Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Hata Mimi naamini Uhuru atashinda asubuhi saa nneJubilee wameshatoa msimamo wao hakuna nusu mkate.
Odinga anapigwa kupigo cha aibu uchaguzi wa marudio, kura za Kenyatta zitaongezeka maradufu kwa sababu yeye ndio shujaa wa Africa kwa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Uhuru anahubiri Amani muda wote sioni Odinga akihangaika kutafuta amani
Sent using Jamii Forums mobile app