UISLAM: Mbali Na Kuwa Chombo/Mpango wa Waarabu Kueneza Tamaduni Zao. Bali Pia ni Chombo Chao Cha Harakati/Kupigania Haki/Uhuru Wao

UISLAM: Mbali Na Kuwa Chombo/Mpango wa Waarabu Kueneza Tamaduni Zao. Bali Pia ni Chombo Chao Cha Harakati/Kupigania Haki/Uhuru Wao

It's said that "anything that can not be expressed in numbers/figures (empirical evidence) does not exist".
Pata picha ya haraka hapa, japo ni wikipedia



Currently, around 93% of Arabs are Muslims, while the rest are mainly Arab Christians, as well as Arab groups of Druze and Baháʼís
 
Kama kila mtu angetumia lugha yake basi Qurani Leo hii Karne ya 21 isingekua na maana iliyopo Leo, lugha ya mtume ndio imetumika kulinda kitabu yaan tunalazimka kutumia kiarabu Hasa Kwenye Quran ili kuepusha kila mtu kuchomeka anacho kijua, we chomekea unajua kwinngine ila sio Kwenye Quran na sala, hio imelinda kitabu na dini yenyewe.

Kwa hiyo wewe unadhani kila muumini nje ya ulimwengu wa kiarabu ana uelewa sawa na wengine kuhusu kuruwan?
 
Kabla huyo Mohamed kuanzisha uislamu, waarabu waliishije? Huwa nataka kusoma sana maisha yao ya kabla maana huyo mtu aliwavuruga sana na hiyo dini, yaani kila muarabu anazaliwa akilazimishwa kuwa muislamu, hawana uhuru wowote

Harper's Bible Commentary Inasema:

"Kama lipo jambo lolote katika uchunguzi wa Injili ambalo juu yake wataalamu wamekubaliana, ni kuwa kufika hapa (yaani Marko 16.8) Injili ya Marko inakoma.

Sehemu iliyobaki ya sura (yaani 16.9-20) ndio hiyo iitwayo "Kimalizio kirefu" cha Injili.

Kimalizio hicho hakionekani katika nakala za miswada ya zamani, na ambacho ni nyongeza iliyopachikwa katika karne ya pili kutokana na maongezo ya Mathayo, Luka na Matendo...ushahidi wa kale kabisa ulioandikwa juu ya Kufufuka (Yesu) haumo katika Injili bali katika barua ya kwanza ya Paulo kuwapelekea Wakorintho 15.3-8."

Maneno hayo ya Paulo aliyowaandikia Wakorintho na ndio mara ya kwanza kutajwa kufufuka kwa Yesu ni haya:

Kwa maana niliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo maandiko; na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo maaandiko; na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Thenashara; baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala; badaye akamtokea Yakobo; tena na mitume wote; na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi, kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.

1 Wakorintho 15.3-8

Ikiwa kipande chote tangu mstari 9 mpaka mstari 20 katika sura 16 ya Injili ya Marko, kimepachikwa, basi kisa chote cha kufufuka Yesu kimebuniwa.

Mwenye kubuni kisa hichi ni Mtakatifu Paulo.

Hivyo ndivyo tunavyoweza kuagua kutokana na kuisoma Biblia, kwani maandishi ya kwanza hayamo katika Injili bali yamo katika barua ya Paulo kwa Wakorintho.
 
Nyerere ktk moja ya hutuba yake anasema kwmba yeye ndio mkristo wa kwanza kukaribishwa tanu,

Kwamaana waislam waiianzisha tanu ili kwenda kudai uhuru, baade ktk hatua za kukaribisha watu ambao nao walionyesha nia ndio wakamkaribisha nyerere tena akiwa na pensi wazee wakampa suluali avae,

Unaposema uislam ,

Tambua utajata dini ilikamilika isiokuwa mapungufu hata kidogo achana na viongozi hawa wa uislam wanaowekwa kwa maslay ya vitu fulani,
 
Nyerere ktk moja ya hutuba yake anasema kwmba yeye ndio mkristo wa kwanza kukaribishwa tanu,

Kwamaana waislam waiianzisha tanu ili kwenda kudai uhuru, baade ktk hatua za kukaribisha watu ambao nao walionyesha nia ndio wakamkaribisha nyerere tena akiwa na pensi wazee wakampa suluali avae,

Unaposema uislam ,

Tambua utajata dini ilikamilika isiokuwa mapungufu hata kidogo achana na viongozi hawa wa uislam wanaowekwa kwa maslay ya vitu fulani,

Naheshimu maoni yako, licha ya kuwa sikubaliani nayo.
Kusema uislam ni dini iliyotimia ilihali watu wengi wanaona a lot of gaps?
 
