🔹 Kitu ambacho wafia dini wasiotumia UBONGO ni kuwa dini za Kiislamu na Kikristu zilichipukia sehemu yenye utamadini sawa ( far east)
🔹 Kwa kuwa ilianzia sehemu Moja, maandiko mengi ya vitabu wanavyo viita ni maneno / vitabu vya Mungu , vimejaa Mila na destiri na tamaduni za kale za kiarabu na kiyahudi na kwa kuwa wanaoitwa manabii wote ni WA eneo hilo hilo basi Maisha Yao ya kibinaadamu yanatafsiriwa kimakosa kuwa ni maelekezo ya Mungu
🔹 Watu wameacha tamaduni zao na kuwa watumwa wa Mila za kigeni kuanzia,Mavazi ,vyakula, lugha, Nafasi ya mwanamke, MATAMBIKO ya kuchinja nk.
🔹 Kama mtu ana UBONGO wa angalau Mb Moja angejiuliza hivi kama Uislam na ukristu ungeanzia Kanda ya Kaskazini tungevaa kanzu, tungekula tende, tungesali Kilatini au kiarabu, tungesema MKATE ndio chakula Cha kwenye ibada?
🔹 Naamini dini hizo zingeanzia Kanda ya Kaskazini vazi rasmi la ibada lingekuwa mgorore wa kimasai, kinywaji bacho kingeandikwa kwenye vitabu kama ilivyo divai lingekuwa mbege ya Wachaga au dengelua ya kipare, Chakula bacho kingeandikwa badala ya MKATE ingekuwa ndizi za wachagga au makande ya wapare
🔹 Kwenye nyumba za ibada tusingekuwa tunakaa chini kama ilivyo asili ya tamaduni za Asia yote hata wasio na dini Bali kwa tamaduni za Kaskazini sehemu ya heshima Mgeni hukaribishwa kwenye kiti na kama kiti halipo litatafutwa gogo ili mheshimiwa asikae chini
🔹 Lugha ambayo tunadanganywa kama ni lugha za Mungu na hadikii lugha zingine tofauti na kiarabu na Kilatini usingezisikia kwenye vitabu Bali ungeziona lugha za kimasai, ki barabaig , ki Iraq, kichagga au kipare