kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Nskuongezea yu. Hawana viti kwa sababu jangwani mitu haioti.🔹 Kwenye nyumba za ibada tusingekuwa tunakaa chini kama ilivyo asili ya tamaduni za Asia yote hata wasio na dini Bali kwa tamaduni za Kaskazini sehemu ya heshima Mgeni hukaribishwa kwenye kiti na kama kiti halipo litatafutwa gogo ili mheshimiwa asikae chini
Sura ya Ankabut (29:57), inasema:UISLAM NA UKRISTO SIÔ MAADILI YA MTANZANIA NA MUAFRIKA NI MOJA YA NYENZO YA MMOMONYOKO WA MAADILI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Kîla jamii inamaadili yake. Maadili yanatokana na ûtamaduni wa jamii Husika. Kîla jamii inautamaduni wake.
Maadili ni mafundisho yanayotolewa kwèñye jamii yenye kuonyesha Tàbia Njema na tàbia Mbaya na kutaka Watu wafuate mambo Mema.
Maadili ya jamii Moja huweza kutofautiana na maadili ya jamii zingine. Ingawaje Yapo maadili àmbayo yanafanana.
Kukiuka Maadili ya jamii yako ndîo huitwa MMOMONYOKO WA MAADILI.
Muafrika anamaadili yake kutokana na tamaduni Zake.
Wazungu wanamaadili Yao kutokana na tamaduni zào.
Waarabu wanamaadili Yao kutokana na tamaduni zào.
Wachina, wahindi n.k wôte wanamaadili Yao kutokana na tamaduni zào.
Kîla jamii ina Mila na desturi nzuri na Potofu. Mila na desturi au tuite maadili huwa potofu Kwa sababu mbalimbali lakini sababu kûbwa ni Wakati(Zama) na sababu ya pili utofauti Kimila.
Mfano, kile kinachoonekana NI maadili Mema Kwa jamii Moja siô ajabu kikawa NI maadili potofu Kwa jamii ñyiñgine
Mathalani, Ndoa za mitala NI maadili Mema Kwa jamii nyingi za kiafrika na Mashariki ya kati lakini Kwa jamii ya kizungu siô maadili
Ukeketaji ni maadili Mema Kwa Baadhi ya jamii za kiafrika lakini Kwa wazungu NI Mila Potofu.
Mahari ni maadili Mema Kwa jamii nyingi Duniani ikiwemo jamii za kiafrika lakini Kwa jamii nyingi za kizungu NI maadili potofu.
Upotofu na usahihi mara nyingi hutokana na mabadiliko ya kizama(kinyakati) na tofauti za kiutamaduni.
Ukristo na Uislam siô maadili ya Mtanzania na Muafrika Kwa ujumla.
Huwaga nashangaa nikisikia Mtu akiwaita Wengine Hawana maadili Wakati Muda huohuo MTU huyo NI muislam au Mkristo.
Muafrika mwenye maadili hawezi kuwa Muislam au Mkristo. Kuwa Muislam au Mkristo ni kukosa maadili ya kiafrika na pia ni mmomonyoko wa maadili.
Kukaidi, kukiuka, kutofuata maadili yako ya asili na kufuata maadili ya jamii ñyiñgine hiyo ndîo tofsiri halisi ya MMOMONYOKO WA MAADILI.
Maadili humong'onyolewa na vitu vingi lakini kikubwa zaidi ni Muingiliano WA tamaduni zaidi ya Moja Kwa kile kiitwacho utandawazi.
Huwezi Acha ûtamaduni wako na kuita tamaduni za Wengine ni maadili. Kitendo cha kuacha tuu na kusaliti ûtamaduni wako ni mmomonyoko wa maadili tosha.
Kabla ya Wageni kuja, waafrika walikuwa na maadili Yao Mema tuu. Hii haimaanishi hapakuwa na Mila mbaya na potofu.
Nilishasema kîla jamii inamila Zake nzuri na Mbaya.
Mila mbaya kama uchawi, Kutoa Watoto kafara, unyanyasaji WA kijinsia, n.k zilikuwepo Karibu jamii zote hata jamii za kizungu zilikuwa na Mila hizô.
Jamii za kiafrika zilikuwa zinaabudu katika Mungu Mmoja kupitia mizimu ya mababu kama ilivyo Kwa Waislam na Wakristo ambao huamini katika Mungu Mmoja katika mitume na Manabii.
Kabla ya ujio WA uislam na ukristo waafrika walikuwa na maadili kuliko Zama hizi baàda ya ujio wa Dini hizi.
