Sifa hizi Kwa afrika ni sawa na Kutafuta Mwanamke Bikra Mitaa ya TandaleBinafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
Binafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
Kwa demokrasia ipi?Binafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
Kwa demokrasia ipi?
Kenyatta ameingia madarakani kwa wizi wa kura; kumbuka aliekuwa boss wa idara ya IT Chriss Msando alikutwa kafa kwenye mazingira ya utata yet ikaonekana log in ID ilitumika ku-access server ya tume ya uchaguzi.
Kenya ni hub ya US kufanya majambo yao kwenye pembe ya Afrika mashariki na sio demokrasia.
Tungekuwa na very independent media station ilitakiwa yaswemwe haya. Ila kwa kuwa tumebakiwa na wanahabari wengi ambao ni reporters hapo ndipo wasomaji tukuwa fed na very wrong information.
Kenya na rais haina moral authority kufundisha nchi yoyote ukanda wa Afrika Mashariki demokrasia kwa kuwa tu Uhuru kapata access ya kushikana mkono na Biden.
Mbona hapa pia kuna mtu kasema kabila lake mZanzibar?na ukabaila na UKABILA.
Kwenu hayo hapo hayapo, kwanini mnawanyamazisha watu kuibua madudu yenu, katiba yenu tu hamwifuati, hayo mengine wachie jamii iliyostaarabika, au basi angalao jamii ile inayoelekea kwenye ustaarabu .
Mbona hapa pia kuna mtu kasema kabila lake mZanzibar?
Humjui Uhuru Kenyata wala huijui kenya!! Unamsifia kibaraka wa mabeberu!! Unakijua kitu wanachomwitia? Hivi unawajua mabeberu au unawasikia tu?? Wanamwitia waongee kjpigania haki za wanadamh na demokrasia!! Na kwa màbeberu haki za binadamu ni kuruhusu pia ushoga, usagaji na ndoa za jinsia moja! Hiyo ndiyo agenda!! Na mabeberu wameona Kenyata ndiye rais wa afrika anayefaa kuo gea naye kuhusu uchafu huo!! Halafu unasema ndiye kioo cha afrika!! Samahani Inabidi ukapimwe akili!!Binafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
Uhuru is matured, educated, down to earth person. Hana ulimbukeni na uongozi, anaheshimu sana watu. Ni fahari ya AfricaBinafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
Usitutoe kwenye mada ya uzi, ni vizuri uanzishe uzi wako!!Mtu akikosa utu na haki akaacha kuthamini na usawa huyo ni bora ya hayawani!
Hivi Bi. Hangaya ana neno lolote kuwahusu hawa bila kujali makosa yao?
View attachment 1975027
Tunayo hata hofu ya Mungu kweli?
Yuko wapi Moses Lijenje?
mashoga kibao yamejaa mtaani hapa na yanajitokeza katika jamii zetu na watu wanashirikiana nao vizuri tu. Tom boys vivyo hivyo so sisi kama jamii ni watu wanafiki sana tulipaswa kukemea hawa tunaoishi nao kwanza na kutokushirikiana nao kabisa kuonesha chuki yetu dhidi ya ufilauni huo. Ila kwakuwa tumeridhika acha haki za binadamu zishike hatamu kuwakomboa vijana wetu watambulike rasmi kama kundi la watu wanashiriki mapenzi ya jinsia moja bila unafiki.Humjui Uhuru Kenyata wala huijui kenya!! Unamsifia kibaraka wa mabeberu!! Unakijua kitu wanachomwitia? Hivi unawajua mabeberu au unawasikia tu?? Wanamwitia waongee kjpigania haki za wanadamh na demokrasia!! Na kwa màbeberu haki za binadamu ni kuruhusu pia ushoga, usagaji na ndoa za jinsia moja! Hiyo ndiyo agenda!! Na mabeberu wameona Kenyata ndiye rais wa afrika anayefaa kuo gea naye kuhusu uchafu huo!! Halafu unasema ndiye kioo cha afrika!! Samahani Inabidi ukapimwe akili!!
White House spokesperson Jen Psaki said in a statement that the two would discuss "efforts to defend democracy and human rights, Jpo hapo?
Saivi anampiga vita Makamu wake W. Ruto kisa ukabila unasema mtu wa Demokrasia unai-definije DEMOCRASIA?Binafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
Hii picha imekosa utu hakukua na haja ya kuileta hapa!!Mtu akikosa utu na haki akaacha kuthamini na usawa huyo ni bora ya hayawani!
Hivi Bi. Hangaya ana neno lolote kuwahusu hawa bila kujali makosa yao?
View attachment 1975027
Tunayo hata hofu ya Mungu kweli?
Yuko wapi Moses Lijenje?
Si ujinga mtupu bali ni ujinga mzito....ata akitwangwa kwenye kinu hautaishaUjinga mtupu. Kenya ya sasa inaongoza kwa rushwa na ufisadi
Hii picha imekosa utu hakukua na haja ya kuileta hapa!!
Kwahiyo 2030 tumpe Makongoro?!
Ushoga, usagaji izo ni faragha za mtu utaingiliaje faragha ya mtuHumjui Uhuru Kenyata wala huijui kenya!! Unamsifia kibaraka wa mabeberu!! Unakijua kitu wanachomwitia? Hivi unawajua mabeberu au unawasikia tu?? Wanamwitia waongee kjpigania haki za wanadamh na demokrasia!! Na kwa màbeberu haki za binadamu ni kuruhusu pia ushoga, usagaji na ndoa za jinsia moja! Hiyo ndiyo agenda!! Na mabeberu wameona Kenyata ndiye rais wa afrika anayefaa kuo gea naye kuhusu uchafu huo!! Halafu unasema ndiye kioo cha afrika!! Samahani Inabidi ukapimwe akili!!
White House spokesperson Jen Psaki said in a statement that the two would discuss "efforts to defend democracy and human rights, Jpo hapo?
Kumbuka ruto anahitaji kiti cha UraisSaivi anampiga vita Makamu wake W. Ruto kisa ukabila unasema mtu wa Demokrasia unai-definije DEMOCRASIA?
Sa siamuunge mkono kama anapenda Democrasia maana ye muda wake ushaisha na wapo chama kimoja kwanini saivi anamgeuka na kuunga mkono kabila lake?Kumbuka ruto anahitaji kiti cha Urais
Itakua upo nyuma sana na wakati au upo maporini huko mpitimbi,maana kama ungeangalia kujua pandora papers usingeandika hiki ulichokiandika hapa kuhusu kenyataKenya kwa sasa ipo katika kiwango cha juu sana cha uongozi bora katika Afrika. Wajinga na wanafiki watapinga lakini wenye akili wanalitambua hilo.
Leo US, the most superpower anajadili tatizo la demokrasia, haki na utawala bora kwa nchi za Afrika, na Uhuru Kenyatta.
Hata chini ya Raila, Kenya itaendelea kung'ara. Kenya imevuka na kuzishinda siasa zile za kinafiki na ushabiki wa vyama, ambao Tanzania inapitia sasa. Tanzania imerudi nyuma sana katika uongozi bora. Japo hatukuwa tumefanikiwa sana, angalao awamu zilizopita tulikuwa tumeiona njia. Marehemu akaipeleka nchi kwenye matope, inagaragara, haijui hata pakutokea.