Uislamu haujakataza asiye muislamu kula mchana wa ramadhani, siungi mkono wasio waislamu kuzuiwa kula mchana

Jaribu na wewe tuone
 
kuna tofauti Kati ya usiku na mchana.
Ndo maana usiku tunalala na mchana tunatafuta maisha.
Ni rahisi kulala na njaa kuliko kushinda na njaa kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Alafu kufunga na kushinda njaa tofauti.
Kushinda njaa unaweza ukakuta maji ukanywa.ila kufunga unafunga kula mpaka kunywa maji
 
tokea jana naona watu wanabwabwaja wasiyoyajua

ungewaacha tu waendelee kujifurahisha
 
Ni kweli mkuu.

Ila nadhani uelewa finyu wa baadhi ya waislamu juu ya imani zingine.
Hakuna hijabu huko Ulaya, huo Uhuru unauzungumzia wapi!?.. Arabuni wakiristo wapo huru tu mpaka Iran huko
 
Aisee wewe unauelewa uislamu.

Kuna baadhi ya watu wanauhusianisha uislamu na matendo ya ukatili, chuki na kibuir...mfano wafuasi wa Al shabab, Boko Haram, Isis. Kwa haraka waweza jua hii ndio falsafa ya uislamu. Kumbe sio, ni watu na malengo yao binafsi
 
Hakuna hijabu huko ulaya,huo Uhuru unauzungumzia wapi!?..arabuni wakiristo wapo huru tu mpaka Iran huko
Sikuelewi unachojibu wala unachouliza

Jaribu kuwacha papara na andika kitu chenye kuelewa
 
Hilo neno kafiri asili yake ni wapi na lina maana gani ya ndani kwa maana ya hiyo asili yake?
 
Waambieni wenzenu wanaotesa watu mitaani kulazimisha ana wote tusile

Actually hata hao wanaozuia wengine wasila hakuna Swaumu hapo ni waste of time tu
 
Hilo neno kafiri asili yake ni wapi na lina maana gani ya ndani kwa maana ya hiyo asili yake?
Kafiri ni neno lenye asili ya kiarabu yaani كافر.

Neno hilo kaafir asili yake katika kiarabu ni mtu aliyepinga au kukataa kitu fulani yaani
أَنْكَرَ (ankara) amepinga.
 
Mnahangaika sanaaaaaaaaa lakini sharia yaja ukila hadharani viboko 12,

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…