Naheshimu maoni yako, licha ya kuwa sikubaliani nayo.
Kusema uislam ni dini iliyotimia ilihali watu wengi wanaona a lot of gaps?
Utimamu ni kwa anae amini , hii ni popote pale , kama ambavyo wewe unaona gaps kwa wengine, hata hao wengine wanaona gaps kwao , hii ni nature
 
Utimamu ni kwa anae amini , hii ni popote pale , kama ambavyo wewe unaona gaps kwa wengine, hata hao wengine wanaona gaps kwao , hii ni nature

Ila suala ambalo ni logic, mfano kutumia lugha fulani pekee kwenye ibada wewe una maoni gani?
 
Mtu unadanganywa kuna mito ya pombe mbinguni+pisi kali...mtu na migego yake 32 inaamini ni kweli...

Eti unamilikishwa mabaa ambayo pombe inachotwa kama mtoni vile halafu na dangulo la peke yako peponi.
Pepo ya kina mudi ni raha.

Swali ambalo huwa najiuliza, lakini hawanipi jibu. Wanawake wenyewe watatunukiwa na kutuzwa nini?
 
Ila suala ambalo ni logic, mfano kutumia lugha fulani pekee kwenye ibada wewe una maoni gani?
Hakuna shida yeyote hata ukitumia lugha yako bado imani ni ile ile ambayo imetoka kwa Waisrael au waaarabu sio kwa babu zako au kijijini kwenu
 
Mtu unadanganywa kuna mito ya pombe mbinguni+pisi kali...mtu na migego yake 32 inaamini ni kweli...
Kama vipo hapa duniani shida iko wapi kuwa Mbinguni? wewe ndio unatakiwa kujitafakari kwamba kipi kitazuia kusiwa na wanawake au pombe huko mbinguni wakati duniani imewezekana?
 
Hakuna shida yeyote hata ukitumia lugha yako bado imani ni ile ile ambayo imetoka kwa Waisrael au waaarabu sio kwa babu zako au kijijini kwenu

Hiyo ni kwa mujibu wa msingi gani. Maana kwa wamiliki wa mtume hawawezi kukubaliana na maoni hayo.
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na hoja nzito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala la kutumia lugha ya Kiarabu katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu wa kueneza tamaduni, mila na desturi zao.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki (uislam) kuwa na sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi zibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
Ulishawahi kujiuliza nini maana ya dini?
Na pia umeshawahi jiuliza nini maana ya Uislamu?
 
Kama vipo hapa duniani shida iko wapi kuwa Mbinguni? wewe ndio unatakiwa kujitafakari kwamba kipi kitazuia kusiwa na wanawake au pombe huko mbinguni wakati duniani imewezekana?
Kwa Nini usianze kunywa Sasa hiv kama unaamini itakuwepo huko mbinguni...hizo ni utopiani tu...
 
Kabla huyo Mohamed kuanzisha uislamu, waarabu waliishije? Huwa nataka kusoma sana maisha yao ya kabla maana huyo mtu aliwavuruga sana na hiyo dini, yaani kila muarabu anazaliwa akilazimishwa kuwa muislamu, hawana uhuru wowote
Hakuna anayelazimishwa kuwa Islam, umeona mtoto mwenye wazazi Islam akizaliwa akamwagiwa maji (akibatizwa/kusilimishwa) ili awe Islam? Tena awe kazaliwa kwenye ndoa iliyotimiza masharti yote ya dini? Mbona humu JF kuhusu dini utoto mwingi? JF ya Sasa ipo kimaslahi zaidi na si kimaadili
 
Eti unamilikishwa mabaa ambayo pombe inachotwa kama mtoni vile halafu na dangulo la peke yako peponi.
Pepo ya kina mudi ni raha.

Swali ambalo huwa najiuliza, lakini hawanipi jibu. Wanawake wenyewe watatunukiwa na kutuzwa nini?
Hii dini ya mudi ni utapeli mtupu...mijamaa imejazwa na ikajaa kwel kwel....dini ambayo et Mungu hawez itetea mpk itetewe na binadamu...hakika ni kituko kwa kwel
 
Back
Top Bottom