Uhuru Kenyatta taswira ya Rais wa Afrika

Sifa hizi Kwa afrika ni sawa na Kutafuta Mwanamke Bikra Mitaa ya Tandale
 

Mtu akikosa utu na haki akaacha kuthamini na usawa huyo ni bora ya hayawani!

Hivi Bi. Hangaya ana neno lolote kuwahusu hawa bila kujali makosa yao?

Your browser is not able to display this video.


Tunayo hata hofu ya Mungu kweli?

Yuko wapi Moses Lijenje?
 
Kwa demokrasia ipi?
Kenyatta ameingia madarakani kwa wizi wa kura; kumbuka aliekuwa boss wa idara ya IT Chriss Msando alikutwa kafa kwenye mazingira ya utata yet ikaonekana log in ID ilitumika ku-access server ya tume ya uchaguzi.

Kenya ni hub ya US kufanya majambo yao kwenye pembe ya Afrika mashariki na sio demokrasia.

Tungekuwa na very independent media station ilitakiwa yaswemwe haya. Ila kwa kuwa tumebakiwa na wanahabari wengi ambao ni reporters hapo ndipo wasomaji tukuwa fed na very wrong information.

Kenya na rais haina moral authority kufundisha nchi yoyote ukanda wa Afrika Mashariki demokrasia kwa kuwa tu Uhuru kapata access ya kushikana mkono na Biden.
 

Ila hawa wanaoshikilia watu kusikojulikana?



Wanaojenga ofisi yao moja kwa tone ya $10m?

Ambao tume ya uchaguzi, bunge na mahakama ni wao?

Ndiyo hao wenye moral authority mkuu?
 
Humjui Uhuru Kenyata wala huijui kenya!! Unamsifia kibaraka wa mabeberu!! Unakijua kitu wanachomwitia? Hivi unawajua mabeberu au unawasikia tu?? Wanamwitia waongee kjpigania haki za wanadamh na demokrasia!! Na kwa màbeberu haki za binadamu ni kuruhusu pia ushoga, usagaji na ndoa za jinsia moja! Hiyo ndiyo agenda!! Na mabeberu wameona Kenyata ndiye rais wa afrika anayefaa kuo gea naye kuhusu uchafu huo!! Halafu unasema ndiye kioo cha afrika!! Samahani Inabidi ukapimwe akili!!
White House spokesperson Jen Psaki said in a statement that the two would discuss "efforts to defend democracy and human rights, Jpo hapo?
 
Uhuru is matured, educated, down to earth person. Hana ulimbukeni na uongozi, anaheshimu sana watu. Ni fahari ya Africa
 
mashoga kibao yamejaa mtaani hapa na yanajitokeza katika jamii zetu na watu wanashirikiana nao vizuri tu. Tom boys vivyo hivyo so sisi kama jamii ni watu wanafiki sana tulipaswa kukemea hawa tunaoishi nao kwanza na kutokushirikiana nao kabisa kuonesha chuki yetu dhidi ya ufilauni huo. Ila kwakuwa tumeridhika acha haki za binadamu zishike hatamu kuwakomboa vijana wetu watambulike rasmi kama kundi la watu wanashiriki mapenzi ya jinsia moja bila unafiki.
 
Saivi anampiga vita Makamu wake W. Ruto kisa ukabila unasema mtu wa Demokrasia unai-definije DEMOCRASIA?
 
Kwahiyo 2030 tumpe Makongoro?!

Ushoga, usagaji izo ni faragha za mtu utaingiliaje faragha ya mtu
 
Itakua upo nyuma sana na wakati au upo maporini huko mpitimbi,maana kama ungeangalia kujua pandora papers usingeandika hiki ulichokiandika hapa kuhusu kenyata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…