Uingereza: Liz Truss achaguliwa kuwa Waziri Mkuu

Uingereza: Liz Truss achaguliwa kuwa Waziri Mkuu

Jamaa wamechagua kumpa Mwingereza kuliko yule Mhindi pamoja na madhaifu mengi aliyonayo kulinganisha na Mhindi.
Kwa nini na nyie msimchague Kinana awe rais wenu badala ya kumpa tu umakamu wa chama chenu ili muonyeshe mfano.
 
Hao Hawataki Kabisa Machotara Sijui Umezaliwa Kenya Baba Mwingireza Hupewi Nafasi
Wanataka Mtu Ambaye Amezaliwa Humo Humo Na Kukulia
 
Kwaheri
IMG_20220906_013755_538.jpg


Nalog off  Z
 
Pumba
Hawa jamaa wanaziponda nchi za kifalme au zile za kurithishana uraia kifamilia wanasema hazina demokrasia!Ila wao wanasahau kuwa Wana Royal family ambao ndio wenye nchi!Barua ya Kujiuzulu Boris aliandikiwa Malkia!Maana yake ni boss wake!
 
Kajifunze kuhusu constitutional monarchy wewe kilaza.
Ni ujuha zaidi kuufananisha Ufalme wa malikia Elizabeth na wa Saudi Arabia.
Lakini kikubwa ni kwamba familia Moja ndio inaendelea kuongoza nchi!Huo utaratibu wameuweka wao,basi waheshimu na taratibu zilizowekwa na nchi nyingine!Sio mpaka tufanane na wao Kwa kila kitu!
 
Kajifunze kuhusu constitutional monarchy wewe kilaza.
Ni ujuha zaidi kuufananisha Ufalme wa malikia Elizabeth na wa Saudi Arabia.
We mpuuzi huelewi Nini? Utamaduni wa UK msilazimishe ufanane na tamaduni za nchi nyingine!Kama wananchi wa Saudi Arabia hawana shida na mfumo wa utawala wao,ninyi west unawahusu Nini mpak mtake mfumo wenu ndio ukubalike duniani kote?Kenge kabisa!
 
"Autocracy"/Uimla ni utamaduni mbaya sana.
Hakuna watu wanaochagua mfumo wa aina hiyo. Angalau wakiwa na akili timilifu au bila udanganyifu/proganda/vitisho au hofu.
We mpuuzi huelewi Nini? Utamaduni wa UK msilazimishe ufanane na tamaduni za nchi nyingine!Kama wananchi wa Saudi Arabia hawana shida na mfumo wa utawala wao,ninyi west unawahusu Nini mpak mtake mfumo wenu ndio ukubalike duniani kote?Kenge kabisa!
 
Boris Johnson leo mchana atakwenda kumwona Malkia wa Uingereza Elizabeth wa pili kuwasilisha rasmi hati ya kujiuzulu na kesho Liz Truss pia atafuata kwa kuwasilisha hati ya utambuzi ya kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza na kisha kukaribishwa na Malkia Elizabeth wa pili kuunda Baraza la Mawaziri.

Maisha yanaenda kasi sana. Ndani ya miezi miwili tu malika wa Uingereza ameshafariki, mfalme mpya ameshaapishwa, lizz truss ameshajiuzulu saa hizi tunaongea habari nyingine kabisa....
 
Back
Top Bottom