Ûkienda kwèñye jamii Ambazo hazina Ukristo au Uislam zina maadili ukilinganisha na jamii Zenye Ukristo na Uislam.
Nenda Umasaini ndanindani, nenda Kwa Wahadzabe na watindiga Huko utajionea mwenyewe
Maadili ya kwèli hayafundishwi Kanisani au Misikitini. Maadili hufundishwa nyumbani.
Maadili yanauhusiano na asili ya Mtu na mîungu Yao.
Baadhi ya mafundisho ya kikristo na kiislam yanaweza kuwa mazuri Kwa kiwango cha juu lakini haimaanishi NI mafundisho Bora kuliko yale mafundisho ya asili Yenu, Wazazi wako, Babu zako Ambao wewe ndîo umetokea.
Maadili pia hufanyiwa matengenezo (reformations) ili yaendane na wakati Husika. Hata maadili ya kiislam na Kikristo yamefanyiwa marekebisho mengi tuu kufikia Hapo yalipo.
Maadili NI utambulisho yaani ûtamaduni. Mtu kutokuwa na maadili ya Kwao inamaanisha Hana utambulisho na Hana maadili na amemomonyoko kimaadili.
Yàani kikawaida Huwezi kuwa Muafrika Ukawa Mkristo au muislam alafu ukajiita unamaadili labda Kama hujui mantiki ya maadili yenyewe.
Unaweza Ukawa mwema na Mtu Bora Kwa kufuata tamaduni za kwetu zile zilizobora. Lakini zile zilizombaya ukaziacha.
Kûna wale watakaokuja na hoja ya Teknolojia.
Kwamba Kwa nini tunatumia Teknolojia za kigeni.
Mfano Simu au Magari n.k.
Tunaweza Kutengeneza Simu Kulingana na ubunifu wa tamaduni zetu.
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi.
Kwa Sasa Dar es salaam
Sura ya Ankabut (29:57), inasema:
"Kila nafsi itakufa, kisha mtarudishwa kwetu."
Aya hii inasisitiza ukweli wa kifo kwa kila binadamu na kutukumbusha kwamba maisha haya ni ya muda mfupi, na hatimaye tutarudi kwa Mwenyezi Mungu. Inatufundisha kuishi maisha yenye maadili kwa ajili ya maandalizi ya maisha ya baadae.
Dini ni nini?Usilinganishe Uislam na Ukristo, ni vitu toofauti kabisa.
Uislam ni dini, Ukristo siyo dini.
Ulibanwa sana unakuja na vifungu, unadhani kuna mtu hajui kwa atakufa? Kila dini inasema kuna mwisho, even in science everything has it end. So stop childish bull crap manSura ya Ankabut (29:57), inasema:
"Kila nafsi itakufa, kisha mtarudishwa kwetu."
Aya hii inasisitiza ukweli wa kifo kwa kila binadamu na kutukumbusha kwamba maisha haya ni ya muda mfupi, na hatimaye tutarudi kwa Mwenyezi Mungu. Inatufundisha kuishi maisha yenye maadili kwa ajili ya maandalizi ya maisha ya baadae.
KWANINI WAZUNGU HAWAZUII WAO SI WAJANJA?Ulibanwa sana unakuja na vifungu, unadhani kuna mtu hajui kwa atakufa? Kila dini inasema kuna mwisho, even in science everything has it end. So stop childish bull crap man
Hakuna mtu aliyeshika dini ukweli anaweza kukudhulumu ila umedhulumiwa na watu wanaoigiza kushika diniWatu walionidhulumu ni wa dini sana.
wew akili ishaoza , unahisi maish yameanza 1874?kabla ya Ukristo kuingia tanzania kama miaka 150 iliyopita kulikuwa na maadili gani hapa kwetu ya kujivunia kulingajisha na leo hii? niorodheshee angalau matatu tu hakafu tujadili kuanzia hapo, isitoshe tanzania haifwati maadili ya Kikristo vinginevyo kusingekuwa na uonevu, umaskini, wizi na unfairness ulioshamiri kila mahali …
Zote ni tamaduni za watu weupeUsilinganishe Uislam na Ukristo, ni vitu toofauti kabisa.
Uislam ni dini, Ukristo siyo dini.
