Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

Soma vizuri kuhusu uislamu uuelewe ndugu. Hao sio waislamu. Uislamu unakataza kuua mtu yeyeto asiye na hatia. Uislamu unakataza mambo machafu ikiwemo madaya ya kulevya, kudhulumu uhai wa mtu, nk. SAsa makundi yote uliyoyataja yote yanafanya biashara haramu Ili kupata pesa za kuendesha makundi hayo,yanauza madawa ya kulevya, usafirishaji watu haramu, biashara za utekaji meli nk, SAsa wayafanyayo hayo makundi yapo kwenye uislam?.
Jiulize ushawahi sikia tena vitendo vya kigaidi na kwann kuna mwaka vilikuwa vingi na SAsa hivi usikii?
Jibu makundi yote ya kigaidi yanafadhiliwa na USA kwa ajenda za kiiluminati Ili kuiitiisha na kupitisha ajenda zao za kishetan ikiwemo kuubomoa uislamu. Osama bin laden si Muislamu bali ni ajenti wa kuzimu alitumwa kuuharibu uislamu. Hakuna kundi lolote lile la kigaidi linalopigani dini bali utumia dini kama kichaka cha kuwapata wapumbavu wenzao au cheap wapiganaji waliozongwa na shida za dunia na wakafanyiwa brain wash, makundi yote yanapigania maslai ya kidunia kwa mlengo wa kujificha kwenye dini.
 
Naomba nijibiwe maswali haya.

Zile chokochoko za kumwagia tindikali mapardi na kuwauwa huko zenji zililetwa na waumini wa dini gani?

Yale maandamano ya kupinga ujenzi wa kanisa huko pemba yalifanywa na waumini wa dini gani.?

Yale mauwaji na utekaji uliofanyika tandahimba kijiji cha kitaya ulifanywa na kundi la imani gani?

Wale walio andamana magomeni na kuvunja mabucha ya kitimoto walikua wa imani gani?

Zile fujo zilizotokea mikoa mbalimbali tz za kugombe nafasi ya kuchinja machinjioni zililetwa na watu wa imani gani?

Hawa nao walitumwa na CIA.

NB.jibu bila kupanic au kutoka nje ya maswali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tukio la September 11 lilikuwa planned thus Hakuna muisrael hata mmoja aliyekufa waliambiwa wasiende kazini, jumla ya waisrael ni 110 waliokuwa na ofisi zao ktk jengo lile la world trade center. Hawa mazayuni ndio walioplan ile attack kwa lengo ajenda zao za kishetan, waisrael ndio wakuu wa ajenda zote za kifreemason duniani, wakimiliki media zote, music industry, ikiwemo sony, hollywood. Nk.
Njoo uelemishwe ueleweshwe haya mambo ya conspiracy.
 
Tunakoelekea ni kubaya sana cku hz kila nikiingia lazima nikute uzi wa kushtumiana kuhusu hizi dini tusifanye hivi kila mtu abaki na kile anachokiamini
 
Jana Qatar Yesu aliabudiwa mbele yao. WAPENDE WASIPENDE!
 
Kila kwenye original feki hawakosekani, kwani hawa manabii wa uongo wanaouzia watu huduma ni maagizo ya Biblia? Jambo lolote lifanywalo na halipo kwenye maandiko sio la kidini bali ni utashi binafsi wa walevi wasio jua misingi ya dini.
Ishu ya kuchinja ni ya kibiashara zaidi. SAsa hao wahuni wa huko Mtwara silaha wanapata wapi hali boda zote zipo controled.
 
Hakuna Yesu hapo we uoni wanamuita mungu wa freemason hapo,hizo sign zina tafsiri yake ni hadi uwe na elimu kuhusu alama na Ishara ndo utaelewa
MPENDE MSIPENDE HATA MKIZUIA VIPI BADO ATAABUDIWA TU MBELE YENU NA HAKUNA MTAKALOFANYA MTABAKI KUUMIA NDANI KWA NDANI.

JESUS FIRST, JESUS FOREVER

IN JESUS WE MUST TRUST

JESUS IS GOD
 
Haya mambo ya dini mi huwa sipendi kudhihaki dini wakati wenye kufanya maovu ni watu
 
Hao viongozi wa makundi tajwa ya kigaidi wamesimikiwa na nani kwa mujibu wa Quran kama ni watetezi wa uislamu.Hao ni wasaka tonge kama ilivyo kwa mitume na manabii wa uongo wanaowaibia watu kwa kuwabrainwash vipofu wa maandiko.Kila penye original na feki hawakosekani
 
MPENDE MSIPENDE HATA MKIZUIA VIPI BADO ATAABUDIWA TU MBELE YENU NA HAKUNA MTAKALOFANYA MTABAKI KUUMIA NDANI KWA NDANI.

JESUS FIRST, JESUS FOREVER

IN JESUS WE MUST TRUST

JESUS IS GOD
Jesus na mpira wapi na wapi, wakati mpira ni program za illuminati Ili Yesu asiabudiwe.
 
Na siku hizi wanajitihada haooo, threads kuanzia alfajir, asubuhi, mchana, alasiri, jioni, usiku hadi usiku wa manane. Hoja yoyote ile sasa lazima waiingize agenda yao hii ya kuukandia uislamu.......iwe mpira, iwe vita vya Putin, iwe siasa au yoyote ile lazima ukutane na kashfa humo ndani.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…