Uhuru Muigai Kenyatta afungua soko la ajira na uwekezaji kwetu, sisi bado kikwazo!

Acheni ushamba!! Mwenzenu hajataka hizo 50/50 zenu kawaambieni mkawekeze mkitaka mkachume mali bila kuingiliwa wala hajawaomba mfanye kama afanyavyo yeye chagua moja kusuka au kunyoa....
 
Jenga hoja acha stress Kenya ukawekeze wapi???unaijua kenya au unakunywa balimi unasema ukawekeze...uskae nyuma ya keyboard na kutype upuuzi....?hivi unajua ata matajiri wa Kenya wamekosa fursa pale wamekmbilia south sudan acha kuropoka ujinga usioujua....huyo Kenyata unayemshabikia na Kina Nyayo... Biwot n Co wameshka kila sector usropoke ujinga kwa usivyovijua tembea uone na fanya utafti kabla haujatype
 
Hivi umemsikiliza Kenyatta?amesema sera hiyo haijali kama nchi nyingine itafanya nini maana yake hata Tanzania ikiendelea kuwakatisha work permit Wakenya hapa Tanzania lakini Watanzania Kenya watafanya kazi, watafanya biashara na kuanzisha viwanda bila hizo bughudha.

Hatari yake matajiri wengi wataopt kubase Kenya ukizingatia utawala wao wa kisheria upo stable hivyo mali zao zitakuwa salama zaidi Kenya kuliko nchi yoyote Afrika Mashariki na Kati.
 
Huo ni mtego shtuka na kwa taarifa yako hizo stor na vitisho vya wafanyabishara kukimbilia uko sahau hawatajaribu...wanapeleka yard mbili apo Kenya na Rwanda ili kuitsha serkali...kumbe wanadanganya kule hakuna ukwepaji kodi kama wanaofanya Tanzania adi sasa bado matajiri na wafanyabishara wengi wa Tanzania ni wakwepa kodi pamoja na udhibiti uliopo kule Kenya hawataweza kufanya huo usanii
 
Jiulize hiyo ardhi ya kilimo unaiutilize vipi bila mtaji? Kilimo ni uchumi.Zimbabwe sasa wanalijua hilo.
 
Kama ulivyo mjinga kwakukubali kugawanywa. Unajiona upo huru kwa kuwekewa mipaka iliyotengenezwa na wakoloni ili iwe rahisi kutawaliwa. Watu wanataka Africa iwe nchi moja, nyie mnazidi kuigawanya na mnajiona welevu.

Wewe ndo samaki
Hao wakoloni kwao hakuna mipaka?
 
Hao wakoloni kwao hakuna mipaka?
Hiyo mipaka uliwawekea wewe au walijiwekea wenyew?

Unajua walizingatia nini wao kujiwekea? Na walizingatia kipi kukuwekea wewe mipaka?

Mfano wako ni sawa na enzi za utumwa watu kujiuliza kuwa "kwani wao hawafanyi kazi?" Sawa wanamipaka, ila mipaka yao ni kwaajiri ya kuondoa migogoro baina yao. Na mipaka yetu ni kwaajiri ya kupunguza nguvu za kupambana nao.

Jiulize mara mbili ni nini faida ya mipaka kwa bara la Africa?
Yaani wewe unafaidika na nini kuwekewa mipaka
 
Umeshawahi fika Kenya?
 
Sawa,
Kwa mantiki yako basi tuanzie hapo kwako na majirani zako unaowaamini,
Tuanze na doorless homes, tusiwe tunafunga milango basi ili Jirani akihitaji maji ya kunywa anytime aende ndani akanywe
 
huu utakua ni mtego wa panya
bora wewe umeligundua hilo....kama sasa hivi tu mnalia lia kuhusu baggers je tukiamua tuje kwa wingi kuzaa na dada zenyu si mtatuteka mtuuwe na hivi ma-youth watz tulivyo ma-handsome....povu ruksa.[emoji23] [emoji23] [emoji23]


hii kitu uhuru ameiongea tu kisiasa ili apate public attention kwa baadhi ya raia wa EA but he knows the obstacles behind it.
 
Wewe huoni kama huo ni mtego wa panya? Uende kwnya wewe na kitambulisho chako ukamiliki nini wakati wenyewe ardhi weshamaliza? Huoni wanategesha na nyie mrukie kwa mbele waje wabebe ardhi yako? Hakuna walichobakisha hao. Ardhi yoye ni ya watu. Wanaisaka hiyo hiyo.
 
Sawa,
Kwa mantiki yako basi tuanzie hapo kwako na majirani zako unaowaamini,
Tuanze na doorless homes, tusiwe tunafunga milango basi ili Jirani akihitaji maji ya kunywa anytime aende ndani akanywe
Useless analogy.
 
Fikra za kimasikini kama za John hizi!!! Ninao jamaa zangu kibao tuu na elimu yetu ya Ngumbalo wanafanya Kazi Kenya
Kuna vitu vikubwa zaidi ya ajira, kwanza ajira sio asset.
Kuna ardhi na mali asili zingine kibao ambazo kuziachia ovyo kiasi hicho italeta shida kubwa na nyie wenyewe mtarudi kumtukana raisi na serikali yake.

Ajira unaweza kwenda kuitafuta na kuipata kwa gharama ndogo kuliko ardhi na mengineyo.
 
Nimemsikia mheshimiwa Rais mwenye Akili Uhuru Mwigai Kenyata
Akisema:kwanzia leo Raia wa afrika mashariki atakuwa na haki kama mkenya,ataishi,kufanyakazi,kuwekeza na hata kuoa kwa kutumia Kitambulisho pekee.
Hii inaonyesha Rais huyu alivyo na upeo wa mbali na roho ya utu na pia upendo wa watu wa afrika mashari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…