Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukifika hiyo stage ukaombe uone kama utaikosa.... sioni kama kuna kunyimwa passport, ni utaratibu tuu
Halafu mrangi kwani yako imesha eksipaya!?
Sasa utaombaje passport kama huna matumizi nayo?
Si unakua na mpango wa safari ndio unatafuta passport!? Au nakosea ndugu zangu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ushamba gani???? Umetaka pasport ukiwa na safari ukaikosa?
Serikali imekupunguzia mzigo wa kuwa na vitu usivyo na matumizi yake... pata safari upewe pasport
Kiasi kwamba niliposikia taarifa kutoka uhamiaji; nikajua wameona ni vyema kuondoa huo utaratibu ili iwe rahisi kwa kila mtanzania kupata pasi ya kusafiria. Kumbe ndio wameamua kugongelea msumari kabisa kautaratibu hako ambako binafsi naona kama vile kanakinzana na haki ya kuwa na pasi ya kusafiria kwa kila raia wa Tanzania.Hawa nyau kuna siku watasema sisi ambao hatuna magari hatutakiwi kuwa na leseni.
Sifahamu utaratibu kwa nchi nyingine upo vipi juu ya passport ila huu wa lazima uwe na safari haupo sawa. Kuna watu wanatafuta kazi au scholarship na zote hizo wanaitaji passport ID ndio uwe kuwa sehemu ya ombi lako kufanyiwa kazi. Sasa sijui wanasaidia vipi watu wa aina hii!!! Ni kweli hawa maboss wa uhamiaji hawawezi kujiuswali jepesi kama ilo na kujijibu then watengeneze sera ya maana au wanafanya makusudi tu.
Kwamba kila unaposafiri unapewa pasi mpya au sijakuelewa ?Sasa hii ni pass yangu ya tano. Na utaratibu ninao tumia ndio huo. Lazima kuonyesha kusufio la safari au tiketi ndio upewe passport.
Hiyo ni false story kwa sababu nyingi tu lakini moja kama chizi aliweza kupata Passport na nauli kwenda Ulaya ndugu wenye akili timamu walishindwa nini, pili Wazungu hawaziki kwa sababu Ardhi ni ghali sana kwa hiyo ni rahisi kuchoma maiti na ndugu wakapewa majivu kwenye kopo.Dada sky hii ni hadithi au based on true story?
Huo sasa ubishi tu. Labda iwe ni msisitizo lakini hicho kipengele kwenye application kipo siku zote. Labda uniambie tajiri, bado haumiliki pasipoti.Si kweli , kama huo ndio utaratibu tangazo hili la nini ?
Katika kuomba passport mpya sikuwahi kuzingatia vitu vingine zaidi ya kupata passport tu , sasa sijui kwa vile wananijua kuwa ni msafiri wa mara kwa mara au la .Huo sasa ubishi tu. Labda iwe ni msisitizo lakini hicho kipengele kwenye application kipo siku zote. Labda uniambie tajiri, bado haumiliki pasipoti.
Mawazo ya kikomunisti hayo, passport kiilivyo ni nyaraka kama ID si lazima mtu awe na dhumuni la safari.Pasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria
Ndio nmetumia vp ume umia?Sema umetumia huu mwanya kuwatambia watu kuwa una passport ya nchi nyingine, wala halihusiani na topic iliyo mezani. Hiyo nchi nyingine ni ipi unayoomba passport bila hata kuwa na ushahidi wa kusafiri!?.. taja nchi tukushushie data usilete sifa za kijinga hapa..
Kuna dogo alikosa nafasi ya kucheza ulaya kisa hana passport, safari ilikua ndani ya mda mfupi jiulize ndoto yake imezima Kisa huu upuiziNa mtu mpaka aende uhamiaji ni lazma atakuwa na mipango ya safari.iwe mwezi huu au mwezi wowote.
Siku akiwa tayari anaaamsha tu anaondoka.
Lazima ujaze unataka kwenda wapi na hiyo passport hata kama ni fix. Na kama ni ya mtoto lazima supporting document ya lengo la safari..Hata kama ni fix.Katika kuomba passport mpya sikuwahi kuzingatia vitu vingine zaidi ya kupata passport tu , sasa sijui kwa vile wananijua kuwa ni msafiri wa mara kwa mara au la .
US mbali sana hapo Uganda tu passport sio kitu cha kukutoa jashoHivi ulishawahi kusikia marekani au ulaya raia zao wanahangaika na passport?.
Nchi zinazotuzunguka huulizwi unataka passport ya nini utajijua mradi una kitambulisho cha taifa wanakupakwani ukimpa mtu passport akakaa nayo unapungukiwa na nini? Kwani unampa bure?
tanzania pekee ndo tunaona passport NI MALI.nchi nyingi haya mambo hayapo.