Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
Wewe mkataba usio na kikokomo unaona sawa??? nenda kale urojo hukooHakujawahi kuwepo na hoja ya maana au yenye mashiko kutoka kwa opponents wa Bandari na infact Serikali au Samia hana shida nao. Kinachosemwa watu wajadili mkataba wao sio personal attacks kama wafanyavyo sasa.