mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Yaani mpaka aibu. Dunia ya leo passport imekuwa ni kitu cha kawaida lakini sio Tanzania. Tena huyo jamaa anatamba kabisa.
Inasikitisha, tupo nyuma sana.
Inasikitisha, tupo nyuma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
US mbali sana hapo Uganda tu passport sio kitu cha kukutoa jasho
Mjadala umefungwa.If only kila jambo lingesubiri dharura ndio uweze kulipata then even vifaa/ silaha vya / za vita vingesubiri dharura!
Arming your citizens with uncertainty is as much wise as vaccinations before diseases!
kwa hiyo kwa uelewa wako passport inahitajika kwa ajili ya kusafiri tu? PoleHalafu kama huna mpango wa kusafiri passport ya nini!?...
Mi 5 tenaazima atoe kiasi cha shilingi Laki tano
Nitajie matumizi mengine ya passport mbali na kusafiri!?.. (Kama hujawahi safiri nchi nyingine utanijibu hutumika Kama kitambulisho).kwa hiyo kwa uelewa wako passport inahitajika kwa ajili ya kusafiri tu? Pole
Iko haja kitengo cha passport wazee wote wastaafishwe au watumbuliwe wawekwe vijana
Baadhi ni hizi hapaNitajie matumizi mengine ya passport mbali na kusafiri!?.. (Kama hujawahi safiri nchi nyingine utanijibu hutumika Kama kitambulisho).
Acha ujinga,kama hujui lolote bora ukae kimya na usubiri wengine wachangie!Mfano kuna mitihani ya IELTS,hii huwezi kufanya bila kuwa na passport!Mitihani hii ni ya lugha ya kiingereza na vyuo vingi vya ughaibuni hutaka ambatanisho la grade ya mtihani huo wakati wa application!Sasa utaombaje passport kama huna matumizi nayo?
Si unakua na mpango wa safari ndio unatafuta passport!? Au nakosea ndugu zangu😃😃😃😃
Nasisitiza passport ni kwa ajili ya kusafiria tu, yote uliyoorodhesha details za passport zinahitajika endapo inabidi kusafiri kwenda huko, sema tulizoea kutumia passport sababu hatukuwa na kitambulisho kingine rasmi. Muulize mtu yeyote nchi yoyote hata ulaya matumizi ya passport ni kwa ajili ya kusafiria tu. Mifano uliyotoa inaendana na kusafiri Kama scholarship ya kusoma Uk, uhamiaji unawapelekea forms za kuombea scholarship wanabaki na kopi. Swala linarudi palepale lazima uwe na sababu kuomba passport. Huwezi kuwa unaomba scholarship ya chuo cha mzumbe ukahitaji passport. Logic!?..Baadhi ni hizi hapa
kuombea scholarship
kuombea kazi online
kufanya mitihani ya kimataifa online
kuomba tenda online lazima personal particulars za passport ujaze
Hakuwa serious passport unaweza ipata ndani ya wiki mojaKuna dogo alikosa nafasi ya kucheza ulaya kisa hana passport, safari ilikua ndani ya mda mfupi jiulize ndoto yake imezima Kisa huu upuizi
Ukiashafanya application ukipewa form inataka uandike namba ya passport unachukua hizo application form unaenda uhamiaji kuomba passport ili upate namba yako ujaze.Sisi tunatafuta scholarships, kwenye Application wanataka namba za passport.. itakuaje