Huo ujinga usiongeze hadharani au mbele ya watoto utachekwa. Kila jamii ilikuwa na maandishi yake ya asili kama ilivyo middle east na far east mfano wachina, wahindi, waarabu , waithiopia wote walikuwa na maandishi hivyo hao wamisionary walipokuja Africa wakafuta Kila kitu na ku promote alfabeti zao ila walishindwa sehemu zinginebila ya Ukristo leo hii usingeweza kusoma na kuandika …
kwann tuliacha science yetu ? hiyo ndo hojaLakini haupingi uvaaji wa nguo za viwandani (ulizoletewa na hao waleta dini), matumizi ya simu, usafiri, na umesoma elimu yao😂😂
Si ni wabaya kwa nn usivikatae vyote?
Nani alikuambia kifo kinazuilika? Nani kakuambia wanataka kuzia?KWANINI WAZUNGU HAWAZUII WAO SI WAJANJA?
Muhammaad ni mtume wa Mewisho aliyepewa Qur'an. Mitume yote kabla yake ilileta ujumbe huo huoi mmoja tu. Uislam.
Uislam ndiyo mfumo kamili wa maisha uliopo ambao hauna mfano wake.
Makasisi wanjua Mtume wa binaadam wote, kama huamini kawaulize ukiwa sehemu nyeti mkiwa waili usiwaulize makanisani hawakupi jibuMfumo wa waarabu siô Wanadamu
Muislam WA Kwanza NI Muhammad, wapili NI Khadija.
Kusema Adam alikuwa Muislam NI kutofikiri vizuri na kuamua kuwa shabiki.
LAKINI kwa vyovyote vile iwavyo, hizo sio zetu! Hio dini na hio nyingine unayosema sio dini, vyote havina uhusiano na Watanzania na Uafrika. Usipindishe madaUsilinganishe Uislam na Ukristo, ni vitu toofauti kabisa.
Uislam ni dini, Ukristo siyo dini.
Huna akiliUsilinganishe Uislam na Ukristo, ni vitu toofauti kabisa.
Uislam ni dini, Ukristo siyo dini.
Ukiwa mtu huru ndio unaweza kufikiri nje ya box namna hii. Lakini wengi watakuona kuwa umepotea na hujitambui ilihali wao ndio wafungwa wa dini zao.🔹 Kitu ambacho wafia dini wasiotumia UBONGO ni kuwa dini za Kiislamu na Kikristu zilichipukia sehemu yenye utamadini sawa ( far east)
🔹 Kwa kuwa ilianzia sehemu Moja, maandiko mengi ya vitabu wanavyo viita ni maneno / vitabu vya Mungu , vimejaa Mila na destiri na tamaduni za kale za kiarabu na kiyahudi na kwa kuwa wanaoitwa manabii wote ni WA eneo hilo hilo basi Maisha Yao ya kibinaadamu yanatafsiriwa kimakosa kuwa ni maelekezo ya Mungu
🔹 Watu wameacha tamaduni zao na kuwa watumwa wa Mila za kigeni kuanzia,Mavazi ,vyakula, lugha, Nafasi ya mwanamke, MATAMBIKO ya kuchinja nk.
🔹 Kama mtu ana UBONGO wa angalau Mb Moja angejiuliza hivi kama Uislam na ukristu ungeanzia Kanda ya Kaskazini tungevaa kanzu, tungekula tende, tungesali Kilatini au kiarabu, tungesema MKATE ndio chakula Cha kwenye ibada?
🔹 Naamini dini hizo zingeanzia Kanda ya Kaskazini vazi rasmi la ibada lingekuwa mgorore wa kimasai, kinywaji bacho kingeandikwa kwenye vitabu kama ilivyo divai lingekuwa mbege ya Wachaga au dengelua ya kipare, Chakula bacho kingeandikwa badala ya MKATE ingekuwa ndizi za wachagga au makande ya wapare
🔹 Kwenye nyumba za ibada tusingekuwa tunakaa chini kama ilivyo asili ya tamaduni za Asia yote hata wasio na dini Bali kwa tamaduni za Kaskazini sehemu ya heshima Mgeni hukaribishwa kwenye kiti na kama kiti halipo litatafutwa gogo ili mheshimiwa asikae chini
🔹 Lugha ambayo tunadanganywa kama ni lugha za Mungu na hadikii lugha zingine tofauti na kiarabu na Kilatini usingezisikia kwenye vitabu Bali ungeziona lugha za kimasai, ki barabaig , ki Iraq, kichagga au kipare
Makasisi wanjua Mtume wa binaadam wote, kama huamini kawaulize ukiwa sehemu nyeti mkiwa waili usiwaulize makanisani hawakupi jibu
Usafiri wa wabongo ni miguu tena peku kwa hyo kusafiri kwa gari na kuvaa viatu ni uvunjifu wa maadili 😂😂