili kutokea.
Jipya hapo ni hayo malipo ya Sh. 500,000, huko nyuma hayakuwepo na Passport zilikuwa zinapotea, mengine yote yalikuwepo toka Passport za Tanganyika kwa sababu hiyo ni Hati ya Kusafiria nchi za nje kama husafiri inahitaji ya nini? Labda Wafanyakazi wa Uhamiaji wangekuwa wanaeleza watu wakaelewa maana hata kama mtu ana Passport na nauli ya kwenda Marekani anaweza asiende kwa sababu wakati anapoomba Visa ataulizwa maswali yaleyale anakwenda kufanya nini na hiyo Passport baada ya miaka 10 ni ya kutupwa.
 
Back
Top Bottom