Uingereza yasikitishwa na yaliyotokea kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa nchini Tanzania

Uingereza yasikitishwa na yaliyotokea kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa nchini Tanzania

Eti Boycot ndio nini maana yake ??yaani uchaguzi wetu ni koti la mvulana au amemaanisha nini huyu shingo ndefu.
 
Unajua kule ng'ambo ya Atlantic ni kwa vile mwenye kigoda naye yuko kikaangoni vinginevyo angesha ijambisha hii Gangster admin kwa uhuni wao.

Hakuna lolote, zile zama za kijikomba komba zimeisha, tunaweza kujitegemea sisi wenyewe. Kwani mnafikiri kwa nini JPM hana mpango wa kwenda kuwatembelea? Nchi yetu ni Tajiri, wenye shida zao waje wapige magoti kwetu ...... ..... hiyo ndio habari ya mjini. Tunajenga Bwawa la Mwl Nyerere, Tunajenga barabara nane Dar - Chalinze, tunajenga SGR, tunanunua ndege za kusafiri, tunajenga barabara zetu sisi wenyewe etc. Zile hadithi za kusubiri IMF na World Bank zimepitwa na wakati. Hapa Kazi tu.
 
Hakuna usawa embu taja nchi unayoijua ina usawa kwenye siasa za ushindani duniani?

Ata US kama huna rich backers kwenye campaign and media backup your good as dead in the election.

Ukienda nchi kama India BHJ and Congress kwa uwezo wao wa kifedha ikifika kipindi cha campaign vyama vidogo vikienda remote areas wanakuta washakodi chopper zote ata kama awazitumii wagombea wa vyama vidogo wasifike vijijini.

Hakuna nchi ambayo siasa zina usawa, kwa mtu asiweza fitna siasa sio uwanja wake.

CDM na upinzani kwa ujumla ni wachanga kuchukua nchi kama Tanzania inataka kuwa long term goals na short goals.

Short terms goal ni kutaka kuona wananchi wanazoea kuona viongozi wa vyama vingine wakitatua matatizo yao ya kila siku huko mtaani na kuwatengeneza kisaikolojia mazoea ya watu wengine zaidi ya CCM kama viongozi.

Mtu kama Mbowe na selfish motives zake hajui hayo umuhimu wake tactically unasusa kwa faida ya nani; changamoto zipo kwa upinzani ila nao mbinu hawana muhimu kwenye siasa ni kuaminika na wananchi sio watu wachache wanaolamba miguu na wanaosifia hata maamuzi mabovu ya mwenyekiti.

Chunga kauli zako CCM ilivyo kwa tabia mwakani itarudia kuwaengua tena wanasiasa wa upinzani kwa hila tu kuonyesha hao watu wapo kimaslahi yao sio ya nchi maana na wanajua watapambana tu majina yao kurudishwa na hawatasusia uchaguzi; I can bet on that.
CCM hawana hati milki ya nchi hii. Toka uhuru ni blah blah tu.

Huko kote ulikotaja rais anaweza kutumia vyombo vya dola kudhibiti vyama vingine? Tumia akili mkuu unapotoa mifano.
 
Dah,nchi hii naona kama wajinga bado wengi ni kama hawapungui vile....!!!
 
View attachment 1274916

Kitendo cha Watendaji kuamriwa kujificha kwa gharama yoyote ile ili kuhakikisha Wagombea wa vyama vya upinzani hawachukui ama kurudisha fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa lengo la kuwabeba wagombea wa CCM kwa mbeleko ya chuma, kimeusikitisha mno ubalozi wa Uingereza.

My take: Nchi inazidi kudhalilika kwenye

Hivi ninyi vichaa mnaoangaika na nini wamesema Yao yanawashinda
 
View attachment 1274916

Kitendo cha Watendaji kuamriwa kujificha kwa gharama yoyote ile ili kuhakikisha Wagombea wa vyama vya upinzani hawachukui ama kurudisha fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa lengo la kuwabeba wagombea wa CCM kwa mbeleko ya chuma, kimeusikitisha mno ubalozi wa Uingereza.

My take: Nchi inazidi kudhalilika kwenye jumuiya ya Kimataifa




Yao yanawashinda.
 
Nadhani boycot yao ni moja kati ya strategy nzuri kwa sasa.
Bado serikali yetu inategemea mahusiano mazuri na nchi za nje hii inawaondolea credit na inawauma kweli kweli
Mkuu boycott haifanyi kazi Africa hawana aibu kabisa, hapo utakua ndoumemsaidia kabisa
 
Mkulima keshalipwa? Kabudi kesharudi?
Mh waziri  - Bila_kupepesa_macho Malizana na mkulima tupate ndege yetu - jichopevu ( 640 X 640 ).jpg
 
View attachment 1274916

Kitendo cha Watendaji kuamriwa kujificha kwa gharama yoyote ile ili kuhakikisha Wagombea wa vyama vya upinzani hawachukui ama kurudisha fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa lengo la kuwabeba wagombea wa CCM kwa mbeleko ya chuma, kimeusikitisha mno ubalozi wa Uingereza.

My take: Nchi inazidi kudhalilika kwenye jumuiya ya Kimataifa
Madam nakuonea sana huruma maana Kabud huwa anajibu neno baada ya neno
 
November 28, 2019
Unguja , Zanzibar

Mbinyo wa kidiplomasia wa balozi za nje Tanzania, waitikisa CCM (mpya)

Kufuatia matamko ya balozi za nje zenye wakilishi wao Tanzania kuhusu kutoridhishwa na hali ilivyokwenda ktk Chaguzi za Serikali za Mitaa na Vijiji chama cha CCM kimetoa onyo kwa balozi hizo na kutaka mawaziri wa Tanzania kutotoa ushirikiano au kuitikia miadi ya mabalozi hao ama sivyo mawaziri hao wa serikali ya Tanzania watatimuliwa kazi na chama kilichoshika hatamu ya uongozi za kusiasa na serikali ya Tanzania yaani chama kikongwe cha CCM.

 
Back
Top Bottom